Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Sasa hebu jisome hapa.
Mimi nimekupa Andiko wewe unarusha mipasho ka mtoto wa Kopa!
Ajeeb.

Sasa LEO UNAKAA KUWA SAMSONI HAYUMO KWENYE BIBILIA? au SIO MKIRISTO!
Mbona nyie Makafiri mnakuwa hamna Aibu hata kidogo?
We Leo UNAIKANA BIBILIA YAKO?

Nimekupa elimu juu ya dhana ya ugaidi na propaganda ya uislamu umeisoma au akili yako ipo kwenye matusi na mipasho tu?
 
Nimekupa elimu juu ya dhana ya ugaidi na propaganda ya uislamu umeisoma au akili yako ipo kwenye matusi na mipasho tu?

Teh teh teh!
Mtoto wa zinaa Atakuumisha kichwa tu!
Knock yourself out now, I'm having my posh breakfast and I don't want to spoil it.
 
Teh teh teh!
Mtoto wa zinaa Atakuumisha kichwa tu!
Knock yourself out now, I'm having my posh breakfast and I don't want to spoil it.

Yaani upo kama sigara kali, mbele nyuma kote kwawashwa tu,

Nimekupa andiko linalopinga iwepo wa ugaidi kwenye uislamu na kukueleza propaganda inayofanywa na magaribi,

Lakini wewe upo na taarabu kidole na jicho
 
Vita ni mapambano/majibizano kwa silaha au lugha ya ukali ya pande mbili zinazo
hasimiana/ mapambano dhidi ya kitu fulani mathalani rushwa, maradhi nk.
Ugaidi ni shambulio la ghafla ambalo huangamiza kila kitu kilicho mzunguka
muhanga wa ugaidi ambacho kipo ndani ya shabaha ya Gaidi.

Vita dhidi ya ugaidi ni mapambano yanayoendelea kati ya makundi yenye msimamo
mkali dhidi ya serikali za mataifa, lakini yakiwa na maadhimio yenye vuguvugu la
mageuzi ya kimtazamo kwa baadhi ya serikali duniani.

Ugaidi ulianza kutajwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 mpaka 1994 ambapo mezani
pawanaojita wapinga ugaidi palishajaa mafaili yenye kujuza ugaidi kwa mapana yote,
Kutokeza kwa vita baridi pande za Kisoviet na Amerika na kuenea maeneo mengine
duniani kote kulizaa makundi yenye mitazamo hasi katika baadhi ya maeneo duniani.
Kuna aina nyingi za makundi yenye kutajwa kuwa ya kigaidi katika dunia hii,
Makundi haya yamekuwa na mlengo (philosophy) tofauti tofauti kulingana na aina ya
kundi na litokako. Makundi hayo ni kama vile: Hezbollah (Arabic for “Party of
God”) lililopo Lebanon, Hamas lililopo Palestinian, Muslim Brotherhood lilopo
Misri, Mafia la pale Italia, Tamil Tigers lahuko Sri Lanka, Taliban la Afghanistan, Al
shabab lilopo Sudan, Load Resistance Army la Uganda na mengine mengi yaliyopo
duniani.

Ugaidi huu tunaouzungumza leo wenye chembe za chuki dhidi ya maslahi ya
Marekani na wenye shinikizo la kiroho zaidi ulianza kuchipuka katikati ya mgogoro
wa Urusi na Afghanistan hasa baada ya makundi yale yaliyoundwa kipindi cha vita
baridi duniani kujibu wito wa jihadi dhidi ya wakomunisti. Baada ya ukomunisti
kung’olelewa ndani ya ardhi ya Afghanistani makundi haya yalisimamisha kundi lao
maarufu la Taliban kushika dola, hakika yalifanikiwa kwani Afghanistan iliwekwa
chini ya udhibiti wa kundi hilo lenye mlolongo wa maovu ndani na nje ya nchi hiyo.
Vita inakuwa ngumu pale serikali hizi zinapo pambana na makundi yasiyoonekana
hadharani kwani hata yakionekana au kutaka kukamatwa hujilipua na kufa pamoja na
hao askari waliotaka kuwakamata.

Vita dhidi ya ugaidi ni kitabu kinachoelezea chanzo chake na mtiririko wake, kikibashiri hatima ya
vita, na kukupa ukweli halisi jinsi vita hivyo vilivyoendeshwa Iraq na Afghanistan na matukio
muhimu katika vita vya Iraq.

Utapata kujua mipango mizima na vikao muhimu vya Baraza la Usalama la Marekani
vilivyofanyika kabla ya mashambulio ya Sept 11/ 2001 na baada ya mashambulio
hayo hadi kuuawa kwa gaidi mkuu Osama bin Laden nchini Pakistani.

Al shabaab sudan duh we ni nouumaaaa
 
Yaani upo kama sigara kali, mbele nyuma kote kwawashwa tu,

Nimekupa andiko linalopinga iwepo wa ugaidi kwenye uislamu na kukueleza propaganda inayofanywa na magaribi,

Lakini wewe upo na taarabu kidole na jicho

Sina shida na hizo copy and paste zako.
Wala wewe Huna hadhi ya Kutetea UISLAMU.
Magharibi uijua wewe ni ya kwenye Tv na Magazeti ya Mipasho. Wenzako wamesoma Toka primary huko Ukuitako Magharibi.
Kuoga Janaba hujui, leo utanieleza nini wewe paka mwitu!

Jifunze kwanza Kuchambia Maji kabla ya kuja kujidai kutoa hizo copy and paste zako.
Bata mzinga wahed!
 
Zile za masheikh changanya na za kwako g'ombe wewe. Unaacha hoja unaongea umea. ACHENI UTUALISHA WATOTO WA MITAANI!!! Unatuletea elimu ya madrasa tena wkt iliisha fail zaidi ya kujenga chuki na kuleta mauaji duniani kote. Eti samsoni alikuwa mkristo wa kwanza kuua na wengine wanaiga tu. Kweli nimeamini ukiwa muislamu zile akili za asili za kutambua mema na mabaya zinaondoka zote zinabaki akili za kuran za kivampire

Mungu alibariki lile tukio na ndio maana akamjalia nguvu samson za kuangusha nguzo zile
Imeandika somwhr damu hii itahusu vizaz had vizaz japo x msomaj vizr wa bible lakin mungu alibariki vingi kwa yale aliyotaka yeye
 
Mungu alibariki lile tukio na ndio maana akamjalia nguvu samson za kuangusha nguzo zile
Imeandika somwhr damu hii itahusu vizaz had vizaz japo x msomaj vizr wa bible lakin mungu alibariki vingi kwa yale aliyotaka yeye

TUKIO LA UGAIDI LA SAMSON aliloua Watu ZAIDI YA 3000 unasema Mungu alilibariki!?

Halafu tukisema WAGALATIA wana Laana Mnarusha ngumi hewani.
 
Sina shida na hizo copy and paste zako.
Wala wewe Huna hadhi ya Kutetea UISLAMU.
Magharibi uijua wewe ni ya kwenye Tv na Magazeti ya Mipasho. Wenzako wamesoma Toka primary huko Ukuitako Magharibi.
Kuoga Janaba hujui, leo utanieleza nini wewe paka mwitu!

Jifunze kwanza Kuchambia Maji kabla ya kuja kujidai kutoa hizo copy and paste zako.
Bata mzinga wahed!

Nilidhani ni wewe ndio umesoma magharibi, kumbe unajivunia watu wengine.

Pole dogo,
 
Mungu alibariki lile tukio na ndio maana akamjalia nguvu samson za kuangusha nguzo zile
Imeandika somwhr damu hii itahusu vizaz had vizaz japo x msomaj vizr wa bible lakin mungu alibariki vingi kwa yale aliyotaka yeye

Hawatakuelewa kabisa ndugu
 
Nilidhani ni wewe ndio umesoma magharibi, kumbe unajivunia watu wengine.

Pole dogo,

What you see is only 1% of what I am. I have a hundred different faces, a million different personalities. Only a part of me is what I show you miss nyerere.
I display a fraction of my true self. Everything is just a façade. Its not the truth of me. you dont know me. you never will bwaty boy
 
Mikakati na mitafaruku iliyozaa Muungano wa Tanzania III
..










Joseph Mihangwa

Toleo la 317


25 Sep 2013
..

















KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona jinsi juhudi za Marekani, Uingereza na Mwalimu Julius Nyerere, za kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki kwa lengo la kuimeza Zanzibar, zilivyogonga mwamba.

Tuliona pia kushindwa kwa mpango wa Marekani na Uingereza kuivamia Zanzibar kijeshi na kuibuka kwa wazo mbadala la kuunda Shirikisho la Zanzibar na Tanganyika kwa lengo hilo hilo la kuimeza Zanzibar ya Wakomunisti. Tuendelee na sehemu ya mwisho kuona jinsi Shirikisho la Tanganyika – Zanzibar lilivyozaliwa katikati ya mitafaruku hii.

Muundo gani wa Muungano uliofikiwa?

Aprili 21, 1964, Frank Carlucci, alituma taarifa kuelezea hali ilivyokuwa akisema: “Viongozi wakongwe wamefanikiwa kumshawishi Karume kuzihesabu Marekani na Uingereza kama marafiki wema wa zamani walioisaidia Zanzibar, na amekubali kuzipa fursa zionyeshe urafiki huo; Karume ameishukuru Marekani kwa zawadi ya majengo ya mradi wa “zebati” na jenereta alizopewa. Huu ni wakati mwafaka wa kutoa misaada zaidi; ombi la Karume la kumsomesha mwanaye nchini Marekani ni ishara ya imani kubwa aliyo nayo sasa kwa Marekani”.

Naye Balozi Leonhart aliripoti akisema: “Kuzorota kwa hali na kuongezeka kwa ushawishi wa Babu na Wakomunisti wa Kichina (CHICOMMS) Visiwani,kumeifanya Tanganyika ione umuhimu wa kuishirikisha (kuiunganisha/incorporation) Zanzibar kama njia pekee ya kulinda usalama wa Tanganyika, na kwamba Zanzibar isiende kwa Wachina. Muundo wa ushirikiano uliokubaliwa ni wa Shirikisho mithili ya uhusiano kati ya Serikali ya Uingereza na Ireland Kaskazini”.

Huku akionesha wasi wazi juu ya Muungano huo, Leonhart alisema: “Mradi (mpango) huu haujakaa sawa, na hatari zake ni dhahiri. Hoja kuu hapa ni (a) kupata suluhisho la Kiafrika kwa tatizo la Kiafrika (b) kigezo cha kisiasa (ni kile) alichobuni Nyerere (c) Usiri utumike kutekeleza mpango huu ili kunufaika na kutokuwapo kwa Babu nchini (alikuwa safarini Indonesia) na kuzuia CHICOMMS kujiimarisha”.

Na kuhusu hali Visiwani alisema: “Kwa siku chache zijazo, hali itakuwa tete (alitabiri Jeshi la Zanzibar kuasi); Serikali ya Tanganyika inaimarisha vikosi vyake Visiwani, lakini uwiano ni wa kutilia shaka kutokana na ukweli kwamba, kambi ya Babu inamiliki silaha za kisasa zaidi (ilizopata kutoka China na Urusi) zikiwamo magari ya vita, mizinga na bunduki za rashasha”.

Akaendelea kusema: “Serikali ya Tanganyika inafahamu utayari wa Uingereza wa kutoa misaada kwake iwapo itaombwa na Zanzibar pamoja na Viongozi wa Tanganyika; kikosi cha Jeshi la Nigeria kilichopo Dar Es Salaam (kufuatia Jeshi kuasi Januari 20, 1964) hakiwezi kutumika nje ya Tanganyika kwa mujibu wa makubaliano ya nchi hizo mbili”.

Tena akasema: “Tumependekeza vikosi vya Marekani viwekwe katika hali ya tahadhari; tumekubaliana na Balozi wa Uingereza mjini Dar es Salaam aandae zana muhimu za kivita ….kwa wakati huu tupunguze kutoa kauli juu ya Tanganyika – Zanzibar, na tuongeapo na Viongozi wa Kiafrika, tuepuke maneno yenye kujenga hisia za vita baridi, tusisitize tu kwamba, hizi ni juhudi za Kiafrika kutokana na uamuzi wa Watanganyika na Wazanzibari wenyewe”.

Jeshi Z’bar lilijiandaa kupindua serikali mpya

Imeelezwa kuwa, siku Mkataba wa Muungano ulipotiwa sahihi, Aprili 22, 1964, Mkuu wa Jeshi, Kanali Mahfoudh, aliandaa Jeshi la Ukombozi la Zanzibar (People’s Liberation Army – PLA) kufanya Mapinduzi, lakini wanasiasa wakamzuia kwamba “Si busara kupoteza watu (Wazanzibari 300,000 kwa maslahi ya watu -Watanganyika milioni 10”.

Waanzilishi wa PLA waliofunzwa Kijeshi, walikuwa ni makada wa “Umma Party” walioshiriki kwenye Mapinduzi ya Januari 12, 1964, kiongozi akiwa Kanali Ali Mahfoudh aliyefunzwa Cuba. Jeshi hili ndilo lililodhibiti silaha zote zilizopokelewa baada ya Mapinduzi. Lilitaka kufanya Mapinduzi kwa sababu halikujulishwa juu ya mpango mzima wa Muungano.

Siku hiyo, Dean Rusk alituma simu ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam akisema: “Toa ushauri haraka kama Zanzibar na Tanganyika zitahitaji vifaa kama vile mabomu na silaha nzito ili kukabili maasi yanayoweza kutokea”.

Naye Balozi Leonhart alituma simu Washington akisema: “Mbwambo (Mkuu wa Itifaki Tanganyika) amenipigia simu kuwasilisha ombi la Nyerere na Kambona kwamba Marekani ijiepushe kuzungumzia lolote juu ya Tanganyika – Zanzibar; naelekeza ushauri wa Nyerere uzingatiwe, lugha iwe juu ya Shirikisho la Afrika Mashariki na si vinginevyo”.

Aprili 24, Frank Carlucci alitaarifu Washington akisema, hapakuwa na sababu ya kupeleka silaha Zanzibar kwa kuwa hali ilikuwa shwari, lakini tu kwamba, “….Nyerere apewe misaada aliyoomba; kwa sasa ameshika hatamu, tumwache adhibiti hali mwenyewe ila pale tu itakapoonekana mambo yanamwia vigumu”.

Karume aliamini wameunda Shirikisho

Aprili 26, 1964, dunia ilitangaziwa juu ya kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar. Siku hiyo, Leonhart alitoa taarifa Washington kwa furaha akisema: “Sina shaka sasa Serikali ya Wakomunisti Zanzibar itamezwa ndani ya tumbo la Tanganyika isiyofungamana na upande wowote…. Ni muhimu Nyerere akaendelea kupewa misaada kimya kimya aweze kujiimarisha”.

Juu ya aina ya Muungano uliofikiwa, Carlucci aliripoti akisema: “Habari za kuaminika zinasema, Karume bado anaamini ametia sahihi Mkataba wa kuunda Shirikisho lenye Serikali tatu – Serikali kuu ya Muungano kwa mambo 11 ya Muungano; na kwamba Serikali za Tanganyika na Zanzibar zitabaki kusimamia mambo yote yasiyo ya Muungano”.

Licha ya kwamba Karume alitia sahihi Mkataba huo bila kupata ushauri wa kisheria, lakini alikuwa na kila sababu kuamini kwamba Muungano uliofikiwa ulikuwa wa aina ya Shirikisho kwa sababu nyingi, zikiwamo, kwanza; ibara ya 4 ya Mkataba imeweka bayana mambo kumi na moja tu yatakayoshughulikiwa na Bunge na utawala (uongozi) wa Muungano. Pili, ibara ya tano ya Mkataba inatamka wazi kuwa, Sheria za Tanganyika na zile za Zanzibar kwa mambo yasiyo ya Muungano, zitaendelea kuwa na nguvu katika nchi hizo.

Tatu, kwamba, Rais wa Kwanza wa Muungano, Mwalimu Julius Nyerere, alipashwa kuongoza Serikali ya Muungano kwa kuzingatia Mkataba wa Muungano, akisaidiwa na Makamu wawili wa Rais, na Mawaziri wengine na Maafisa ambao angeteua kutoka Tanganyika na Zanzibar, watakaohesabiwa kuwa Watumishi wa Jamhuri ya Muungano.

Nne, kwa mujibu wa ibara ya 7 (b) ya Mkataba wa Muungano, utaratibu wa kutunga Katiba ulimtaka Rais wa Muungano, kwa kukubaliana na Makamu wa Kwanza wa Rais ambaye chini ya Mkataba huo, ndiye pia Rais wa Zanzibar, kuitisha Bunge la Katiba lenye wawakilishi kutoka Tanganyika na kutoka Zanzibar kwa idadi hao wawili watakayokubaliana.

Karume alikosa ushauri wa Kisheria kabla ya kusaini Mkataba kwa sababu, kama tulivyoona mwanzo, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Wolfgang Dourado, alipewa likizo ya siku saba siku mbili tu kabla ya Mkataba kutiwa sahihi. Naye Mshauri mbadala aliyeitwa kuja kushauri, Dan Wadada Nabudere (Uganda), aliwasili akakuta Mkataba umetiwa sahihi.

Mshauri pekee mwenye kuaminika na msomi, ambaye pia alikuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Salim Rashid, hakukubalika kwa Nyerere, kwani ilitokea katika moja ya mazungumzo kuelekea utiaji sahihi Mkataba huo, alizuiwa mlangoni na Walinzi kwa amri ya Nyerere kwa sababu ya kuwa na ndevu nyingi, na kuamriwa kwenda kwa kinyozi akazinyoe. Aliporejea, alikuta tayari Karume “amechakazwa” kwa hoja na kusalimu amri kwa shinikizo la Nyerere la kuunganisha nchi hizo.

Aprili 27, Leonhart alifurahia jinsi Nyerere alivyoweza kuteua Baraza lake la Mawaziri kwa “ufundi” mkubwa ili kuwanyamazisha Wazanzibari machachari, alisema: “TumpeRais Nyerere majibu ya hoja alizowasilisha; tumhakikishie tutaipa Serikali ya Muungano pauni milioni mbili kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar; michango mingine itafuata kutoka Uingereza na Ujerumani Magharibi”.

Baraza jipya la Mawaziri la Muungano alilolisifia Leonhart, ukiwaondoa Mawaziri kutoka Tanganyika, lilikuwa na Wazanzibari wafuatao:Mzee Abeid Amani Karume, aliteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais; Aboud Jumbe, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais; Kassim Hanga, Viwanda na Nishati, na Abdulrahman Babu, aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Kurugenzi ya Mipango.

Wengine walikuwa ni Hassan Nassoro Moyo, Sheria; na Idrissa Abdul Wakil, Habari na Utalii.Babu, Hanga na Moyo, ambao kwa hisia za nchi za Magharibi walikuwa sehemu ya mhimili wa Ukomunisti Visiwani, ilikuwa lazima waondolewe kwenye viambaza vya Zanzibar kufanya Karume na Nyerere “wapumue”.

Mikakati na mitafaruku hiyo, iliyochukua siku 100 tangu Mapinduzi ya Januari 12, 1964 hadi kufikia Muungano, ilikamilika kwa kutiwa sahihi Mkataba wa Muungano Aprili 22, 1964 kwa ushindi wa nchi za Magharibi dhidi ya Ukomunisti Visiwani.

Lakini pamoja na hayo, Zanzibar ya Muungano, kama ilivyokuwa Zanzibar ya kabla na baada ya Muungano, haikugeuka “asprin” kutuliza maumivu ya kichwa kwa Nyerere na Watanzania kwa ujumla, kama inavyothibitishwa hadi leo na ugonjwa tishio wa kuuwa, uliokosa dawa; ujulikanao kama “Kero za Muungano”.

Sio tu kwamba Muungano wa “Tan-zan-ia” umekosa mwelekeo wala kukidhi madhumuni yaliyokusudiwa hadi leo, bali uliwaumiza vichwa hata waasisi wenyewe wakafarakana; hasa baada ya Karume kugundua kwamba mwasisi mwenza, Mwalimu Nyerere, alipanga kutekeleza Muungano wa Serikali mbili kuelekea Serikali moja, badala ya Shirikisho la Serikali tatu, kama tulivyoona.

Nia hiiinathibitishwa na kuongezwa kinyemela kwa mambo ya Muungano, kutoka kumi na moja ya awali, hadi (sasa) 23 kulikomfanya Karume agongane na Mwalimu mara nyingi kiasi cha kusema:“Muungano ni kama koti, likikubana unalivua”, kama ishara ya kuchoshwa na Muungano huo.

Uhasama wa Viongozi hao uliwafanya wasiwasiliane ana kwa ana ila kwa njia ya wapambe wao – Bhoke Munanka [Nyerere] na Aboud Jumbe [Karume]. Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Salim Rashid alipotaka kujiuzulu kazi Serikalini siku moja kabla ya kuuawa kwa Karume, [Karume] alimzuia asifanye hivyo kwa sababu yeye [Karume] alikusudia kuvunja Muungano lakini muda haukumruhusu.

Kwa nini Muungano?

Hapana shaka kwamba, chimbuko la Muungano ni hofu ya Mwalimu dhidi ya hatari kwa Zanzibar kama nchi, kuwa mlangoni mwa Tanganyika; hofu ambayo awali alipendelea ipate ufumbuzi kwa kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki (EAF) ili Zanzibar imezwe ndani ya Shirikisho.

Kushindikana kwa EAF kulimlazimu Mwalimu Nyerere kuanzisha mchakato mpya wa Muungano wa Tanganyika – Zanzibar kwa madhumuni hayo hayo. Mchakato ulirahisika zaidi kufuatia Mapinduzi Visiwani, yakiongozwa na Wanaharakati wa Kikomunisti [Babu na wenzake] kushika dola na kuzitia hofu nchi za Magharibi [Marekani na Uingereza] na kuungana na Nyerere dhidi ya Ukomunisti.

Kwa nchi hizo, hofu haikuwa juu ya kupinduliwa kwa Serikali ya ZNP/ZPPP iliyowekwa madarakani na Waingereza, bali ilikuwa juu ya kueneza kwa Ukomunisti Afrika kupitia Zanzibar.

Ni kwa kiasi gani Muungano huo ulifanikiwa kupoza maumivu ya kichwa kwa Mwalimu juu ya Zanzibar? Jibu sahihi linatolewa na Mhariri wa gazeti la “The Economist” la Juni 1964, kwamba, “Rais huyo [Nyerere] amemudu nusu tu ya kazi ya Chatu [ya kumeza]; amefanikiwa kummeza Mnyama [Zanzibar] lakini bila kuzivunja nguvu za Mnyama huyo ambaye bado yu mzima tumboni akiyeyushwa. Ukali wa mateke yake na maumivu yanaonekana dhahiri ndani mwa Tanganyika, na yanaweza kuuwa”.

Maumivu haya kwa Muungano (Kero za Muungano) si ya kisiasa bali ni ya Kikatiba. Kujaribu kutibu maumivu haya kisiasa, ni kujaribu kutibu dalili za ugonjwa badala ya ugonjwa wenyewe. Na ili kutibu ugonjwa huo, kunatakiwa Katiba (mpya) yenye kuzingatia historia sahihi ya Muungano na kile kilichokusudiwa na kama bado kina mantiki hivi leo.
 
Historia ya nchii hii hainzii na kuja Mjerumani na Muingereza inaanzia mbali sana na wakubwa sio kwamba hawataki kuisikia historia ya kweli ya kudai uhuru na TANU na mchango waislam katiika harakati hizo . Brother Mohammed Said amefanya kazi kubwa sana katika tafiti zake na anastahiki kupongezwa sana. na tunamuomba afanye hima sana kuchapisha haraka miswaada yake mingi ya kazi zake ambazo bado kuzichapisha. Hili sio la kungejea kesho, inshaalalh Allah atakulipa kwa elimu yako na tukumbuke binaadamu tuna jifunza kotokana na historia. Quraan ina visa vingi vya zamani vimeelezwa humo kama Kisa cha Luqman , kisa cha Nabii Mussa, Issa,Nuhu nk. haya yote yametajwa kujikumbusha na iwe mfano kwetu na kama njia ya kujifunza kutoka nyuma makosa yao na mazuri yao. Hivyo Historia ina play great role katika maendelea ya taifa lolote. lakini historia ya kweli kwani itaondoa shaka na utengano ikiwa jamii moja au mtu mmoja anafanywa kuwa ndio historia ya taifa.

Katika kujaribu kutafuta ya nyuma zaidi kabla ya Wajerumani na Waingereza nimejisomea harakati za Waislam hata kabla ya Ujerumani katika nchii hiii. miaka mingi sana kabla ya Wazungu hawaja jua kama kuna bara la Afrika.

Tanga
Baada ya kutawafu kwake Mtume muhammad (S.a.w) Uongozi wa dola ya kiislamu ulishikwa na Khalifa wa kwanza Abuu bakar ibin kahfa (Swidiq) Swahaba huyu pia aliendeleza kupanua fani ya dini ya kislamu na kutuma wajumbe mbalimbli kwenda kutangaza ujumbe katika kipindi hiki
hassan ibni Adurafu ni mmoja kati ya wajumbe waliotumwa wakati huo ambaye alifika mpaka pwani hii ya Azania eneo la Mtang'ata (tanga) hassan aliishi hapo mpaka mwaka 665 alipoingia katika milima ya Usambaa
tunasoma habari za mtu huyu pia katika kitabu cha zamani mpaka siku hizi imeandikwa kuwa mwanzoni aliishi Nguu huko zigua baadaye alielekea kilindi aliolea bumbuli akafanywa kuwa kiongozi
wakazi wa kilindi inayopatikana katika Wilaya ya andeni mkoani tanga hivi sasa kilindi nayo imefanywa kuwa ni wilaya inayojitegemea alimfanya kuwa kiongozi wao baada ya kuwasaidia wakazi wa hapo likiwemo lile la nguruwe pori nguruwe hao walifikia hata kutafuna watoto kipo kosa cha kuwahi kutafunwa mtoto wa kiongozi wa eneo hilo hassan ibn abduraufu alifanikiwa kuondoa hatari hiyo na kuwafanya wenyeji wampe jina la Mbega ikiwa na maana Mkombozi
Mpaka kufikia mwaka 689 alifanikiwa kuisimamisha uongozi wake kwa kipindi hicho katika eneo la pwani ya azania iliyofahamika kwa jina la dola ya kilindi (kilindi State) ikiwa ni dola kamili inayotawaliwa kwa mujibu wa sheria za kiislamu
kakao makuu yake dola hii yalikuwa Andeni tanga dola hii ilienea toka milima ya Usambara mpaka milima ya meru kaskazini na kuingia mpaka nchi ya kuwa mafia toka Unyanyembe mpaka nchi ya wasumbwa kahama pia toka mambasa (mvita) lamu mpaka mogadishu somalia
dola hii ilikuwa na miji mikubwa isiyopungua 59 miongoni mwa miji hiyo ni saadani pate tongoni kaole rhapta mogadishu na mingineyo dola hii pia ilifahamika baadaye kuwa ni dola ya vuga chini ya utawala wa mjukuu wa hassan ibn Aduraufu mbega aitwaye kimweri kwani baada ya kufariki Sheikh hassan mbega alishika uongozi wa dola hiyo ni mwanaye aitwaye bughe hassan bin abduraufu na baadaye Sheikh kimweri
vyeo hivyo iliikwenda mpaka kufikia mwaka 1234 ilipodondoka rasmi na baada ya kupoteza umaarufu wao kabila kutokana na mgogoro wao wa wenyewe kwa wenyewe juu ya utawala)''


 
Last edited by a moderator:
Songea
Wangoni wenyewe ni kutoka Afrika ya kusini
Tafauti kati ya mashariki ya songea na magharibi ya songea
mashariki ya songea Wangindo na wamatumbi hao wa mashariki ya songea wote takriban ni Waislamu yaani kuanzia Lumecha namtumbo nakapanya Ilundupu mpaka tunduru ambapo utakutana na Waiyao ambao kwa asilimia 99 ni Waislamu

watu wengi wa mashariki ya songea wanazungumza kindendeule ambao leo hao wanaitwa Wandendeule hiyo ni kwa sababu wakati Wangoni wanaingia Walipigana vita na Wenyeji hao wakati Wenyeji Wakipigwa na hao Wangoni Kutoka Afrika ya kusini walikuwa wakilia Ndendaule yaabu nifanye nini???-
baadhi yao walikimbilia sehemu ya mlima Mbunga ifakara wakaitwa wambunga bali wote hao kiasili ni Wangindo na wamatumbi sio Wangoni asili
na hao ndio waliopigana vita na mjerumani kwani kumtoa mngindo katika Uislamu lazima ufanye shughuli kubwa ni washupavu
magharibi ya songea ambayo ndio ngome kubwa ya Ukiristo katika maeneo ya peramiho mpaka mbinga na kuendelea huko ndiko wangoni wenyewe hasa ambao kiasili wanatoka Afrika ya kusini waliweka kakao yao na wale wenyeji wenye asili ya songea kabla ya kuja kwa hawa wangoni na baada ya vita na wangoni ni kundi la wamatengo wengi walijipendekeza kwa wangoni kutokana na uhujaa wao wakupigana na wenyeji
na hata walipokuja wazungu walikubali kuwa wakiristo maramoja ndio utakuta katika wamatengo wanapatikana wakiristo wengi ambao wapo upande wa magharibi ya songea ingawa na Waislamu wapo wachache katika upande huo )
kwanini wengine wanaitwa wangoni wakati sio wangini? hayajatokea kwa bahati mbaya ni mpango huo ulikuwa wakati wa kuwaandikisha watoto shule wakati wa serikali za kikoloni ikiwa wana majina ya kiislamu huulizwa kabila na wakisema kuwa wao ni Wandendeule wanaandika Mngoni hiyo imekwenda hivyo mpaka sasa hao wanaoitwa wangoni wanaongea Kindendeule na sio kingoni ingawa wanaitwa wangoni'
 
Kilwa na serekali yake
serekali na wizara zake katika dola ya Kilwa katika muumdo wa serikali Sultani alikuwa kiongozi mkuu wa dola akisaidiwa na waziri wake mkuu ambaye aliishi na kufanya kazi kwenye ikulu moja na kiongozi mkuu wa nchi
Likini pia kulikuwa na wizara kadhaa zilizondana mazingira pamoja na hitajio la wakati husika
wizara ya Uvuvi kwa kuwa uvuvi ulikuwa ni moja ya kazi kuu ya jamii ya wanakilwa ililazimu kuundwa kwa wizara yenye dhamana ya Uvuvi ambayo ofisi zake kuu zilikuwa eneo la Sheikh Mussa bin hassan Msasani
Wizara ya masoko na biashara soko la kimataifa lilikuwa sadani wilayani bagamoyo hapo ndipo walipokuwa wanakutana wafanyabiashara na hata wale walio toka nje walio leta vyakula nguo na mahitaji mengine walio tokea hijazi iraq sham na nchi nyingine kutoka Asia kwa aajili ya biashara mbali mbali lakini pia kulikuwa na masoko mengine
kilwa iliandaa eneo kubwa la bandari kwa ajili ya kuimarisha biashara hiyo na zaidi ya hayo pia kulikuwa na barabara kutoka kilwa mpaka Nyasa na nyingine kutoka kilwa kisiwani kwenda nchi ya wasubwa kahama ambazo zilikuwa ni miongoni mwa barabara chache za misafara mikubwa kutoka maeneo ya kati ya Africa kuja pwani hivyo kilwa ilikuwa na vituo vikubwa vya wafanyabiashara pamoja na ustaarabu wake pia palikuwa ni mahali rahisi kwenda sofala
kilwa ilikuwa ikisafirisha dhahabu kutoka sofala pembe za ndovu kutoka maziwa makuu kadhalika kilwa ilikuwa ikiingia ikiingiza bidhaa zifuatazo kwa ajili ya walaji wa ndani Mtama Mccchele mifugo na asali toka bara na kutoka nchi za nje kilwwa ilipata mabakuli sahani na aina zote za vyomba kutoka Misri, China na iran
kilwa ilipata mapapai kutoka india Dhahabu ,Nguo za hariri Shaba na Shanga toka Iran na Arabuni walipata mazulia misala kahawa na tende wakaazi wa kilwa walionekana kila siku wakiwa wamejipamba na mavzi ya Kiislam kama vile kanzu na kofia
mbali na mfumo huu wa biashara kutoka na kwenda iran na india kulikuwa na aina mbalimbali za mwingiliano wa kibiashara na wachina
Wizara ya elimu makao makuu ya Wizara ya Elimu yalikuwa kilwa kisiwani hata hivyo ziliundwa shule za kati hadi vyuo vya elimu ya juu katika kila mji mkuu wa kila kanda chini ya usimamizi wa misikiti mikubwa iliyoteuliwa
miongoni mwa miji yenye misikiti mikubwa same lingi pangani sadani ikweriri kibiti mwera mikindani na kwa Sheikh musa hassani msasani mingine ni kilwa mafia kisauke bagamoyo kaole mbweni'
mohammd ibn abdullah ibin batuta alipoitembelea dola hii aliandika taarifa nyingi juu ya dola hii ikiwemo iiiinayoihusu wizara hii ya elimu na sekta ya elimu kwa ujumla wake
Mwanachuoni huyo ameeleza kuwa uongozi wa miji ya kiislamu ya kaole na bagamoyo za wakati huo uliandaa makao makuu ya kutenganeza na kutafsiri mitalaa ya shule za awali kwa kupitia chuo cha waalimu wa awali kilichopo pwani ya Sheikh mussa hassan msasani
pia vijana waliofaulu walifanikiwa kwenda kusoma katika vyuo vikuu vilivyopo Andalus (Hispania), baghdad, iraq Al Azhar' (Misri) Chuo Kikuu cha Timbuktu Africa ya Magharibi, Alzaitun (tunisia) na alkarakuyiri (Fez-Morocco)
Mfano wa vijana waliobahatika kwenda kusoma katika vyuo hivyo ni pamoja na hassan hamisi Mwinyi sembe Shomvi kutoka katika kijiji cha mapinga, bagamoyo, alitokea katika shule ya awali ya Mbweni na kwenda kusoma chuo kikuu cha madawa na tiba cha ibni sina (Aveccina) cha iraq
na pindi aliporudi cchini alikwenda katika kijiji cha kihistoria cha makurunge (bagamoyo) ambapo alianzisha shule ya awali ya sayansi ya tiba na madawa
na ni katika chuo hicho cha makurunge ndipo palipokuwa na msikiti wa kwanza katika historia ya pwani ya hapo wenye Hospitali na shule ya sayansi ya tiba na ndipo kitabu maarufu cha tiba cha ibun Sina kiitwacho Qanuun Fii tiib taratibu za tiba kilipoanza kufundishwa katika shule zote za awali hapo nchini na kwa juhudi ya wanafuzi na madaktari bingwa wa magonjwa ya akinamama na watoto wagonjwa wengi walifanikiwa kupona maradhi mbalimbali kutokana na faida ya chuo hicho
Shule hiyo ya sayansi na tiba ya makurunge ilipofikia karne ya kumi na saba katikati iliweza kutoa mmmmabigwa walioshiriki operesheni ya kwanza ya upasuwaji wa tumbo lenye saratannni, iliyofanyika iraq katika mji wa Nasriyah
Operesheni hii ilishirikisha madaktari bingwa 136, wakiwemo waislamu kutoka pwani yetu 12 kutoka katika miji ya bagamoyo kaole na Tumbatu zanzibar ni katika mafanikio hayo ya elimu ya Afya na Uchumi ndio dola ya kilwa ilipopata kuvuma zaidi duniani kwa vile shule zote za elimu ya awali zipatazo 16,689, shule za msingi 13,106 vyuo vya elimu ya juu 38 viliweza kutoa wanataaluma walioweza kuitetemeshha dunia kitaaluma kwa wakati huo
Wizara ya Afya kama utazama kwenye histiria ya kilwa utagunguwa kuwa wizara ya elimu ilikuwa mzalishaji mkubwa wa matabibu ambao walitegemewa na wizara ya Afya kuwahakikishia wakaazi wa doola hiyo siha njema
Wizara hii iliyokuwa na makao yake bagamoyo ilifanikiwa kuwa na hospitali kubwa nne za rufaa zilizojengwa katika miji ya kilwa kaskazini kisauke shapan na tumbatu na kutoka katika hospitali hizo wagonjwa walipekwa moja kwa moja iraq katika mji wa Najaf kwa matibabu zaidi iwapo tiba ilishindikana nchini
kipindi hiki dola ya kilwa ndipo ilipopewa jina la The house of Wisdom(baytul hikma) au nyumba ya hekima jina hiki lilitolewa na harun rashid Khalifa aliyetawala dola ya iraq
Uislamu ni dini ambayo ilitoa mchango mkubwa katika maendeleo ya wakati wa ujima Nchi zilizoko upande wa magharibi katika Arica Asia na yuropa (Ulaya) wakati huo hadi kufariki kwa ntume muhammed s.a.w atika karne ya saba ya wajenzi wa dola ya kiarabu chini ya nuru ya waislamu ni mfano mahsusi wa mchango wa dini kwa upande huo
Naye Hecked signan anasema
Wakati Ulaya ya wakati ilipokuwa ndani ya giza la uovu vituo vya usomi katika dunia ya waslam vilikuwa vinafundisha fasihi falsafa sanaa sayansi na elimu ya viwanda
Waslamu walifanya maendeleo ya kufana katika sayansi wasomi wa kiarabu walitoa mchango mkubwa katika fani ya hesabati na walipeleka Aljebra na tarakimu za kiarabu ulaya waarabu walikuwa na ujuzi wa madawa na upasuaji wa macho na tiba ya macho
wizara ya usafirishaji bandari kuu ilikuwa katika kutoka nje walipokuwa wanafika kabla ya kwenda kufanya biashara zao kulikuwa na misikiti takriban 1400;
ibni batuta ameandika kuwa mji wa rhapta ambao ulikuwa na bandari iliyokuwa ikitumika kwa biashara katika ya watu wa makkah sham na pwani ya africa

na pia ni bandari kuu ya biashara ya mwambao wa azania na nchi zinazopatikana na bahari ya hindi kwa kaskazini wafanyabiashara toka nje walikuja katika mji wa rhapta kuuza miundu na glasi za aina mbalimbali

 
Mkuu crabat

Kwakusoma sehemu ya machapisho uliyoileta ni wazi hiyo sio historia ya Tanganyika wala sio historia ya ukombozi,

Hiyo ni historia ya kuingia uislamu Tanganyika na kuenezwa kwake.
 
Last edited by a moderator:
Kilwa
kipindi cha banu Umayya

huu ni utawala wa kwanza katika kipindi hichi baada ya makhalifa wanne utawala wa banu Ummayya ulianza na Muawiya bin Abuu sufiyan ulifuatiwa na yazid bin muawiyya 61-64 Hijiria sawa na mwaka 680-685 A.D, utawala huu haukuwa mzuri, kwani ulikuwa na upungufu mwingi;'
baadaye ulifuatiwa na uongozi wa Umar ibn Abdul-Aziz, ambaye alijaribu kurudisha hali ya kawaida katika katika dola yake na zile za mashariki ya kati na mashariki ya Mbali
Marwan wa pili au Abdul malik marwan, alikuwa ni mmoja katika utawala huu yeye ndiye aliyefanikiwa kuufikisha Uislam Hispania miaka ya 86-96 hijiria (705-715 A.D)
Hispamia ilipokuwa chini ya utawala wake, wakati huo ikiitwa Andalus, kulikuwa na migogoro mingi iliyosababisha ukoo wa Abbas kujitenga, Abuu Muslim alllifanikiwa kupata wafuasi wengi ambao walimuunga mkoono kwa kuwahamasisha juu ya kile kilichofahamika (Ahlul Bayt.) ukoo unaotokana na Mtume ndio bora katika uongozi Mwishowe walipigana kati ya banu Umayya na Banu Abbas
banu Umayya wakashindwa watu wakamchoguwa Abuu abbas kuwa ni kiongozi wao na huo ndio ukawa Mwanzo wa utawala wa banu Abbas Mnamo mwaka 750 A.D
Kutokana na migogoro ya banu Abbas na Umayya Waislam wengi walimiminika kuingia Pwani ya Azania Mgogoro wa mwaka 750 ndio uliomsukuma Mtoto wa aliyekuwa Mtawala wa tatu, Marwan wa pili au Abdulmaliki ibn marwan akiitwa Hamza ibn abdul maliki ibn Marwan, afike katika visiwa vya Kilwa,;
Maelezo yanasema
Mtu mmoja jina lake Hamza alikuwa katika hao wa kwanza waliofika wakati huo hamza alikuwa mwanawe Abdul maliki aliyekuwa Khalifa aliyetawala kutoka Mwaka 65 Hijiria hadi 86 Hijiria Hamza ndiye aliyeleta Ustarabu

katika mwaka 755, kundi la Amu said, kizazi chenye mnasaba na sayyidna Ally kiliingia Somalia Mwaka 120 Hijiria (740 A.D), Zaid mjukuu wa hussein bin ali bin Abuu talib (r,a), aliingia katika mgogoro wa Uongozi na baadaye kuuwawa katika ya mwaka 724 hadi 743.)
Wafuasi wa Zaid Amu said wanaotoka kusini mwa Arabu, waliingia katika mwambao wa Afrika mashariki kisha wakaoleana na wasomali, wakati huo eneo la somalia linaitwa Afica ya kati kabla ya mkutano wa Berlin, wa kuligawa bara la Africa (Berlin Conference of 1884-feb 1885)
KIzazi hicho chenye nasaba moja kwa moja na Sayyid na Ally bin Abuu talib (R.A) Kilianzisha Diwani ya kwanza Ruga Vumba kuu na Vumba ndogo Wasin ikiongozwa na Ahmed bin hussein wa ukoo wa ba-Alui pia kizazi cha Abuubbbbakar bin Sheikh, ambaye alikuwa Mtawala wa vumba kubwa na vumba ndogo
kwa mujibu wa silsila ya viongozi wa mwambao huu utaona imeanzia kwa Ally bin Abuu Twalib na bibi Fatma (r.a) Sayyid hussein sayyid zeina el-Abidina ali, sayyid muhammad el-bakir,sayyid jafir sadiq,sayyid ali al harith, sayyid muhammad, sayyid issa, sayyid AHMED NA SAYYID Abdullah.
Silsila HIYO INAENDELEA KWA SAYYID Alui, ambaye kwake yeye huyu Bwana ukoo wa bani Alawi au Ba Alawi unapata mzizi wake
Ukoo huo umekwenda moja kwa moja mpaka kwa sayyid ABUUBAKAR MASELA el- Ba-alawi., ambaye ni mmoja katika ya hao ndugu wa mwanzo kuja Africa ya mashariki na kutoka kwa huyu kizazi kiliendelea mpaka kwa Shekh Abuubakar DIwani wa Ruga
Utaona kwemba katika mwambao wote wa somali mombasa Zanzibar pate, lamu na sofala zipo koo hizi za Ba-Alawi ba -Urri, na ba- Amir,
pamoja na makundi mengine ndugu saba wa Al-haswa wakaingia ndani ya Somalia katika mwaka 295 Hijiria (908 AD), Wakati wa mtawala wa Oman aitwaye El- wawari Bin matrash Ndugu hawa saba wakiwa na majahazi matatu walifika Mogadishu wakitokea Al-Haswa katika Pwani ya Oman katika kabila la El Azd
Mnamo mwaka 975 A.D, hassan bin Ally akiwa na majahazi saba kutoka Shirazi aliingia Kilwa yeye mweenyewe akabaki Kilwa kisiwani kisha jahazi lingine likiongozwa na mwanae aitwae Muhammad lilielekezwa Mombasa ' Mwingine aitwae Bashati alilielekeza jahazi lake nchi ya kua (Mafia) na aliyeitwa suleyman yeye alielekea pate na aliyeitwa Hussain alielekea Zanzibar, wakati watoto wake Daudi na Ali mmoja alikwenda Kismayu Somalia na mwingine akaenda (Visiwa vya Qamar Comoro)
hata hivyo G.S.P.Feeman Grenville akimnukuu Shekh Muhyidiin anasemakuwa yalikuwa majahazi saba jahazi la kwanza lilikwenda mandakh la pili lilikwenda Shungu la tatu lilikwenda katika mji uliitwa yanbu la nne lilikwenda mombasa na la tano lilikwenda katika kisiwa cha Kijani Pemba ) jahazi la sita lilikwenda katika nchi ya kilwa na la saba Hanzuani (morocco)
kwa upande wake Hassan bin Ally alipofika kilwa aliitamani sana sehemu hiyo na kuone pana manzari nzuri hapaja jengwa akaenda kumuona mtu mmaja aliyeitwa Muriri wa bari Ambaye alikuwa ni Muislam'
Huyo akampeleka kwa kiongozi wa eneo hilo la Mrima ambaye alikuwa akifahamika kwa jina la Bwana Kilwa Abdallah ibin Kilwa ambaye jina lake limenasibiswa na jina la mji wa KiLWA 'Hassan bin Ally alipewa sehemu ya Ardhi ya KIsiwa na huyu bwana kilwa baadaye alikuja kuwa kiongozi wa hapo
baada ya utawala wa Hassan bin ally baadaye aliitawala kilwa mwanaye ally bin hassan, amdaye yeye ndiye aliyeitanuwa dola ya Kilwa na kuwa kubwa na yenye umaarufu mkubwa katika pembe zote za Dunia wakati huo
......Ndipo sultan Ally alipoanza kueneza utawala wake tena alijitahidi akatanua biashara ya dhahabu iliyokuwa ikitoka sofala kwenda Mogadishu'
kwa ufupi wa maneno Utawala huu wa dola ya kilwa ukawa wa kitajiri na kutikisha dunia kwa wakati huo''
Walter rodney mwanahistoria mashuhuri anasema Africa ilistaarabika kupitia Uislam kabla Mzungu wa kwanza hajakanyaga mguu wake barani Africa
mataifa mbalimbali yalishuhudia maendeleo makubwa ya kilwa kupitia harakati mbalimbali za kimaendeleo hasa kuwanzia mwaka 1300 A.D, WAKATI HUO IKIWA CHANI YA ABDUL muzhafar hassan mjukuu wa mtawala wa mwanzo hassan bin ally ibin batuta anasema-
wakati nilipofika kilwa nilimkuta mtawala wake aliyekuwa anaitwa abu mudhaffar hassan akiifahamika kwa jina na Abul mawahib,
na hii ilitokana na wingi wa maajabu na ukarimu usio kifani
HiSTORIA inazidi kufichuwa zaidi kuwa Waislam wa kilwa walitumia baadhi ya nali zao kuimarisha miji yao badala ya ujenzi wa matope na miti waislamu hao ndio waliokuwa wa mwanzo kutumia mawe yaliyochanganywa na saruji na chokaa iliyotokana na matumbawe
kazi hiyo ya ujenzi ilikuwa bora kuliko ujenzi ule wa matope uliotumika hapo kabla ambayo majengo yake yame sababisha kupotea'
Dola ya kilwa ilikuwa na muundo wa kikee ulioendana na hali halisi ya wakati huo Kimaendeleo kiuchumi kitaaluma na kijaografia makao makuu ya dola hii yalikuwa kaole Bagamoyo lakini Ofisi zake kuu za utendaji zilikuwa Kilwa Kisiwani katika Ikulu ndogo na kubwa zikifahaamika kwa jina la Husuni kubwa na ndogo husuni kubwa ilijengwa karne ya 14, chini ya utawala wa Al hassan ibn suleyman ndani ya jiji la kilwa Kisiwani Jengo hili lilitumika mpaka mwaka 1843 baada ya mtawala wa mwisho kukimbilia Muscat nchini Oman
ikulu hiyo limetuama katika sehemu ya muinuko ikiitazama bahari ya hindi kwa upande wa mashariki mlango wa kilwa ulielekea upande wa kaskazini na jiji lenyewe la kilwa likibaki upande wa magharibi''
jengo hilo la kuvutia ambalo halijawahi kujengwa mfano wake kusini mwa jangwa kuu la sahara kabla ya karne ya 18 kipindi hicho jengo linakusanya zaidi ya vyomba 100, ambavyo vilitumika kama ofisi mbalimbali za ikulu kama taasisi
Eneo la kusini la jengo hili limegawanyika katika sehemu 'mbili yaani ile ya chini ya juu
sehemu ya chini ina ukubwa wa mita za mraba 2,116 na ina vyumba vya ofisi 38 kila upande ulikuwa na vyumba viwili katika ya vinne vyaenye kufanana

sehemu ya juu ya jengo hili ni enneo lenye vyumba vya ofisi na naeneo maalum kwa ajili ya wageni na wanadiplomasia
kusini magharibi ya eneo hili kulitengwa kwa ajili ya shughuli mbali muhimu kwanza zilijengwa nyumba za viongozi pili zilijengwa ofisi za kodi ya mapato na jirani na nyumba hiyo kulikuwa na kisima kirefu cha ukubwa wa mita 4.6 cha maji kileo leta maji ya kutosha
Upande wa maghribi ya ikulu hii ulikuwa na ukumbi mkubwa wa mkutano wenye mita za mraba 195.pia kulikuwa na ukumbi wa pili mdogo wa mikutano kwa ajili ya wageni maalum Upande wa kaskazini mashariki ya ukumbi huu kuna mabafu ya kuogea eneo hili lina ukubwa wa mita 13 lenye pembe sita kona zake za pembe tatu zina viti maalum vya kukalia muogaji na ngazi za kushukia !
kweli uongozi wa kiadilifu uliweza kuibadilisha africa na ikawa nchi tajiri duniani na kutajika' kote ulimwenguni)
........Inshaallah Tutaendelea.
 
Mkuu crabat

Kwakusoma sehemu ya machapisho uliyoileta ni wazi hiyo sio historia ya Tanganyika wala sio historia ya ukombozi,

Hiyo ni historia ya kuingia uislamu Tanganyika na kuenezwa kwake.

Endelea kusoma then utajua kwa nini kanisa halikupenda mambo ya uhuru....mada zitaendelea..
 
Last edited by a moderator:
Mwandishi wa hizo makala ni nani?

We mtoto crabat anakwambia Uendelee kusoma Uuone UGALATIA ulivyokuwa Kizuizu cha Nchi Yetu kupata uhuru, we unauliza Muandishi ni nani?
Teh teh teh!

Wenye akili za kawaida tu Husoma Makala kamili na Ndani ya Makala hio utamtambua huyo mwandishi.
Samaki wahed, bongo zimajaa makamasi kibao.

We huna lolote zaidi ya kubwabwaja tu humu. Kaa mkao wa kula upigwe Darasa UUONE UKRISTO ulivyorudisha Nyuma Mapambano Ya Uhuru wa nchi yetu na Ile misalaba yenu kilo 10.
Kelbu wahed.
 
Last edited by a moderator:
We mtoto crabat anakwambia Uendelee kusoma Uuone UGALATIA ulivyokuwa Kizuizu cha Nchi Yetu kupata uhuru, we unauliza Muandishi ni nani?
Teh teh teh!

Wenye akili za kawaida tu Husoma Makala kamili na Ndani ya Makala hio utamtambua huyo mwandishi.
Samaki wahed, bongo zimajaa makamasi kibao.

We huna lolote zaidi ya kubwabwaja tu humu. Kaa mkao wa kula upigwe Darasa UUONE UKRISTO ulivyorudisha Nyuma Mapambano Ya Uhuru wa nchi yetu na Ile misalaba yenu kilo 10.
Kelbu wahed.

Hivi huwezi kuchangia bila kutukana kijana?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom