Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

We mtoto crabat anakwambia Uendelee kusoma Uuone UGALATIA ulivyokuwa Kizuizu cha Nchi Yetu kupata uhuru, we unauliza Muandishi ni nani?
Teh teh teh!

Wenye akili za kawaida tu Husoma Makala kamili na Ndani ya Makala hio utamtambua huyo mwandishi.
Samaki wahed, bongo zimajaa makamasi kibao.

We huna lolote zaidi ya kubwabwaja tu humu. Kaa mkao wa kula upigwe Darasa UUONE UKRISTO ulivyorudisha Nyuma Mapambano Ya Uhuru wa nchi yetu na Ile misalaba yenu kilo 10.
Kelbu wahed.


Endelea kujifunza hapa kijana,


By Yericko Nyerere.

Tanzania, situated on the eastern part of the African continent, was colonised by Germany in 1884 and named Tanganyika. However, the territory of Zanzibar, which consists of the two islands Unguja (Zanzibar Island) and Pemba, became a single British Protectorate in 1890. After the First World War, the League of Nations mandated Britain to take over the territory of Tanganyika in 1918. Leading African labour activists formed the African Association (AA) in 1927, but the body remained largely ineffective.

In 1948 the AA reconstituted itself as the Tanganyika African Association (TAA), which began calling for constitutional reforms that reflected African interests. The TAA criticised racial discrimination, calling for the Africanisation of the civil service and increased expenditure for educational loans. In April 1953 Julius Nyerere was elected the president of the TAA, defeating his rival Abdulwahid Sykes. On 7 July 1954, the Tanzanian African National Union (TANU) was formed in Dar-es Salaan and succeeded the TAA. TANU grew in popularity in various areas of Dar-es Salaam, growing its membership in urban and peri-urban areas. The British attempted to establish systems that would protect their interests and those of the settler population, in particular by organising an electoral system in the period from 1957 to 1958. When Legislative Council elections were held, TANU won all the seats reserved for Africans, paving the way for the establishment of a popularly elected government. Other parties such as the African National Congress (ANC) and the All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT) – an alternative to TANU – were less successful.

In December 1959 the British government agreed to allow self-government after general elections scheduled for August 1960, but the country remained a colony. Nyerere became the chief minister of the government, but he had limited powers, as foreign policy and control of the army remained under the direction of the Colonial Office in London. In May 1961, Tanganyika was granted autonomy and Nyerere became the Prime Minister with full powers under a new constitution. On 9 December 1961 Tanganyika was granted independence and Nyerere became the first president. On 19 December 1963, Zanzibar also became independent, leaving the way clear for the unification of mainland Tanzania and Zanzibar on 26 April 1964 as the United Republic of Tanzania and Zanzibar. In October 1964, the country was renamed the United Republic of Tanzania.

The African National Congress in Tanzania

After taking power in Tanzania, Nyerere became one of the architects for the formation of the Organisation of African Unity (OAU) and remained an ardent supporter of the continent’s liberation struggles. Tanzania provided facilities for liberation movements such as the African National Congress (ANC), Pan Africanist Congress (PAC), the Zimbabwe African People’s Union (ZAPU), the Zimbabwe African National Union (ZANU), the South West African People’s Organisation (SWAPO), FRELIMO and the Popular Movement for the Liberation of Angola (MPLA), and allowed them to operate from its soil. In addition, the Tanzanian government allowed the organisations to use Radio Tanzania to broadcast messages to their respective countries.

In the aftermath of the Sharpeville Massacre, the government banned the ANC and the PAC in South Africa. The ANC then sent Frene Ginwala to Tanzania with instructions to establish an office in Dar-es Salaam, and await further communication. Once in the country, she worked as a journalist while carrying out work for the ANC, which included receiving comrades arriving in Dar-es Saalam. Meanwhile, in 1960 the party instructed Oliver Tambo to clandestinely leave the country and establish offices for the movement in exile. He was also authorised to seek international support for the struggle against apartheid. Tambo skipped the country through Bechuanaland, in a car driven by Ronald Segal. Once in Bechuanaland he contacted Frene Ginwala, who made arrangements for a plane to fly Tambo, Dr Yusuf Dadoo and Segal to Dar-es-Salaam. Upon arrival they were welcomed by Julius Nyerere, and from that time Tanzania became an important point of contact and transit for the ANC in exile.

In 1961 the ANC and SACP launched Umkhonto weSizwe (MK) as its armed wing, and It became imperative to seek military training facilities in friendly African and East European countries. As part of advancing this idea Nelson Mandela visited Tanzania in 1962 to seek financial and military assistance to enable MK to wage the armed struggle. The meeting ended in disappointment for Mandela as Nyerere urged the ANC to postpone the armed struggle until the release of PAC leader Robert Sobukwe. Despite this disappointing response, the Tanzanian government facilitated Mandela’s travel arrangements by issuing him with documents to travel to Ethiopia and by liaising with Emperor Haile Selassie. Mandela notes in his biography that the Tanzanian government also issued him with documents which enabled him to travel to other African countries and Britain.

Establishment of MK Camps in Tanzania in the 1960s and 1970s

Despite the initial hesitancy, Tanzania allowed MK to establish camps as transit centres for cadres training in the Soviet Union, China and Czechoslovakia. In 1962 the first military camps were established by Tlou Theophilus Cholo and Joe Modise. The names of the camps were: Kongwa, which held the majority of MK cadres in Tanzania; Morogoro, which functioned as the headquarters of the ANC and MK; and Mbeya and Bagamoyo. Funding and sustenance for the camps came various sources. The OAU Liberation Committee assisted MK by paying for rent and associated expenses for offices in Dar-es-Salaam and Morogoro. In addition the Swedish and Norwegian governments assisted with more funding and technical expertise through various organisations.

During the 1960s several members of the ANC were deployed in Tanzania. For instance, after JB Marks was elected as Chairman of the SACP at its Fifth Conference held underground in 1962, he was instructed by the National Executive Committee of the ANC to join the headquarters of the External Mission in Tanzania. In 1963 the ANC sent Jo Matlou to Tanzania, where he was followed by his wife Violet Matlou and their children. They became the only complete family living at the Luthuli Camp. Later, in 1965, Ben Turok arrived in Tanzania after serving three years in prison and briefed Tambo on the state of the ANC in South Africa. That same year the ANC relocated its headquarters to Morogoro, but its main military training camp remained Kongwa.

Kongwa Camp

Kongwa Camp was established between 1963 and 1964 about 400km west of Dar es Salaam, with Ambrose Makiwane the first camp commander. This the first MK camp to be established in Tanzania, Kongwa housed MK guerrillas who had returned from military training in the Soviet Union, China, Egypt and Algeria. MK recruits from South Africa who continued to make their way to Tanzania during this period by and large ended up at Kongwa. Over time the camp developed the capacity to train cadres on site without having to send them to other countries for training. The Tanzanian government supplied uniforms and one meal a day for each soldier.

By 1965 the ANC had a total of 800 guerrilla trainees in Tanzanian camps, many of them stationed at Kongwa; while others were undergoing military training in China, the Soviet Union or Czechoslovakia. As the number of trained cadres increased, some began to complain about the lack of willingness by the ANC leadership to send them back to South Africa to fight. This frustration exploded when Justice Gizenga Mpanza and other cadres from Natal stole a vehicle and drove to Morogoro, the ANC headquarters, to table their grievances. On the way they were arrested by Tanzania soldiers who suspected them of desertion. After the intervention of the ANC leadership, they were released and reprimanded, and the group was relocated to Lusaka in Zambia. Several members of this group formed part of the Luthuli and Pyramid Detachments, which were deployed during the Wankie and Sipolilo Campaigns in 1967.

Apart from the frustration of not being deployed to South Africa, there were other problems in the camps. Commanders had to deal with ill discipline, men involved in sexual relations with women from surrounding villages, and accusations of tribalism, and had to mete out corporal punishment.

By 1973 about half of the cadres in Tanzania had been trained at Kongwa. During that period Ambrose Makiwane was redeployed from Kongwa to Cairo and replaced by Joseph Jack. After the fall of Portuguese minority rule in Mozambique and Angola in 1975, Tambo organised to move MK guerrillas from the training camps in Tanzania and Zambia to Angola, near the South African border.

The Morogoro Conference

Growing discontent in the camps and criticisms of the leadership of the ANC precipitated the Morogoro Conference. ANC leaders were accused of a lack of progress in advancing the armed struggle. Numerous trained cadres remained in camps and were not deployed to South Africa, resulting in incidents such as the Mpanza debacle. Moreover, many felt that although countries such as Botswana and Swaziland had become independent, the leadership had failed to use these territories, which shared borders with South Africa, to infiltrate guerrillas into the country.

Around the mid-1960s, the OAU Liberation Committee, which provided both financial and political support for the armed struggle, put pressure on all liberation movements to intensify their military campaigns. The ANC initially responded by sending some trained guerrillas for retraining, but this was not enough to placate those who were discontented. In response, a group of commanders and commissars sent a memorandum to ANC leaders accusing them of being out of touch with events in South Africa, precipitating a rift between the political leadership and military rank-and-file within the movement. Those who wrote the memorandum were suspended, but others continued to identify with their grievances.

Consequently, a national consultative conference was convened from 25 April to 1 May 1969 at the ANC headquarters in Morogoro in what became known as the Morogoro Conference. The conference addressed the issue of communication between members of the ANC in exile and those inside the country. A Revolutionary Council (RC) was established to integrate political and military strategy. The Conference also considered whether non-Africans should be allowed to become members of the ANC leadership. For the first time, the ANC membership was opened to members of all races, but only Africans could be members of the National Executive Committee (NEC). Subsequent to this decision, Joe Slovo, Yusuf Dadoo and Reg September were elected to serve on the RC. At the end of the conference the ANC adopted the Strategy and Tactics Document, which became the first major policy document adopted by the ANC since the Freedom Charter.

The expulsion of the ANC from Tanzania

In October 1969 Oscar Kombona, a former minister who held the Foreign Affairs, Home Affairs and Defence portfolios in the post-independent Tanzanian government, and others were charged with treason. Kombona was accused of working with the US’s Central Intelligence Agency (CIA) to overthrow the government of Tanzania and assassinate Julius Nyerere.

The state’s witness was Potlako K Leballo, a founder member of the PAC, which also had camps in Tanzania. Leballo testified that Kombona had tried to enlist him and a co-conspirator. During the trail Leballo alleged that the ANC was also involved in plotting the coup. The Tanzanian government was enraged, and expelled the ANC from Tanzania. All ANC people were to be rounded up and sent to refugee camps, but ANC leaders such as Moses Kotane, JB Marks and Oliver Tambo resisted the move, contending that they were not refuges but freedom fighters. The ANC was forced to close its camps in Tanzania and evacuate its military personnel to the Soviet Union, with assistance from the latter.

The ANC moved its headquarters from Morogoro to Lusaka in Zambia. Although the party was readmitted into Tanzania between 1971 and 1972, the clampdown by the Tanzanian government damaged relations between the two. When Reddy Mampane was appointed as the ANC’s Chief Representative to the country in 1976, relations between the government and the ANC were still frosty. Despite this setback, South African refuges continued to arrive in Tanzania and their numbers swelled, particularly after 1976.

Tanzanian support for the ANC was not without qualification, and known communists such as Yusuf Dadoo, Joe Slovo Michael Harmel and Ruth First, who were also members of the ANC, were later banned from Tanzanian soil and forced to operate elsewhere, mainly Europe.

Education in Tanzanian camps: Mazimbu and SOMAFCO

Camp Mazimbu was initially established to accommodate and educate the children of South African exiles in Dar-es Salaam. Mampane notes that the Tanzanian government grew concerned about children ‘loitering’ in Dar-es Salaam. For the ANC’s Chief Representative, the task of finding a suitable place for the children became urgent. Initially the children were taken from Dar-es Salaam to a place near Morogoro, where the ANC owned some land. However, the site was close to a Tanzanian military base and the move presented a new set of problems.

Mampane and another comrade approached Tanzanian Regional Commissioner Anna Abdallah and requested a larger, more suitable location for the children. The central government granted the request by donating an old sisal estate with dilapidated buildings at Mazimbu. After submitting a report to ANC headquarters in Zambia, Mampane was instructed to build a school at the site. Oswald ‘Ossie’ Dennis, a civil engineer, and architect Spencer Hodgosn were engaged to make the place more habitable. In July 1977, work on the construction of the Mazimbu camp commenced. For the first group of students, life was difficult as there was no electricity or water supply. Water was sourced from Morogoro and delivered by a truck.

After the Soweto Uprising in 1976 and the subsequent crackdown on political activists and student organisations, scores of young people fled into exile. Many of them joined the ANC and went for military training under the MK, while others joined the PAC. Some students went to Tanzania, and were received by Reddy Mampane who then sorted them according to whether they wanted to join MK or further their studies. In 1977 the first group of young people fleeing the tense political situation in South Africa arrived at Mazimbu, and they helped clear the land for construction. Plans to expand the buildings to accommodate more people were set in motion. Although Mazimbu was designed to be a refugee camp, informal educational classes became the main activity, and after some debate, the ANC eventually agreed to establish a school. Formal teaching commenced in 1978 and Wintshi Njobe was appointed as the principal.

Nordic countries provided support for the construction of school buildings and on 8 January 1979 foundations were laid. Later that year students were able to move into the first completed dormitory. Because of the limited capacity, rooms were used as classrooms as well as places of accommodation. A crèche, nursery, and primary and secondary schools were established to cater for the growing number of children of various ages. In 1980 a primary school with Terry Bell as its first principal, and in 1984 the Charlotte Maxeke Children’s Centre was opened in Mazimbu, alleviating the problem of transporting children daily from Morogoro to Mazimbu.

Apart from construction work, Nordic countries extended their help to include skills training, construction, teaching and medical assistance. A hospital, named the ANC Holland Solidarity Hospital, was opened on 4 May 1984. Mazimbu was renamed the Solomon Mahlangu Freedom College (SOMAFCO) after Solomon Mahlangu, who was executed by the apartheid government. In 1985 SOMAFCO was officially opened by Oliver Tambo.

SOMAFCO was also the site of other projects. In 1980 the Vuyisile Mini Furniture Factory was established to produce chairs, tables and doors for Mazimbu. A garment factory, a welding workshop and a farm where animal husbandry flourished were also set up. As the political situation in South Africa began to change in the 1990s, the process for a negotiated settlement gathered momentum, and the ANC and other liberation movements was unbanned and exiles were allowed to return to their country. On 9 September 1992, SOMAFCO was officially closed by the ANC and Oliver Tambo handed it over to the Tanzanian government.

Dakawa Development Centre

The increasing number of refugees and the decision by the ANC in Lusaka to keep Mazimbu strictly as a place of learning precipitated the establishment of another centre. Once more, the Tanzanian government was approached with a request for land. Anna Abdallah, with permission from the central government, donated 2800 hectares of land to the ANC. An underutilised farm in Dakawa, 60km from Mazimbu, the land was used to meet the housing, educational, cultural and recreational needs of the refugees. The first people to move to Dakawa lived in tents until proper accommodation was built. Mary Thuse was appointed as the first Director of Dakawa.

With the other camps lacking capacity, new arrivals were mostly being taken to Dakawa, where they stayed until they enrolled for classes at SOMAFCO. The Ruth First Education Orientation Centre and a Vocational Training Centre were established. In addition, small agricultural projects were initiated and between 1988 and 1989 the garment factory in Mazimbu was moved to Dakawa. The Dakawa Arts and Craft Project, set up to allow space for creative expression, proved to be popular among the exiles.

After the ANC was forced out of Angola, those imprisoned for the 1983 mutiny in ANC camps in Angola were transferred to Dakawa. Their conditions were relaxed somewhat as they began to play an important role in the life of the settlement. Dakawa also served as a Rehabilitation Centre for offenders from the Mazimbu camp. For instance, in 1983 when a student from Mazimbu was convicted of attempted rape, he was sent to the Dakawa Rehabilitation Centre. This was also the case for four students found guilty of impregnating female students in Mazimbu.

Dakawa was initially planned to accommodate 5000 people, but by 1990, when the transition to democracy was in progress, it had only 1200 people. With the demise of apartheid imminent, the Dakawa Arts and Craft Project was transferred to Grahamstown in October 1992.

South African government responses

Countries that shared borders with South Africa bore the brunt of attacks by the apartheid government for supporting the ANC or MK operatives. South Africa employed a variety of methods to deal with its enemies: ranging from assassination, abduction, destabilisation by sponsoring armed groups, and economic strangulation. Apartheid state terrorism also targeted countries that did not share borders with South Africa but which were strategically important to the ANC and MK, such as Angola and Zambia. This clearly shows that although Tanzania did not share borders with South Africa, it was not beyond the reach of South Africa.

Thus, South Africa still posed a threat to ANC camps in various parts of Tanzania. One of the ways in which the apartheid government was kept abreast of ANC activities in Tanzania was through its network of informers. Reddy Mampane states that there were many enemy agents in Mazimbu and he was involved in arresting those that had been identified. Mary Thuse, the Director of Dakawa, also stated that both camps were infiltrated by government agents. In 1983 a political commissar who had risen through the ranks at SOMAFCO was revealed to be an apartheid government informer.

Various suspicious incidents pointed to underhand attempts by the South African government to kill activists in Tanzania. In one incident, the water supply for SOMAFCO from the Ngerengre River was poisoned, leading to the death of many fish in the river. The incident aroused suspicions of water poisoning and Tanzanian authorities were informed. After testing the water, it was found to contain a poisonous substance, but the perpetrator was never caught. In another incident, Siphiwe Xaba, an apartheid government agent trained to produce poisonous substances, was caught. He revealed how he had been trained and confessed to poisoning comrades.

SOMAFCO had a prison of its own, nicknamed ‘Alcatraz’, where suspected spies were detained for interrogation by the ANC Security division. Other suspected spies were taken to Quatro in Angola for detention and ‘rehabilitation’.

Fortunately, none of the ANC military and refugee camps in Tanzania were ever raided by South African military forces.

Conclusion

Tanzania functioned first as a springboard and holding site for MK cadres who went for military training in countries such as the Soviet Union and GDR. Several MK recruits who left South Africa in the 1960s through Botswana via Southern Rhodesia into Zambia ended up in Tanzania. From here they were transported to the Soviet Union before being brought back to the camps to await further instructions. Tanzania itself later became a site for military training and refugees fleeing political persecution by the apartheid government.

Even after the ANC headquarters moved to Zambia, Tanzania continued to play an important role for the ANC and MK in exile – until the end of apartheid. In recognition of the role played by Julius Nyerere in the struggle for the liberation of South Africa, he was posthumously awarded the Order of the Companions of OR Tambo in 2004.

References

Brenman, J, R, Burton, A &Lawi, Y, (2007), Dar es Salaam: histories from an emerging African metropolis, (Dar-es Salaam), pp.49-51.

Copinger Easton, S.C, (1960), The twilight of European colonialism: a political analysis, (London), pp.229-232.

Mwakikagile, G, (2010), Nyerere and Africa: end of an era, (Dar es Salaam), p.111-114, 334, 362-368.

In Conversation with Dr Frene Ginwala, from the Nelson Mandela Centre of Memory, [online], Available at www.nelsonmandela.org [Accessed 12 October 2011]

Eriksen, T, L, (2000), Norway and national liberation in southern Africa, (Stockholm), p.231, 342

Callinicos, L, (2004), Oliver Tambo Beyond the Engeli Mountains, (Cape Town), p. 236, 315, 435

Sisulu E, (2002), Walter & Albertina Sisulu: in our lifetime, (David Phillip Publishers), p.325

Morrow S, Maaba B & Pulumani, L, (2004), Education in exile: SOMAFCO, the African National Congress school in Tanzania 1978 to 1992, (Cape Town), pp.115-118.

Sellström, T, (2002), Liberation in Southern Africa: regional and Swedish voices, (Stockholm), pp.142-147, 585.

Road to Democracy, Vol 1, pp. 482

O’ Malley, Camps In Exile (ANC), [online], Available at www.nelsonmandela.org [Accessed 12 October 2011]

The Presidency, (2009), Tlou Theophilus Cholo (1926– ) from The Presidency, 27 March, [online], Available www.thepresidency.gov.za [Accessed 12 October 2011]

ANC, The ANC's second submission to the T, RC, from the African National Congress, [online], Available at www.anc.org.za [Accessed 12 October 2011]The Presidency, (2005), Archibald Sibeko also known as Zola Zembe (1928– ) from The Presidency, 26 April, [online], Available www.thepresidency.gov.za [Accessed 12 October 2011]
 
Last edited by a moderator:
Jana tuliona juu ya hali ya tawala Tanganyika kabla ya kuingia ukoloni wa Europe Tumeoana historia ya :
· Tanga
· Songea
· Kilwa kipindi cha banu Umayya
· Kilwa na serikali yake
Leo tutaendelea kuona hali ilivokua katika miji mengine ya


MMorogoro

· Singida

· Tabora
· Bagamoyo

Baada ya hapo tutaangalia waandishi na mwanahistoria Ibni Batuta alipofanya safari zake pwani hii na kusifia kiwango cha maendeleo na ustaarabu katika dola hii ya Tanganyika.
Baada ya hapa tutaangalia Vita ya Crusade na namna walivo haribu na kuiba hazina ya elimu na vitabu huko Spain na moja ya kitabu ni hichi cha Ibn Batuta cha historia ya ukanda wa mashariki kusini ya afrika . Baada ya kukisoma na kuelewa kuwepo na dola nyengine huku ndio ikabuniwa mpango wa kuja afrika hivyo tutangalia safari ya Padri Batholomew Diaz alietumwa kuja kufanya ujasusi na baadae Vasco dagama na wenzake alietumwa na Papa kuja kuziangamiza dola za kiislam na utamaduni wa kiislam.
Tutaangalia uvamizi wa zanzibar, kilwa mozambique kutoka kwa wareno na baadae kugawanywa kwa himaya ya waislam ilokuwa na makao Zanzibar na Kinyanganyiro cha Afrika .
 
Morogoro
Tunapozungumzia Ujenzi wa Miji na harakati za Waislamu chani ya Dola ya Zanzibar nguvu Kutoka Zanzibar kwenda Pwani ya Tanganzika ndizo zilizokuwa zinasukuma harakati hizo katika Miji ya Bara kwa kupitia Machifu wao wakishirikiana na Maliwali
hapa tena inatubidi turudi bagamoyo na Kilosa Ambayo ndio Mji wa mwanzo kuongoza harakati hizo kwa kupitia hawa Wabarawa yaani Wamashomvi na wapazi wakishirikiana na Wazigua kwa kipindi hicho wakiiwakilisha Dola ya Zanzibar waliutleta Ustarabu Morogoro
Chimbuko la harakati za Mwanzo katika Mji wa Morogoro ni katika kijiji cha Kinoole hapo ndipo Wabarawa wa mwanzo wa Twariqa Qadiriya chini ya Uwesu ilipokwenda kufanya kituo cha kufundisha maarifa ya Ustarabu.'
Utakuta mbaka leo watu wa kinole morogoro kisomo Qiraa' chao cha Qur-an ni cha kisomali kibarawa lakini pia dola ya Zanzibar ilimpeleka Liwali wa Zanzibar katika kinole hiyo hiyo Thne Bin Mohammed ambaye ni matunda ya madrasat bakathir ya Ukutani Zanzibar, mwanaye aitwaye muhammed Thnei aliushika Ukadhi baada yake,'
kingo Luwira kabla ya kujengwa kwa Mji huu wa Morogoro ya sasa Waluguru wenyewe waliishi juu ya milima yaani Uluguruni Mpaka kipindi cha Utawala wa Sayyid barghashi ndio Mji huu wa morogoro ulipojengwa na kuimarishwa, kisabengo bin Aus Mziguwa kutoka bagamoyo ndio aliwakilisha Bendera ya Zanzibar hapo morogoro
Kutokana na masimulizi ya Stanley kisabengo alikuwa ni Mziguwa wa kizazi cha wawindaji ambaye aliishi pwani ya karibu ya Bagamoyo'
mwanzoni alikwenda kuishi eneo la Simba weni sasa kingoluwira lakini baadaye mfalme wa Zanzibar alifunguwa mahusiano mazuri na Viongozi wakuu wa Uluguru hivyo Chifu kingo alitumia vizuri hapo morogoro chini ya mahusiano hayo
Katika kipindi cha Sayyid baraghashi mfalme wa Zanzibar Mwaka 1870-1888 alianzisha mahusiano ya kisiasa na Viongozi wa kiluguru''
wakati huo Chifu Mwande aliishi juu kabisa ya Mlima Chifu Mdeng'o aliishi katikati ya Mlima na Bwakila wao walikuwa upande wa chini ya Mlima
lakini kwa upande wa kusini yaani Mkuyuni alikuwa Chifu kingalu ambaye yeye aliupokea ujumbe kutoka Zanzibar Mwanzoni kabisa na Chifu Hega pia alikuwa maeneo hayo hayo ya Upande wa kusini''
wakati upande wa Magharibi yaani Mgeta alikuwa Chifu Mbago bin Ngwasa na huko matombo alikuwa bambalawe machifu hao wakaupokea ujumbe kutoka Zanzibar
wakakubaliana kuwa mfalme wa Zanzibar atashirikiana nao katika Ujenzi wa Mji wao pamoja na ulinzi ambapo ndani ya mji huo kutakuwa na kambi za jeshi la usalama na Ngome kubwa yaani uzio wa kuilinda milima ya Uluguru
kambi ya jeshi la usalama ilijengwa katika eneo la simba weni waliletwa Askari wa kibaluchi kutoka Zanzibar Chini ya kisabengo bin Aus.
Ulijengwa mnara wa jiwe vizuri unaozua kila pemmbe ya kuingilia Uluguruni ikiwekwa Milango kikuu minne kila mmoja unaukabili upande na iliwekwe njia ndogo ndogo katika minara mingi.....'
Stanley anasema aliikagua milango hiyo na kuona kuwa ilitengenezwa Zanzibar jinsi ilivyo sanifiwa
baada ya kujengwa uzio huo waluguru wakamuita kisabengo kuwa ni Kingo''yaani Uzio kwa kuwa yeye ndio aliyeuwekaa uzio huo,lakini kwa kuwa alikuwa mgeni muhamiaji wakamuita Luwira maana yake muhamiaji Mlowezi hivyo basi kisabego bin Aus''alijulikana kuwa ni kingo Luwira hata hilo eneo la simbaweni limekuwa Kingo Luwira Mpaka hivi sasa,ingawa wengi hupaita mahala hapo''Kinguluwira''
kutoka Simba weni Kingo luwira ya sasa ndipo kisabengo alipoanza kuujenga zaidi Mji huo wa morogoro alianza kuchimba mabwawa katika eneo la Ngarengere na kuutanua mji mpaka Mlali'.
hapo ndipo walipoletwa Wabaluchi na Wahindi wengine waliokuwa wanalima miwa na kuzalisha Sukari kisaki-kilosa Wabaluchi wa kiwa pamoja na wahindi(waislamu wa ismailiya)wakaanza kuingia katika Mji Mpya Uliojengwa na kisabengo wahindi waliifananisha hali ya Morogoro na kashmir yaani, milima.mabonde Mito na Ardhi yenye Rutuba.
kuna jammii nyingi ndogo ndogo ndani ya morogoro ..kuna jamii zenye nguvu za Waislamu wa Agakhan wa Dhehebu la ismaailia ambao wanatoa mafunzo yao kwa jamii yao wenyewe
mashek wa kihindu kiarabu na wakiswahili iliwezekana kuishi morogoro kwa njia ya mashirikiano ya Urafiki na amani na upendo kama Nymbani kwao''
wahindi na wabaluchi hawa walikuwa na uhodari wa kuzalisha sukari Nyeusi walioiita sukari Guru,Kibaluchi Guru (Nyeusi) na Kihindi-Golo au Goro (Nyeusi) walipokuja huku waliwaita wenyeji wao hivyo hivyo Goro au Guru yaani weusi wahindi hawa waliwaita wenyeji waislamu weusi wakawaona Moor'(matamshi moro) yaani waislamu
hilo moor''ni neno lililotolewa kutoka lugha ya kireno mara wareno walipokuja Africa ya Mashariki waliwaita Waislamu hivyo walivyokuwa wakiwaita Moor''yaani waislamu wa pwani ya Africa mashariki kama walivyonukuliwa na Freeman Grenvile
These Moors have some commerce with the island Commoro'''
yaani hawa moro(waislamu walikuwa wakifanya biashara na watu wa kisiwa cha Comoro
Hivyo Moor''(matamshi Moro) Waislamu na hiyo Goro au Guru (weusi) ikafanya neno Moroggoro'' ni Nchi ya waislamu Weusi''
ingawa kuna baadhi ya vyonzo vingine vya kihistoria vinassema kwamba morogoro limetoholewa kutokana na wenyeji wa mji huo yaani waluguru na pia kutoka katika Mlima maarufu wa Uluguru ikaitwa Morogoro''
ila inasemekana hii ni kuficha ukweli tu

Chifu kisabengo bin Aus Kino ala kulli hali, Mji huu umeanzishwa na huyo Kisabenngo bin Aus ambaye alifahamika kwa jina la Chifu Kingo au Sultan Kingo pale alipohamia yeye mwenyewe kattika huo Mtaa unaoitwa Mtaa wa sultan
na akajenga nyumba zake tatu pamoja na Msikiti kwa kushirikiana na Waumini wengine ambao ndio Chimbuko la ilmu katika morogoro kuanzia Ghorofa la Mshendwa moja kwa moja kuungana na Msikiti wa Kingo'' Morogoro
 
Singida
Wakaazi Mashuhuri wa Singida ni Wanyiramba na Wanyaturu ingawa Wanyaturu wametamalaki zaidi Kukiko Wanyaramba Bahati walionayo hasa Wanyaturu, Kihistoria Wao wamekuwa Waislamu tangu muda mrefu sana kidogo ukiwalinganisha na wenzao Wanyiramba.'
Ukiristo Umeingia Unyaturuni siku za hivi karibuni Mila Zao na tamaduni zao zimerandana yani zime fanana'na waarabu waliochukuwa kutoka katika Uislamu ingawa sio zote''
kuhusu mila na Desturi za Wanyaturu kwenda sambamba na Waislamu Shekh ali muhsin anaelezea kuwa hata matamshi ya Lugha ya kinyaturu yanarandana kufa nana na yale ya Kiarabu kwa kuwa asili yao ni moja'yaani wanazo takriban herufi zote zilizopo katika Lugha ya Kiarabu
''ndio utakuta zile kabila za gara katika Africa mashariki zenye Damu za Kihamu(Hamitic) zina Mila za kislamu kama Kutahiriwa na hata pia katika Lugha na Sura zao kupo kufanana''
kwa mfano Wanyaturu wa Tanganyika katika Lugha yao wanazo herufi kama zilizomo katika Lugha ya Kiarabu kama He' iliyomo katika Muhammad Khe ' kama iliyomo katika Khabari 'ghaini kama iliyomo katika Ghafla' maji kwa kiarabu ni mai kwa Kinyaturu ni ma'i kwa kutumia 'aini '..
Kiasili hawa wamekuja toka katika Kisiwa cha Qurna' Indonesia lakini ni jamii ya Kiarabu iliyohama Mwanzoni'wakati watu wanahama toka masharriki ya kati kuja Africa ya Magharibi''
Wao walihama toka Africa ya Magharibi kwenda Indoneshia katika kisiwa hicho cha Qurna'' hapo waliitwa Waqurna'' hapa izingatiwe kuwa sio kundi lote la Wanyaturu ndio lilikwenda Qurna'' ni baadhi tu na kundi lingine lilikwenda Sehemu za Pwani ya mwambao huu Kisha wakaingia bara na makundi mengine yalitawanyika sehemu mbali mbali''
(ingawa wametokea Indonesia) tusingeshauri hata mara moja kusema kuwa Wanyaturu wote tunaowajuwa hii leo kuwa asili yao ni Indonesia au wametoka maeneo ya Mwambao wa pwani,(wapo katika matabaka)
Kundi lingine liliingia Ethiopia ''katika kitongoji Cha Tura' hapo waliitwa Watura''lakini pia wengine walielekea Botswana land''walipoingia hapo waliitwa Wakhama''kutokana na kukamua maziwa''
kwani kitendo hicho kwa Kinyaturu Kinaitwa Ikhama'yaani kukamua maziwa ya Mnyama utaona kwamba Rais wa Mwanzo wa Botswana alikuwa Mnyaturu kutoka katika kundi hilo yaani Rais Seletse Khama
kundi lingine liliingia Kenya katika jangwa la Turkana''ndipo walipopata jina Waturkana''ingawa kundi lingine la Kiturkana lilibakia hapo hapo Kenya na kuendelea kufahamika kwa jina hilo hilo Waturkana wakatia wenzao wanaingia Singida na kujulikana kama Wanyaturu''wao ndio waliotoa jina hilo Singida kwa ajili ya Mji huo..-
ingawa baadhi ya visa vya wenyeji juu ya jina hilo lina nasibiwa na mkazi wa mwanzo ambaye alifahamika kwa jina hilo la Singida na vyanzo vingine ninahabarisha kuwa iliwahi kutokea mafuriko makubwa yaliyozamisha Nyunba nyingi katika eneo hilo, kitendo hicho cha kuzama katika Shimo kubwa kiliitwa Isingida kwa Kinyaturu,
Wengine wakabainisha kuwa Singida ni neno lenye asili ya kiindonesia lenye maana ya Mitumbwi hii ni kutokana kutafuta malisho mara walipoliona Bwawa;'katika Kitongoji cha kisaki hapo Singida Wakasema tumefika Singidani yaani kwenye Mitumbwi ikiwa na maana ndani ya hilo bwawa kunapatikana hiyo Mitumbwi''
hapo Singida yapo Mabwawa makubwa mawili moja ni hilo linalofahamika kwa jina la Singidani ndilo lililofanya jina la mji huo kuitwa Singida na lingine linaitwa Kindai'' mabwawa haya mawali yamekuwa kama bahari ya Wanyaturu''
Upo ushahidi wa kujipenyeza kwa jamii ya kiindoneshia sehemu ya bara katika wakati mmoja baada ya mwingine...
tunaangalia kwa makini maeneo ambayo yana Mabwawa ya mitumbi yanayofahamika na watu ambao tunawatambua ambao hawakuwa na neno juu ya mabwawa ya mitumbi katika lugha ya kabila yao ..ni kama watu ambao wanapatikana katika Indonesia tayari kuna ushahidi mwingi wa kweli juu ya huli
kuhusu Wanyaturu hapo Singida'wao wamegawanyika katika makundi matatu kundi la kwanza ni Wanyumunying'anyi (Wanyang'anyi) yaani wanyaturu wa kutoka Singida, mgori mpaka Usandawe
kundi la pili wairwana(Wanyama) hawa ni wale wa kutoka Singida mjini Ilongero.; mtinko mpaka kungia na kundi la tatu ni Wahi (Wawindaji) hawa waliishi toka Singida Mjini kusini Unyahati' Ihanja isuna, puma ikungi na mang'onyi
hawa ndio wanyaturu weupe zaidi kuliko makundi hayo tuliyoyataja hiyo ni kwa sababu walichanganya Damu na Waarabu na wahindi yaani wengi ni machotara-mashombe (halfcast.)
katika kipindi hicho cha utawala wa Dola ya Zanzibar wale wenye asili ya kiarabu na Wahindi waliingia Singida na Miji mikuu ambayo ndio makao makuu ya Dola ya Zanzibar ilikuwa ni Ikunggi ndio mji mkuu kisha Singida mjini ndio mji wa pili hapo ikungi ndio wazanzibar wenyewe ndio waliweka makazi lakini asingida mjini walikwenda walikwenda wale wanye asili ya Wahindi kwa wingi''
Utaona kwamba hata Ustaarabu kutoka Zanzibar ulianzia katika vituo hivi kisha ukaenea sehemu nyingine za Wanyaturu na Wanyiramba hapo Ikungu kwa mfano upa Msikiti Mkubwa uliojengwa katika kipindi hicho.''
Lakini pia Masayyia wa Zanzibar walipoamua kusambaza vazi na kujistiri kaniki ni watu wa ikungi ndio walioanza kujua kuvaa Nguo kwani hapo mwanzo walikuwa wakivaa Ngozi ya Mbuzi kwa Kinyaturu huitwa (Misefee)
Huko ikungi wagawaji wa kaniki hizo ili watu wajistiri walikuwa Waarabu na huko Singida Mjini walikuwa Wahindi''
ilipofika wakati wa utawala wa Chifu Abdur rahman Gwao wa ikungi ndio walipolazimishwa siku moja Wanyaturu Wote wa ikungi wachome moto Ngozi za mbuzi Misefee kissha wavae nguo za kitambaa za kaniki ndio ukawaona wakina mama wa Kinyaturu hata sasa bado wamejisitiri vazi hilo la kaniki
kwa upande wa Shelui na vitongoji vingine vya Wanyiramba kama iguguno Nduguti iramba na kwingineko ambapo misafara ya wazanzibar ilijikita ndipo Wanyiramba wa eneo hilo wamepata maji maji ya wazanzibar hao kwa kuchanganya damu na kuenea Ustarabu katika jamii za Kinyiranba
kwa hakika wamekuwa ni wazuri kutokana na kuchanganya damu hiyo kiasi walimvutia rais wa pili wa mapinduzi ya Zanzibar Mzee Abood Jumbe Mwinyi na kutaka Wanyaturu hao na Wanyiramba awahamishie Zanzibar na kuwarudisha waje kuamia zanzibar huwenda aliitambua vyema nasaba yao na hao wazanzibar wa asili kutoka Zanzibar kama si kikwazo cha Nyerere leo wangekuwa wapa Zanzibar
 
Tabora
Mji wa Qusway Mji huu kabda ya haujaitwa jina Tabora''ulifahamika kwa jina la Unyanyembe''tangu 1800-1837 Alipotawala Chifu wa Mwanzo aitwaye Chifu Swetu'' I mwaka 1800-1837 katika kipindi hicho ndio alifika Qusway kutoka Bagamoyo, Wanyamwezi hawakuweza kutamka Qusway'' basi wao walimuita Kiseh'' naye aliishi juu kidogo ya kilima kilichopo nje kidogo ya Tabora mjini katika njia ya kuelekea Itetemiya-
Mji wa tabora wakati huo ulienea kwihara na Itetemya sehemu ya mji waliokuwa wakikaa watu wengi uliitwa kwa Kisehi huyo kisehi alikuwa Mzee wa Mji labda ndiye aliyeuanzisha.'
Wazungu nao walipo fika walimuita kazeh' na hicho kilima walikiita kazeh hill yaani kilima cha kazeh' na hivi ndivyo wanahistoria wengi wamemuandika hivi kufika kweke huko kulibadilishs jina la mji huo baada ya kukaa hapo na kupata umaarufu hasa kutokana na biashara walizokuwa wanafanya na Wanyamwezi wa hapo''
huu ndio Mji Mkongwe wa Tabora ambao Liwali Thnei bin Amir akiishi hapo hata wafanyabiashara wakubwa wakubwa wa Kihindi kama vile Mussa Mzuri waliweka makazi yao hapo
watu wengi walikwenda hapo na Mji ukawa hapo pakaitwa kwa Kiseh na jina la Unyanyembe likaanza kupotea kidogo kidogo na umaarufu ukawa ni mji wa Qusway/''
Kuitwa tabora Mji huo wa Qusway haukudumu sana katika kulitumia jina hilo bali Shughuli za biashara zilizokuwa zikitendeka ziliubadili Jina Mji huo tena.'
Kulikuwa na biashara za kuuza viazi vilivyochemshwa na kuanikwa- ambavyo huitwa kwa Kinyamwezi Matobolwa'.biashara hizi zilikuwa maarufu hapo kwa Qusway ambazo ziliwafanya watu waswme twendeni kule kunakouzwa Matobolwa.'-
Kuna kauli mbili hapa kuhusu jina hilo kutoka kwa waarabu waliofika hapo wao wakashindwa kutamka Matobolwa wakatamka twendeni kunakouzwa tabora na hapo ndipo likasehelea jina Tabora''
na pia husemwa kwamba Waarabu waliofika hapo waliona hivyo viazi vinapendwa sana na wenyeji wakaviita Twa'amun boura''yaani Chakula kizuri''kimatamshi ya Kiarabu Ta'abora yaani Tabora'')
Dola ya Zanzibar chini ya Sayyid said iliendelea kuijenga miji mbali mbali ya tanganyika, ukiwa pamoja na Mji huu Sanjari na kutuma makungi mbali mbali ya wataalamu na walimu makadhi na maliwali tangu Utawala wa Swetu 1 Mpaka tawala za machifu wote takriban
Mbali na ujio wa Qusway wakati huo Swetu( I ) hata utawala wa fundikila tayari mzee rajabu bin juma bin hemed al murjeeb kutoka Shangani Zanzibar alikwisha wasili na kuweka makao yake Ndavelwa Itetemiya
mwanzo harakati za wazanzibar ilikuwa hapo Itetemiya na baadae kujengwa ikulu ndogo kwihara''-
Lakini mwanzo Sayyid said aliujenga Mji wa kahama Shinyanga na Mwanza pakiitwa Nchi ya Wasumbwa katika mwaka 1830.Khalafu baadaye 1852 ndipo alipoujenga Mji huo wa Tabora''
Wazanzibar walipofika tanganyika ilikuwa desturi yao ni kujenga Miji au kambi walizo zita Bandari inasemwa ya kuwa bandari moja ilijegwa Msene katika Nchi ya Wasumbwa yaani kahama katika mwaka 1830'-na moja Ujiji katika mwaka 1845.'
Lakini Mji Mkuu wao uliitwa kazeh na baadaye uliitwa Tabora nao hudhaniwa haukujegwa mpaka (ilipofika) mwaka 1852''
Baada ya Swetu 1 Utawala wa tabora ukawa chini ya fundikila bin Swetu,Fundikila alifanya kazi na Mzee juma El Murjeb akiwa ni Mkwewe baada ya Mzee juma kumuoa Bint Fundi kila Aitwaye kalunde,lakini hata ilipofika mwaka 1830,-
Walipata Mtoto aitwaye Muhammed bin juma bin hemed EL murjeeb ambaye alizaliwa Stone Town Zanzibar.Sayyid said alimtuma Said salum Al Lemky kuwa liwali wa Dola ya Zanzibar-Tabora na Thnei bin harth akiwa ni kadhi mkuu wakishirikiana na Mzee juma murjeeb walifanya kazi kuu ya kuusomesha Wanyamwezi
hata hivyo katika mwaka 1876 baada ya kufariki fundikila Uchifu ulichukuliwa na Mkasiwa bin kiyungi katika mwaka huo sayyid said Majid akamleta Adallah bin Nasib el muttafy'
Sayyid said na utawala wa zanzibar ulikubalika vizuri katika tabora na maeneo mbalimbali ya tanganyika hivyo tabora ilikuwa ndio baba ya tanganyika kwa kuteuliwa kuwa ndio Ngome madhubuti na kuzikombawa nchi zilizokuwa kuwa na machifu makatili''Mpaka hapo kituo cha pili cha harakati za ujenzi zilihamia kwihara palipojengwa ikulu ndogo Na said salum El lemky wakishirikiana na Thenei bin Amir kazi hii ya kujenga Tembe zilizotumika kama ikulu ndogo ya Dola ya zanzibar ilifanyika takriban majimbo yote ya dola hii ya zanzibar
Lakini kwa bahati mbaya sana na masikitiko makubwa leo hii tembo hizi zote , ukianzia hii ya tabora ile ya muhammed khalfan Ujiji zimeitwa au zinaitwa Tembe za Dr Livingstone.Lol''
haya maajabu ya ulimwengu,tembe ya shekh Said salum El LEMKY NA THNEI BIN AMIRI EL HARITH chini ya Dola ya Zanzibar imekuwa ya Dr livingston ipo haja ya kuiangalia historia yetu mara mbili mbili vijana vijana wamesha tudanganya sana,'
Hakuna maelezo yoyote yanayohusu kazi halisi zilizofanywa na Waislamu hawa katika tembe hizo isipokuwa maelezo ya kupachika pachika na kumnasibisha Dr Livingston na harakati za kukombowa biashara ya Utumwa kisha kuwanasibisha Waarabu na Biashara hiyo basi hakuna kingine cha kuzungumzia,-
hakuna maelezo yeyote ya maana ya kihistoria zaidi ya maelezo hayo,basi tena maelezo hayo utayakuta takriban vituo vyote utafikiri hakuna jambo lolote la maendeleo lilokuwa likifanywa isipokuwa ni warabuu utumwa??
Mbali na hayo ukilitazama jengo lenyewe huo muundo na ujenzi wake haufanani hata kidogo na kazi ya Mzungu hata vifaa vilivyopo ndani ya jengo hilo havina nasaba na Wazungu mbaya zaidi vitabu vyote vya kale takriban havikulinasibisha jengo hilo na Ujenzi wa Dr LIVINGSTON bali vimeeleza wazi wazi kuwa wajenzi ni hawa tuliowataja/'
lango kuu la tenbe hiyo lililotengenezwa na mafundi staidi kwa mtindo wa ki Zanzibar
Mlango wa tembe ya kwihara iliyonakshiwa kwa nakshi za Kiarabu kutoka Zanzibar (Zanzibar Door) je Dr livingstone alikuwa Muarabu?
kuna na makubadhi ndani ya tembe ya kwihara Dr livingston alivaa makubadhi?.? Vipo vitu vingi vilivyohifadhiwa humo zikiwemo pesa za Zanzibar iliyoandikwa haafidh-hullah''
Hata hivyo henry Morton Stanley alipopita hapo alikaribishwa kama alivyokaribishwa huyo Dr livingstone, hakufanya khiyana, yeye akaziandika habari zake katika kitabu
(How I found Livingstone)
Tabora ilikuwa ni kituo cha makaazi ya Waarabu kuenea AFRICA ya kati toka kapo tabora ilikuwa imekusanya zaidi ya maekfu ya tembe ambazo zilikuwa ndani ya nyumba moja (tembe ikulu ndogo) inaweza kuwaweka watu salama tena hata wakiwa kundi kubwa la watu wa kiarabu waungwana saana na wakaazi mpaka wakafika watu elfu tano.

kati ya tabora na Mji mwingine wa kwihara kulikuwa na miinuko vilima viwili ambayo inatofautisha Mji hiyo miwili ukiwa juu ya milima ya tabora unaweza kuuona Mji wa kwihara hakuna eneo lilikubalika zaidi kuliko Kazeh')'-
89H.M Stanley how ifound Living Stone London 1872, Stanley's account for his journey from the coast to Ujiji'
 
Bagamoyo
machifu na maliwali wa bagamoyo kunduchi Ununio na Msasani mpaka Mzizima wanatokana na asili ya El Mafadh-pazi toka Oman na sehemu mbalimbali za Uarabuni hawa ndio walikuwa wa mwanzo kufika ndipo walipowapokea El hatimy El hashim wamashomvi toka Uajemy.
Al- mafadhi pazi Ukoo wa el mafadhi ulitangulia kabla ya huu ukoo wa El hatimy Ukoo huu ulitoka huko Uarabuni ukafika hapo bagamoyo na kuenea mpaka kisaki kilosa na baadaye uukaingia tabora ambapo wenyeji wa huko walishindwa kutamka El Mafadh wao walikatisha pazi na wao hawakukasirika kuitwa hivyo bali walikubali nao wakaendelea kujiita hivyo hivyo pazi''
al hashimy wamashomvi markeb ya ibn Swaleh El hashimy ni moja katika ya merkeb 7 zilizokuja Africa mashariki toka Uajemy Ahmed ibn El hashimy aliweka nanga kunduchi ambapo alipokelewa na wenyeji wake walioshindwa kutamka El hashim na kutamka el hatimy.
baadaye markeb nyingine ilitia nanga bagamoyo wakati huo ikiwa chini ya pazi Mzongera,ambaye yeye alimpokea Shaha kutoka Yemen aliyekuja rasmi kuwa mwalimu wa Dini baada ya muda akauziwa eneo kwa thamani ya Shanga tende na Nguo kwa Urefu wa Mlingoti husemwa kuwa hiyo ni moja ya sababu ya eneo hilo la bagamoyo kupata jina la mlingotini
El Hatimy walikuwa ni wafanyabiashara ya Chumvi ambapo matamshi yao ya kiarabu yaliwafanya watamke Shomvi badala ya Chumvi wakapata jina hilo wamashomvi El heshimy alimuoa bint wa Kishirazy aliochanganya damu na wenyeji aitwaye bi makazija na wakapata kutawala wakiwa ni machifu wa hapo
wamashomvi walikuwa watawala wa kanda ya pwani kuanzia bagamoyo hadi mbwa maji kwa kweli kulikuwa na funguo tatu katika wamashomvi moja ilikuwa ya al hatimy wenye asili ya bara Arabu na Uajemi
pili iliitwa al barawa ambayo Asili yao yao ni Uajemy lakini wakashuka huko bagamoyo na kutawanyika katika miji mbalimbali ya Africa mashariki
tatu hatimy tai ni vijukuu wa al tai mwanamashairi maafufu wa yemen mnamo karne ya sita wakafika wakaoana hadi wakawa Ukoo mmoja
wamashomvi na wapazi walitawala kuanzia bagamoyo kunduchi msasani mzizima kikoyo mpaka kilosa lakini pia walipewa cheo cha Diwani hiyo ni kwa sababu ya kuwaletea wenyeji nuru ya Uslaaamu.
kwa mfano wambela bin Shomvi la hajj bin abubakar alikuwa shomvi wa kwanza mwenye cheo cha diwani kaburi la Shomvi hajj kwa bahati nzuri wa tengenezaji wa kaburi hilo walichonga tarehe yaa kifo chake
limeandikwa-
Hili ni kaburi la muislamu naye ndiye sultani Shomvi la hajjjj abubakaari bin ahmed el hatiny alikufa usiku wa kwanza wa rabiul awwal mwaka 1167 AH sawa na 1754 ya kikiristo')

Al hatimy na waziguwa bagamoyo Mwaka 1850 dola hii ya zanzibar ikiwa chini ya mwenyewe sayyd said ndio mwaka ambao wazigua waliwasaidia wakutu na wadoe kuwatoa wakamba bagamoyo wakati huu pazi aliokuwa madarakani ni pazi kilama au kibamanduka yeye huyu alikuwa ni Mkutu aliyeshi eneo la lukelele katika bonde la Mto ruvu
wakati huo wazikua hawa walikuwa wanatawala upande wa magharibi ya bagamoyo chini ya Utawala ulioanzishwa na semboja ibn Shekulwavu ibm kimweri baada ya kujitenga na Utawala wa baba yake ulioweka makao yake makuu kilindi tanga,
yeye alielekea vugha na baadaye mazinde katika zigua, kumbuka kwamba hawa ndio kizazi cha Hassan bin Abdu raufu aliotoka Madina na kuuja kuisimamia dola ya kwanza ya kilindi tanga mwaka 689 AD)
Kwa mashirikiano yao na pazi waliweza kuwatoa wakamba bagamoyo na kukusanya kodi kuanziia bagamoyo mpaka kilosa na kuipeleka kwa mfalme wa Zanzibar kwa kupitia diwani wa saadani baada ya tukio hilo na uvamizi wa wakamba sultani aliimarisha zaidi kumbi ya palisi ya kilosa ambayo iliongozwa na machifu hawa wa Uzigua wakishirikiana na watu wa bagamoyo
madiwani walikuwa wengi Diwani wa mwisho wa al hatimy wa kunduchi alikuwa mkoma tembo yaani Shujaa aliyewaweza tembo,ambapo diwani wa Ununio aliitwa mohammed Shari ambaye alimuoa bint wa kiziguwa
ingawa yeye ni Al hatimy al barawy bint huyo anatokana na kizazi cha kina kimweri naye akapata mtoto aliyeitwa kambi,na kambi alipata watoto wanne nao ni mtu Mwene,Gogo ,Mbegu na Shomvi kahajj
wakati huo huo machifu wa Mzizima walikuwa pia ni vizazi vya hawa hawa madiwani kwa mfano Chifu wa Mzizima alikuwa ni Mwinyi Mbegu bin Mwinyikambi ambaye yeye makao yake makuu yalikuwa magogoni Fery'katika Chuo cha Siasa kwa sasa
ni katika koo hizi za kizigua ndio zilizomtoa kisabengo bin aus ambaye alikuwa Chifu wa Morogoro aliouanzisha Mji huo yaani Chifu kingo''
Ingawa madiwani walikuwa chuni ya mamlaka ya masultani wa zanzibar waliheshimiwa sana kupita kiasi walivaa mavazi maalum vifaa vya ofisi zao kwa mfano diwani alivaa kilemba au kofia ya heshima)
 
Ibn Battuta
Abu Abdullah muhammad ibn battuta 1331-1332)
ibn battuta alikuwa msafiri Mtaalamu wa karne ya 13 kwa usafiri mgumu wa siku hizo alitembelea Nchi na kuvuka umbali mkubwa kushinda mtu yoyote wa siku hizo''-
Ibn Battuta Alizaliwa Mnamo 24 february 1304 mjini Tanger Moroko Mwaka 1325 alihiji kwanda makka na baada ya hajj hakurudi bali aliendelea kusafiri Alitembelea karibu nchi zote zilizokaliwa na Waislamu kwa jumla alisafiri kwa miaka 30 akivuka umbali wa karibu 120,000 km hii ni kama kuzunguka dunia yote mara tatu
habari zake zimepatikana katika taarifa yake aliyoiandika mwenyewe katika safari yake ya kwanza alikwenda makka kupitia Misri,yerusalemu na Dameski baada ya kumaliza hajj akajiunga na msafara kwenda baghdad akaona ufalme wa khan wa II na kutembelea UAJEMI aKARUDI MOROKO
Safari yake ya pili ilianza tena kama hajj na safari hii akaendelea kuangalia maeneo ya bahari ya Shamu na Pwani ya (Africa ya mashariki ) Akafika hadi Kilwa na Tumbatu''zenjibar'akarudia makka kupitia Oman
baada ya kupumzika makka alikata shauri kuona himaya ya Sultan wa Delhi (Uhindi). Aliamua kujaribu njia kupita Uturuki kwa sababu alisikia ya kwamba palikuwa na misafara katika ya waturuki Waseldjuki na Uhindi
Baada ya kuvuka bahari Nyeusi alifika katika milki ya kundi la Dhahabu akaendelea katika msafara wa khan nchi kavu Alipofika mji mkuu Astrakhan aliombwa na khan wa kunddi la Dhahabu mwenyewe kumsindikiza mke wake aliyetaka kutembelea nduguye nyumbani kwake konstantinopoli Hinyo ibn battuta alifika mara ya kwanza katika nchi nje ya Waislamu hapo.
Mwishowe alifika Uhindi alipopewa kazi ya Qadhi au hakimu baada ya miaka kadhaa akatumwa kama balozi wa sultani kwenda China Akisafiri kwa jahazi alipita nchi kavu na visiwa vya Asia ya kusini-magharibi hadi China kutoka hapo alirudi moroko kupitia makka
safari za baaadaye zikampeleka hadi Afca ya magharibi alipotembelea ufalme wa mali Mwanajiografia huyu aliepania kuichora ramani ya dunia kwa mara ya kwanza kuliko mtu yoyote kwa kipindi hicho aliitembelea Kilwa na ikiwa chini ya Abuu muzhafar hassan ibn ally '
kisha akaandika maelezo kuhusu pwani nzima ya Azania hususan Dola ya kilwa kuwa ni mji mzuri kupita kiasi nyumba nyingi zilisheheni vyakula sultani ambaye ni mtawala ni mcha mungu saana kila siku ya ijumaa huenda Msikitini akifuatana na maofisa wake na anapotoka Msikitini huwapa nguo mpya masikini wanaomsubiri ili wapate msaada wake
Moja ya Simulizi ya ukarimu wake ambazo amezisimulia ibn batta anasema alipoitembelea kilwa zinaonesha kuwa ni mtawala alokuwa muadilifu na ambaye alikuwa akiwawezesha raia wake hata mafakiri kujikwamua kutoka katika hali hiyo kwenda katika hali nzuri kabisa kimaishaa
anasema Nilimtembelea ijumaa moja wakati anatoka katika sala ya ijumaa nakulekea nyumbani kwake njiani akatokewa na fakiri mwenye aaaasili ya Kiyenen nakumwambia Ewe Abul-mawahib akajibu labayka ewe mhitaji hebu nieleze shida yako? akamwambia naomba unipe nguo hii uliyovaa Akamwambia ondoa khofu umeipata
Akamwambia nataka sasa hivi nae akamjibu nitakupa sasa hivi Sultan alirejea tena msikitini na akaingia kwenye nyumba ya khatibu nakuvua zile nguo na akavaa mavazi mengine kisha akamwambia yule mhitaji ingia ukachukue yule mhitaji akazichukuwa nakuzifunga katika shuka maalum nakjitwaka kichwani na kisha kuondoka
hali hii ya ukarimu iliwafanya watu wengi waew wanamshukuru sana sultan kutokana na tabia yake ya ukarimu na unyenyekevu mtoto wa sultan na mrithi wake katika utawala aliichukuwa nguo kutoka kwa kila mhitaji nakumpa misaana
pia ibn battuta anasimulia kuhusu Wizara ya fedna ya dola hiyo jinsi ilivyo kuwa tajiri anaeleza kuwa alipofika usiku kubwa ambayo ilikuwa ikulu ya dola hiyo aliambiwa asubiri kwa kuwa viongozi wa dola hiyo wamepata ugeni kutoka nchi ya Hijaz na India ambao wamekuja kuomba msaada wa kifedha
Wizara hii ilishughulika na ushuru na mapato (revenue) Sofala palikuwa ni kituo ambacho dhahabu nyingi kutoka Africa ya kusini na Zimbabwe mwanamutapa ilipitia kwenda mashariki kwa mamia ya miaka tangu wakati wa nabii suleyman ilikuwa tayari imeshamiri
serikali ya Kilwa iliandaa mtindo wa kukusanya kodi kutokana na biashara hizo kila mfanya biashara aliyeingia kilwa aliitenga 60 asilimia ya biadhaa yake katika hiyo asilimia sitini alilazimika kutoa asilimia tatu ya bidhaa yake hiyo ikiwa ni kodi ya kuingiza bidhaa katika sofala wafanya biashara hulazimika kulipa 14 asilimia ikiwa ni kodi ya uingizaji'
kwa utaratibu mbali mbali wa kodi na ukusanyaji wa kodi kilwa ilikuwa na sababu tosha za mafanikio hivyo haikuwahi kupungukiwa na pesa bali ilikuwa na uwezo wa kutoa misaada ya kipesa kwenda katika nchi mbali mbali za uarabuni na bara hindi!
ibn batta anasimulia kisa hiki
Na masharifu walikuwa wanatembelea kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo miji ya Iraq na hijazi jeddah makkah na madina kwe ajili ya misaada malimbali na nilibahatika kuliona kundi la masharifu kutoka miji ya hijaz nyumbani kwa sultan akiwemo muhammad bin jammaz mansur bin lubaydah bin abi nummiy na muhammad Shumaylah bin Abin nummiy

na nilipokuwa mogadishu nilikutana na atil bin kaysh bin jammaz anajiandaa kuelekea kwa sultan wa Kilwa na huyu sultan alikuwa na unyenyekevu wa hali ya juu alikuwa anaketi pamoja na mafakiri anakula nao na akiweenzi watu wa dini na watukufu''
(muhammad abdallah ibn battuta hihla inb batuta)
Haya ni maelezo machache tu miongoni mwa maelezo mengi aliyoyandika pamoja na Ramani ya maeneo ya pwani ya azania aliyapeleka katika maktaba kuu ya Waislamu Duniani wakati huo katika mji mkuu wa Hispania Coldova (kurduba ). ibn battuta aliaga dunia mnamo 1377 kwake moroko.
kwa nini Hispania? pengine unaweza kujiuliza kwanini nyaraka hizo muhimu zilipelekwa Hispania badala ya morocco?
Uislamu uliimgia Morocco katika ya mwaka 86-96H/705-715 Chini ya utawala wa Abdul maliki marwan wa dola ya banu Umayya Hispania ilijulikana kuwa Andalus tangu 132H CHINI YA UONGOZI WA Abdurahman bin muawiya bin hisham al-Umawiyy Mji kama Qurduba (koldova) ishibiliya Gharnata tulaytula ilijipatia umaarufu wa aina yake duniani kipindi hicho

Wanahistoria wengi wamezungumzia maendeleo makubwa yalioletwa na Uislamu ndani ya Ulaya katika zama hizo wakati ulaya ya wazungu ilipokuwa ndani ya giza la uovu vituo vya kiislamu vilikuwa vinapandisha fasihi falsafa sanaa sayansi na elimu ya viwanda'
Waislamu walifanya maendeleo ya kufana katika sayansi wasomi wa kiarabu walitoa mchango mkubwa katika fani mbalimbali Anaandika (profesa Walter rodney) mchango wa waislam katika ulaya aliyeandika kitabu How Europe under developed Africa .
mwanazuoni wa kifaransa jaquins aneleza,
islam with its strength, its learning and civilization, dominated the west for at least five centuries''akimaanisha kuwa kutokana na nguvu zake elimu yake ustarabu wake Uislamu ulizitawala nchi za ulaya magharibi takrikan kwa miaka 500, wanahistotia wengi wamekubaliana kuwa nchi za ulaya zimekuwa chini ya dola ya kiislamu underlus takriban miaka 800''
kutokana na Hispania kuwa ndio kitovu cha dola kuu ya kiislam kwa kipindi hicho ndio sababu iliopelekea nyaraka zote muhimu na vitabu vyote vikubwa na mashuhuri kuhifadhiwa katika maktaba kuu ya koldova
miongoni mwa vitabu hivyo ni kama vile kitabu cha hesabu Aljabra,walmuqabala kutumia visehemu mpaka kupata jawabu cha Al jabir ibn Aflah 830 AD'
Aidha kemia na fizikia kulikua na kitabu medical baak au The canon of medicine kilichondikwa na mwanachuoni mwenye kipaji cha kusoma fani nyingi al-allama tabari Arrazi ally Alhussein Abdallah ibn Sina (Avesina) 981-1037 AD
Kitabu hiki kimekuwa hazina ya kurejea kwa Ulimwengu wa leo wa tiba na vyuo vikuu vya tiba Duniani kikiwa na uchambuzi wa mamia ya magonjwa na tiba zake
kwa upande wa Historia kitabu cha Muqadimat (introduction) cha Abdirahman ibn mohammed ibn khaldun 1332-1395 AD pia kwa tafsiri ya Qur an tafsiri ya Aljamiil Ahkaam al-qur an ya Sheiykh Abubakar alqurtubiy
kitabu kingine ni almuhala cha Sheiykh ibn Abuu mohammed ally kinachohusu Astronomy (Anga) na kitabu kuliyat fie tieb cha tiba (Encyclopedia), tahafut altahafut (The incoherence for the incoherence)
katika vyuo vikuu vyao waarabu walifundisha kwa kutumia mhadhara masomo yao yalijumuisha sayansi halisi elimu ya madawa ufamasia historia muziki sanaa na mashairi katika karne ya tisa chuo kikuu cha kordova kilikuwa na wanafunzi wapatao 11000 wakiwemo Waislamu na wakristo na wayahudi
Mwandishi mmoja wa kiarabu aliandika vitabu mia nne na hamsini vya falsafa ya sheria Ensaikolopidia ya kiarabu na wakati huo ilikuwa na vitabu vipatavyo hamsin Dikshionari (kamusi) ya kwanzo ilianzishwa na msomi Mwarabu aitwae Khalid''
vitabu vyote hivi na vingine vingi vilihifadhiwa hapo pamoja na nyaraka mbalimbali zikiwemo zile za Ibn battuta mgeni aliyoinadi Pwani ya Azania katika sura ya Ulimwengu wakati huo'.......
 
Vasco Da Gama
(1498 )'

Vita vya Msalaba vita hivi vilianzishwa'na Pope'Urban 'katika karne ya 13, vilidhoofisha ustaarabu mkubwa wa Kiislamu, isitoshe vilianzishwa kwa malengo ya kuumaliza kabisa Uislamu
vita hivi vilikwenda awamu nne viliongozwa na majeshi kutoka Ufaransa Ujerumani na Uingereza Askari hao waliivamia Jerusalemu na kuipiga (Dola ya kiislam )na kuiba mali mbalimbali pamoja na vitabu vya Waislamu vya kihistoria na baadhi yake kuvichoma moto.
Ndani ya Hispania pia Chuo Kikuu cha Cordova kilishambuliwa na takriban zaidi ya Vitabu 80,000 vilichomwa moto na vingene 400,000 kutoka gaghdad vilichokuliwa na vingine vilitupwa baharini-
kipigo hicho walichokipata Waislamu ndicho kilicho sababisha ya Wareno kugundua pwani ya africa mashariki na historia yake ndefu baada ya kupata nyaraka zilizopelekwa na Ibn Batuta.kadhalika baada ya kupata fununu hizo kuhusu dola kubwa ya kiislamu iliyoenea katika pwani ya Azania walitaka pia kumaliza hamu yao kwa kuipoteza kabisa katika kitabu cha kanisa katoliki kiitwacho HJistoria ya kanissa vipindi vya saba -F. portnann, kinaeleza mipango na maandalizi ya kuja kuishambulia dola hiyo ya kiislamu, kadhalika kueneza Ukristo kwa nguvu
IAMEELEZWA KUWA HIVI

Mwaka 1494 papa Aleksanda V.l alizigawa nchi za karibu na bahari ya Atlantiki; Wareno wazichukue zile za masharikki Wahispania wazichukuwe zile za mmagharibi nao wate waliambiwa wajitahidi pia kueneza dini ya Kikristo kila mahali'Kutokana na agizo hilo Wafalme Wareno na Wahispania walitambua kwamba walipewa mamlaka ya juu ya kanisa walioanzisha katika nchi zile yaani kupima majimbo kuweka maaskofu na kuwachagua Wamisinari nao Wareno walikubali Wamisionari Wakireno tu
kufikia mwaka 1497 ndipo walipotumwa Maaskofu wawili yaani bishop (Vasco Dagama na nduguye ) ili wafuate njia ambayo mchunguzi wa mwanzo Batholomea Diiaz alipita katika mwaka 1486, ambaye alifaulu kufika Africa ya kusini rasi ya tumaini jema (Cape of Good hope).
Hivyo vasco dagama na paulo dagama baada ya kusafiri katika nchi zenye mawimbi makkubwa hatari nyingi walifika katika nchi kavu katika siku waliyo iita ya kuzaliwa kwa yesu yaani Noel waliita nchi hiyo Natal kwa kireno ikiwa na maana ya kuzaliwa, walipumzika kidogo kisha wakaendelea na safari yao
tarehe 02/03/1498 walifika katika nchi ya manyika (Msumbiji ya leo ) wakapokelewa kwa amani sana walifikiria ni Waislamu kutoka Uturuki, mtawala wa hapo alipanda katika Merikeb yao iitwayo Berrio akatoa ushanga na kumpa nahodha kama zawadi...
Walipobaini kuwa wale sio Waislamu mapenzi yote yakaisha kwa kuwa Vasco Dagama alianza kupiga Mizinga na kuishambulia Msumbiji, Wenyeji hawakukubali walijibu mashambulizi vita vikkapamba moto kwa muda fulani na kumfanya vasco Dagama kushindwa kuendelea na safari yake ndani ya Msumbiji kutokana na hali hiyo hawakufaulu kufika Kilwa kwa merikebu zao zote zilikimbilia maeneo ya Mafia Unguja na pemba ambapo kuna sehemu walijificha
tarehe 7/4/1498 ziliingia mombasa, merikebu moja ilikwama (pwelea) mchangani merikebu hiyo iliitwa (san raphael ) na walipoona bara lenye milima mingi waliita milima hiyo ''serade san raphael yaani milima ya san raphael kwa hakika ile milima ilikuwa ni milima ya Usambaa
Walipofika katika bandari ya tanga wakatia huo Mtangata waliona mashua zilizosheheni matunda na viungo mbalimbali kutoka tongoni pamoja na vyakula mbalimbali vikiwazunguka na kuwakaribisha kwa amani pamoja na kuwaruhusu wachukue chochote kile wanachotaka katika shehena hiyo kwani ndio iliyokuwa desturi ya Waislamu kuwafanyia ukarimu wageni wao
baada ya hayo wenyeji walimuomba Vasco Dagama ateremke nchi kavu aingie mji wamfariji zaidi lakini alihisi hatari hivyo akawatuma wafuangwa wawili walio kuwa kama ni watumwa ili wakathibitishe amani iliyopo hapo nao wakarejesha majibu mazuri juu ya ukarimu waliofanyiwa na watu hao pamoja na utamaduni wao wa upole zaidi na kuwa ni Waislamu hasa wa kweli hawana madhara
Vasco Dagama akaona yafaa kuupiga mji ule pia ni katika kulipiza kisasi cha wale ndugu zao wa Msumbiji na ni moja katika malengo yao ya muda mrefu baada ya kuimaliza dola ya kiislamu ya Hispania Ghafla wakapiga Mizinga na wakazikamata mashua mbili na kuwateka watu wake kisha wakawashurutisha wawapeleke katika mji wa kilwa walipelekwa malindi na kilwa na vibaraka walio wafanya watumwa
Walipofika kilwa walipokelewa vizuri kama ilivyokuwa ada wakatembezwa katika mji yote muhimu mana walijifanya kama watalii wa enzi hizo walitembezwa mpaka nchi ya mussa bin hassan (Msasani), mwisho walioneshwa Njia ya kuelekea India
Wakati huu kilwa ikiwa chini ya fudeli bin suleiman kwani baada ya Muzhafar alitawala mohammed Suleiman'hussen kisha momammed kiwabi akifuatiwa na fudeli bin suleiman bin hussein
katika mwaka 1499 vasco dagama alirudi ttena na merikebu 4 zenye watu 148 na wafungwa 12 wakaenda na biashara mpaka india na kurudi hivyo hivyo mpaka kufikia tarehe 9/3/1500 alikuja na merikabu 13 na watu 1200 kutoka Ulaya ya wareno na mapadre 8 ili wajaribu kufundisha Ukristo''
katika kikao cha wanafalsafa na Wanasoshologia kilichosimamiwa na mataifa ya kirumi Kiyahudi kireno, Kijerumani na kipoland kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo kikuu cha filosofi na Soshologi kilichokuwa kinaitwa konisisisterg University nje kidogo ya mji mkuu wa Ujerumani nchi ya Uenyekiti wa Bishop George berkely.
Agenda kuu iliyojadiliwa na kupitishwa katika kikao hicho ni Treatise of government Namna ya kuzishika Dola katika masuala ya kijamii mada nyingine ni Essays' Moral and political Mwenendo wa maadili na siasa principle of sufficient reasons Sababu za kufanikiwa katika malengo na nyinginezo
Hivyo kutokana na maafiano ya kikao hicho ilifuatiwa na utekelezaji wa maazimio yale yaliyopitishwa wakati huo wareno walikwisha fanikiwa kiasi fulani katika Africa ya Azania na maeneo ya kongo walifanikiwa kumbatiza mani Kongo Zingankuwa na kumpa jina la john ll, kadhalika mwenae aliyekuwa akiitwa Mwemba na kupewa jina la Alfonso
kutokana na maamuzi hayo pope nicholas V alimpa mfalme Alfonso ambaye alikuwa kibaraka wa wareno Africa alihodhi biashara yote ya Afica kwa mabavu na alimuagiza na kumuamrisha kuwa
(Tunamruhusu na tunampa uhuru wote Mfalme Alfonso wa kuwashika na kuwakamata na kuwapiga vita na kuwafanya kutii amri zetu waarabu na Waislamu wote na wasio na dini popote pale walipo Aidha na kukamata nchi zao falme zao zote mali yao ardhi zao na utajiri wao wote walionao na kuwaingiza katika Utumwa wa daima milele
wachukue fursa hiyo wakawatumia wao na vizazi vyao na kwa vile Mfalme Alfonso na wenzake wameeepokea nguvu hizo basi watandelea kukamata kwa haki na daima visiwa hivyo na bahari na utajiri)
kutokana na maagizo hayo fransisco D"Almeida na Vasco Dagama Walikuwa na kazi ngumu ya kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa kutokana na utaratibu maalumu walioupanga,'
kilwa ikiwa chini ya Amir ibrahim wakati huo Fransisco D'almeida alipewa ugavana wa india ili kuweza kudhibiti mwambao wote wa pwani hiyo ya bahari ya Hindi
tarehe 12 july, 1502 vasco dagama aliwasili tena kilwa ili kuweza kutekeleza maagizo ya pope nicolas V. Vasco Dagama alimtaka Amir ibrahim afike katika marikebu yake haraka ili wafanye ushauri juu ya dola hiyo ya kilwa wakati huu ulikuwa ni wakati mgumu sana kwa Amir ibrahim kwa kuwa wareno walifanikiwa kuweka vibaraka puppets''wao katika kilwa na kumsaliti kiongozi wao
wakati huo watu wengi waliingia karika usaliti huo wakiongozwa na Ankoni hayo yote yalikuwa ni matunda ya Antonio fernandas Mreno aliyekaa katika dola hiyo kwa muda mrefu kwa lengo la kuwaandaa wasaliti kutokana na hali hiyo Amir ibrahim aliukataa mwito huo wa vasco Dagama lakini vasco dagama allimtishia kumfunga kama mfungwa ndani ya merikebu kama atamkamata kwa nguvu yake na kisha autie moto mji wote wa kilwa
kutokana na vitisho hivyo Amir ibrahimm alikubali na mashauriano yakawa ni lazima dola ya kilwa ilipe kodi kwa wareno na isitoshe wareno walisimamisha bendera yao pahala pa ikulu ya amir ibrahim (Huzuni kubwa )kwa nguvu hii ni kuashiria kwamba Waislamu wa dola ya kilwa wamenyang'anywa rasmi uhuru wao
tangu yaishe mashauri hayo ilipita miaka miwili waislamu hao hawakufanya chochote katika yale waliolazimishwa kufanya
tarehe 22 july 1505,kamanda d.Almeida akiwa na merikebu 22 zilizojaa wanajeshi 1500 miongoni mwa hao walishawishiwa na vasco dagama kumsaliti kiongozi wao malengo makubwa safari hii ni kutimiza ile azma yao ambayo iliyobagwa
wareno walitaka kuwalazimisha waislamu kuingia katika Ukristo na walikuwa tayari kufanya hivyo kwa lazima kama ingewezekana
Amir ibrahim alitakiwa kwenda katika merikebu ya kireno ili akajibu kwa nini mpaka muda huo wote hawakulipa kodi mashauriano yalllllikuwa magumu sana amir ibrahim aliomba udharura kidogo ili akashauriane na watendaji wake pamoja na viongozi wake juu ya jambo hilo
Wareno walimtaka ibrahim aweke rehani mpaka hapo watakapo afikiana Amir ibrahim akapata nafasi ya kumuweka rehani yule msaliti wake yaani mohammed ankoni awe ndio rehani wakati ambao mammaed ankoni alipowekwa kwa wareno kama rehani naye aliitumia vizuri nafasi hiyo kwa kuwapa maelezo ya jinsi ya kuishambulia dola hiyo
maeneo sita yalikuwa ni muhimu sana eneo la kilwa mombasa rhapta (Mwanamakuka)songo mnara ras ya sofala na mogadishu humo ndimo alimo piga (Vasco Dagama na ndio mwanzo wa utumwa africa ya mashariki)
 
Uvamizi Zanzibar Msumbiji na kilwa mombasa na Mogadishu na Wareno
Wareno waliivamia Oman na Zanzibar katika karne ya kumi na sita 16.
lakini baadaye wa Omani walifanikiwa kujikomboa kutoka kwa wareno Ukombozi wa Omani ndio ulioleta tija ya kukombolewa kwa zanzibar, kwani ni wa Oman hawa hawa ndio walioikomboa zanzibar Oman ilivamiwa mwaka 1508.
Chini ya Aifonso Albuqueque ambaye aliishambulia Sohar, Maskat, na karyat na kuziweka chini ya Himaya yake wakati Zanzibar Unguja ,ilivamiwa mwaka 1503. chini ya Lawrenco Ravasco na baadaye ilishambuliwa pemba na Francisco da Seixas De'Cabrera.kama ilivyokuwa Kilwa ilivamiwa Fransisco De Almeida akishiriana na vasco Da Gama Mwaka 1505,)
kushambuliwa Unguja kuanzia mwaka 1503 Unguja ilishambuliwa Miezi Miwili Mfululizo na Wareno chini ya Laurenso ravasco hata ilipofika mwaka 1508, Don Duarte Delemos, Gavana Wa Kireno Nchini Ethiopia Alifika Unguja ili kukusanya Kodi, akakataliwa
watu wa Unguja wakapambana Kiume wakishirikiana na wenzao kutoka visiwavywa Pemba na katika mwaka 1631 Francisco de sexas Cabreira alipiga Bomu kasri ya Malkia Mwana wa Mwana na kuifukia kama ilivyopigwa bomu Kiilwa na bagamoyo.
Malkia Mwana wa Mwana alikimbilia na kuhamia Yenen na hakufanikiwa kurudi tena Mpaka Umauti ulipomfika akiwa Jiddah Saud Arabia Mwaka 1638.)
Kasri yake wakaivamia Wareno na kuifanya kuwa kanisa dogo la mwanzo, lakini baadaye kanisa hilo lilivunjwa na I mamu Seif wa Oman alipokuja kuikomboa Zanzibar ' ngome kongwe ndio ilokuwa ikulu ya Malkia Mwana wa mwana hapo zamani ,
katika Unguja baada ya tukio hilo watu wengi sana walikimbilia Oman ili kwenda kujipanga vizuri na kufundishwa mbinu na kupambana na mreno, mwaka 1632 Yusuf bin hassan bin Ahmed kutoka pemba aliishambulia ngome ya Wareno Mombasa,
kushambuliwa pemba kwamara ya mwanzo,kwa mujibu wa waraka wa Jamba Ngome ulioandikwa mwaka 1606 na Mmoja kati ya wazee wa pemba chini ya usimamizi maelekezo wa Sharif bin yusuf bin burhan
waraka huo ulikutwa katikati ya Msahafu (Qur an) na Shekh Theniya bin Khalfan ambaye aliupiga Copy nakala kisha ukatafsiriwa kwa kiingereza na Shekh Abdur rahman bin muhammad bin Jidawy wa kahkama kuu ya Zanzibar na kuhifadhiwa katika makumbusho ya taifa ya beitul Aman. waraka huo unasema hivi,
Baada ya Francico De sexas Cbreira kuivamia Pemba akiwa na kisoni bin jojo ambaye aliingia pemba na meli tano na wanavita wa msalaba wa kireno kutaka kulipwa kodi.
wenyeji wa pemba walikusanyika pamoja na maalimu Juma bin kombo na kiongozi wa pemba akasema tazama hapa wewe kisoni hatutakupa chochote,hatukujui wewe ni nani? sisi sio watumwa wako, kwanza wewe ni nani?
kwa sababu hii kisoni akatangaza Vita lakini wenyeji wa pemba wakapambana kwa muda wa siku 32 kisoni akashindwa kwa mshikamano huo akakimbia na kuondoka katika mwaka 1652, kisoni alirudi tena na meli 65 za wana vita kudai kodi kutoka kwa wenyeji wa pemba lakini walikataa kata kata na walipigana kwa muda wa siku 60, waliua Wareno 1304 na wenyeji 364 walikufa mashahidi, Kisoni hakupata kitu akarudi na watu wake,'
katika mwaka 1656. Kisoni alikuja na Meli 70 za kijeshi zikatua Ras-Mkumbuu zikajipanga kwa mapambano ya siku saba wenyeji wa pemba walijikusanya kutoka kona zote za pemba,ilikuwa ni maadalizi ya kujitolea muhanga zidi ya wareno kufa kupona,
wakati kisoni alipotaka kodi majlis Shura iliyowajumuisha maalimu juma kombo Shsme bin ali, Mfalme haruna bin hassan bin ali na Mwinyi bin Sharif bin Qutb bin mahaz Al Baalawy ,
maalim juma kombo alimwambia Kisoni tumekubaliana kwamba hatukulipi kodi yoyote Kisoni akasema Mkubali msikubali Mtalipa kodi kama kawaida maalim akasema hatuogopi sieee'...
Waraka unaendelea kusema kuwa mwisho walikubaliana kiujanja kuwa watalipa Dirham 12000 na baadaye wataongeza Dirham 16000, lakini zitaanza kulipwa mwaka utakaofuatia
waraka huo unabaini kuwa walifanya hivyo ili bwana kisoni aondoke wapate kujipanga zaidi kwa mapambano, na alipoondoka walisoma Ahlal badri kumuomba mwenyezi mungu kwa tawasul ya watu waliopigana vita vya badr ndani ya wakati mgumu wa mwezi wa Ramadhan...pamoja na nyiradi mbanimbali
husemwa kuwa hiyo ndio dua iliyoombwa kuwa asipatikane Mzanzibar yeyote kuritadi kutoka katika Uislamu ikiwa ataritadi apatwe na madhara na hii imetokezea mara nyingi katika vizazi vya zanzibar,
Mwisho ilishambuliwa pemba na wareno kutamalaki Hollings Worth anahitimisha kwa kusema
hakuna shaka yeyote wala ubishi kkkkwamba wareno walikuwa na hamu kubwa ya ajabu kuhakikisha kuwa wanausambaratisha Utawala wa kiislamu na Ustaarabu wake katika kisiwa cha pemba
na katika Mwaka 1651 Oman ikiongozwa na imamu nasir bin murshid al yaaroud ambapo alifanikiwa kuukomboa Mji wa ormuz mwaka 1622 na Mwanawe imam seif ibm nasir ibn murshid alyaarod alifakiwa kuwatowa kabisa wareno katika mwaka 1631/
Lakini zanzibar ilikaa chini ya Utawala wa kireno tena mpaka mwaka 1696 baada ya kushindwa kwa majaribio mengi ya kutaka kujikomboa, yaani mwaka 1585 waliposaidiwa tena na Utawala wa Uturuki Ottoman Empire/ na kupitia kwa Shambulizi kubwa alilofanya yusuf Ahmed mwaka 1630 ambalo halikuzaa matunda/
Lakini ilipokombolewa Oman mwaka 1632 ndio Chachu ya kukombolewa kwa Zanzibar kwani machifu wa kizanzibar kutoka tumbatu na peeemba wakishirikiana na watu wa Kilwa
waliteua wajumbe kwenda Oman jahazi lilichogwa chwaka Uguja nakwenda kukutana Imam seif ili afanye Ukombozi wa kuwasaiidia zanzibar nae alikubali pale alipokusanya majeshi na kutangaza vita dhidi ya mreno kuanzia mwaka 1696-1698 alipofanikiwa kuikamata Ngome kuu ya mombasa
wakati huo zanzibar katika kasr ya Fatma na Mwinyi Mkuu tayari wareno walishajenga kanisa digo ndani ya ngome kogwe , unaweza kuyaona makombora aliyotumia Imam seif kumtowa mreno yamewekwa mbele ya ndome hiyo kogwe na sasa mengine mbele wa forodhani ikiwa kama kumbukumbu ya tukui hilo,
baada ya kumaliza kuikomboa Zanzibar Imamu seif bin murshid alikuwa tayari kuyarejesha majeshi yake nyumbani kwake oman kama walivyofanya waturuki Ottoman Empire mwaka 1585. lakini Wazanzibar walijikushanya nakuweka shura ya kukubaliana kwamba majesshi ya oman yasirudi kwanza
hivyo kwa kuhofia kwamba wareno watarudi kama walivyorudi mwaka 1586 baada ya waturuki Ottoman empire''walivyorudi kwao, walimsihi imamu sei ayabakishe majeshi yake hapo na washirikiane katika Uamuzi wa zanzibar hivyo basi imamu seif alikubali tena maombi ya ndugu zake katika iman akabakisha majeshi yake hapo, bali akiwa oman aliteua magavana mbali mbali wenye kufanya kazi katika mwambao wa Africa mashariki kupitia Zanzibar na pia wapo Wazanzibar waliteuliwa kwenda kufanya kazi oman chini ya mashirikiano hayo,.
kadhalika alianza kuitumikia zanzibar kwa misaada kuendeleza kilimo bora cha minazi ni yeye ndio aliyeanzisha ukarabati wa njia na kuttawenya visima vywa maji safi na kufanya rutuba iliyowezesha zao la minazi na miti mingine
imamu seif alifariki mwaka 1711, akateuliwa imam seif II kushika Uimamu, lakini naye alifariki mwaka 1728)
akaja Inan said ibn Ahmed ibn ssultan ibn said al Busaid
(sayyid said)
Uchaguzi wa mwaka 1741ulimuweka madarakani imam Ahmed bin said bin sultan al busaid Ambaye naye alishika Uimamu yeye alibadili mfumo wa Utawala na kuwateua magavana (maliwali) wapya na huko mombasa ambayo ilikuwa chini ya uliwali wa Mazrui na huko pate walikuwa ma- al harth
katika mwaka 1746 imam Ahmed alimteua Addullah bin Djad kuwa Liwali Mpya wa Zanzibar, na mombasa na pate,ndipo mazrui wa mambasa na ma-al harth wa pate walipokataa na kujitangazia utawala wao (mombasa Sheikhdom)
katika mwaka 184 sayyd said alikamata madaraka ya Oman na Zanzibar kwa taratibu za kisheria kwa mujibu wa dhehebu lake la ibadhi ni yeye aliyefanikiwa kuumaliza mzozo wa mombasa na pate lakini baadaye mwaka 1826 aliwapa tena indhar
wakati yote yanatendeka mwinyi mkuu wa zanzibar Hassan ambaye ndio Mtawala wa kienyeji aliyewakaribisha wa- Oman zanzibar akimsihi sana sayyid said bora ahamishe makao makuu kuyatoa Oman aje kuishi zanzibar ili ijengeke kama makao makuu au mji mkuu sayyid said hakufanya khiyana aliitikia wito wa nduguye katika iman hatimaye mwaka 1833 alianza kuikarabati Ngome kongwe na 1840 kuhamia ambapo mwanzo aliitumia Mwinyi Mkuu mara baada ya kuondoka wareno
john middleton na jane Campbell wanalezea vizuri tukio hilo la kiungwana kinyume na wale wanaosema sayyid said amekuja kuteka nchi ya zanzibar
sayyid said bin sultan hakuwa ni mwenye kuteka lakini kuitikia wito wa ndugu zake wa iman
Ndio hapo ukaimbwa wimbo wa kibuzi buzi, kuwa ni fumbo la kuimbwa na watoto kueleza
(Njama za kwenda manga omaaan uitwae fumo mkuki na Upanga huku sinba mreno karegea karegea kongwe Mzee hajiwezi)''
mwinyi Mkuu akajenga dunga bweni na kuhamia huko ili kumpisha sayyid said.
mwinyyi mkuu wa zanzibar hassan bin sultan bin Alawy Mtoto wa Mwinyi Mkuu wa kwanza kuhamia hapa Unguja alikuwa Mfalme mwwwaka 1710... na mwinyi mkuu hassan bin Ahmed ndie wa kwanza kuhamia Dunga, kaskazini ya dunga Bweni akimpisha Sayyid said bin sultan mjini,.
kwani fahari wawili hawakai zizi moja ingawa akija sana Mjini kumtembelea na wakisikilizana na akipendwa sana na wananchi mpaka Nyimbo ya kkumbembelezea Mtoto ikimbwa kwa jina lake
karatasi nakupeleka
kwa Mfalme Hassani
na fimbo ya Henzirani,
makosa niliyokosa
nina muombeazi kweani,
Mwombezi wangu nyota
na baraka ramadhani...'''
Lakini pia viongozi hawa walikuwa ni viongo muhimu katika baraza la mawaziri wa sayyid said
 
Mkutano wa berlin Nov 1884-1885

14December 1885 ndio iliyo kuwa siku ya mkutano wa pili wa tume uliohusu kuirarua dola ya Kiislam iliyo kuwa ikiongoza Africa mashariki na kusimika dini ya Ukristo kupitia ukoloni
tarehe 19 januari 1886 tume ilimaliza kukagua maeneo ya milki ya zanzibar kuanzia ghuba ya pwani ya tungi hadi kisiju yaani mikindani tungi lindi mtwara kikoya na kisiju mpaka kilwa
tarehe 22 febr na tatehe 8 march 1886 wajumbe wa liendelea kupima mipaka toka kismayu nyasa malawi mpaka ruvuma yaani maeneo ya vanga wasin gasi mombasa na takaungu na baadaye waliingia bagamoyo na kilosa mpaka wakaimaliza bara yote humo mote walimopita waliiona bendera ya ZANZIBAR ikipepea)
Mkutano wa berlin ulioanza Nov 1884 na kumaliza feb 1885 uliozishirikishs Nchi za kizungu kutoka Ulaya chini ya kansela wa kijerumani Ottovan bismark huko berlin Ujerumani maazimio yaliirarua Dola ya Zanzibar Nchi hizo ni pamoja na Uingereza ujerumani uihispania Ufaransa na Ubelgiji pamoja na Italiano katika somo la historia ngazi zote takriban hufundishwa kuwa kuna kanuni kumi (ten principle) za makubaliano ya berlin
Lakini kwa bahati mbaya sana ni kanuni sita tu ambazo hutolewa katika taaluma hizo lakini hizo kanuni nyingine ni zipi? hebu hapa tuchambue kidogo ibara mbili ambazo ndizo zilizokuwa zinahusu kuhujumiwa waislamu katika mgawano
ibara ya IV ya patano la berlin ilihusu kuufuta Uislamu iliundwa mahakama maalumu ya kanisa chini ya papa ikiitwa kinyume na utaratibu kuwalazimisha Waislamu kufuata mila za kirumi
hii ilifanikishwa na Imperial East African Company wakati walipowalazimisha waislamu kutumia herufi za kirumi badala ya herufi za kiarabu
Aliyekuwa Gavana wa Tanganyika chini ya Ujerumani Schene aliiweka wazi Ibara hii katika waraka wake maalumu kwa wakuu wa wilaya waraka huo unaeleza hivi kama ninavyonukuu-
Mnaombwa mlete taarifa katika kipindi cha miezi mitatu toka kupokelewa kwa waraka huu taarifa hiyo ieleze namna gani waalimu na watumishi wa serikali wanavyoweza kutumika ili kukomesha kabisa kuenea kwa Uislamu
je mnadhani inawezekana kutunga Sheria ya kupiga marufuku kabisa Uislamu bila shaka inawezekana kutunga Sheria ambayo itazuia waalimu wasitahiriwe au kuhubiri katika misikiti yote'
watumishi wengine wa Umma itabidi wahusike na Sheria hiyo wataalamu wameshauri wananchi washauriwe na watiwe hima kufuga Nguruwe hivyo uenezwaji wa Uislamu utasimamishwa wazo hili lifikiriwe pia)
Ibara ya VI ya patano la Berlin ni kuhusu kuueneza Ukiristo yaani walikubaliana wahakikishe kuwa wanaueneza Ukiristo katika kila koloni ibara hii aliieleza aliyekuja kuwa kamishna wa Uganda Sir henry Johnson mwaka 1891-1901 alimuandikia D.C wa kisoga kuhusu wasi wasi aliounesha Askofu Turker juu ya kuenea Ukiristo kuwa kikwazo ni Uislamu
heitakuwa kwa maslahi ya Uingereza iwapo waislamu watapata wafuasi wengi kwani kwa asili yao waislamu ni wagumu mno kutawaliwa katika Nyoyo zao wanapinga Utawala wa Dola yakiristo)
kwa nini Ethiopia haikutawaliwa?
Zipo sababu nyingi zitolewazo katika somo la historia kuhusu Ethiopia na Ukoloni lakini haziwekwi bayana kuwa wakati ule Ethiopia ni nchi ya kikristo na lengo kuu ni kuziteka Nchi za kiislam na kueneza Ukiristo
Askofu tohana lucas wavera na wenzake wa jimbo la Mbeya katika kitabu chao historia ya kanisa anafafanua siri hii katika kile alichokiita mission na Ukoloni
hali hiiyo iligeuka kuwa tofauti baada ya mabadiliko ya kisiasa mwaka 1885 serikali za ulaya ziligawanya Africa katika yao

kipindi kipya cha ukoloni kilianza sehemu zote za Africa ziliwekwa chini ya Utawala wa kikoloni isipokuwa Ufalme wa kikiristo tu wa Ethiopia uliojitetea dhidi ya waitalia na lberia iliyokuwa chini ya ulinzi wa Marekani''
baada ya kumalizika mkutano wa berlin nov 1885 tume ya kupima mipaka iliundwa Agost 1885 chini ya wajumbe wafuatao
Bwana M.patrimonio balozi wa Ufaransa Nchini Ubeligiji
bwana Schmid balozi wa Ujerumani katika cairo
kanali H.H kitchner,kutoka Uingereza

manguga alivyo pewa namikataba feki na kulahauliwa
huo Mkataba ulioandikwa kwa kijerumani na kutafsiriwa na ramadhani yaani huyo ramadhani aliambiwa maneno ambayo yapo katika ligha ya kijerumani yana maana ya kuwa karl peter anataka Urafiki na kukaaaa kwa wema na chifu mangunga kama mtu na rafiki yake
lakini kwa bahati mbaya haukuandikwa hivyo ijapokuwa hata waliokuwa mashahidi ambao ni mtoto wake mangunga aitwaye kwagakinga na mtoto wake wa pili abdur rahman waliamini hivyo Dr kimambo kaunakili mkataba huu katika kitabu chake A history of tanzania uk 99 naye issa nasir katika kitabu zanzibar kinyanganyiro na Utumwa anabainisha hayo
katika mwezi wa novemba wa mwaka huo huo 1884 karl peters aliteremka zanzibar na akaenda tanganyika mara baada ya wiki chache kupita
alirejea zanzibar na mikataba 12 ilitiwa sahihi na machifu wa kiafrica inayoonesha kwamba machifu hao wameikabidhi Ujerumani sehemu ya Usagara Uzigua Ukami na Nguu
Sehemu zote ziko masafa karibu ya mwambao wa pwani..bila ya kuchelewa syyid alipoga simu kwa mfalme (Emperor ) wa Ujerumani kuidaia Zanzibar haki yake
Kwamba sehemu zote hizo zilizofanyiwa Mikataba ili kushikwa na Mjerumani zilikuwa ni sehemu za mamlaka ya Zanzibar na kwamba wale machifu waliotia saini kuipa Ujerumani sehemu hizo hawa kuwa na haki ya kufanya hivyo"
kitabu zamani mpaka siku hizi pia kinaandika habari hii
katika kwaka 1884 mdachi mmoja jina lake kaarl peters ...walifika Nchi za Uzigua Na Uluguru ili wazikague walipofika Uluguru walionana na wakubwa wa makabila ya huko wakafanya nao mapatano na wakubwa walikubali kuwapa Nchi zao
sayyid alikuwa sultani wa Unguja wakati huo na alipopata habari hizo alishindana na wadachi juu ya shauri hilo la mapatano maana alisema kuwa Nchi hizo zote ni chini ya mamlaka ya zanzibar wale wakubwa wa makabila ni raia zake tu
haikuwa dawa pamoja na juhudi hizo Ujerumani walikubaliana katika Ulaghai huo yakaporwa maeneo hayo )
tarehe 7-12-1886 waingereza na wajerumani walikubaliana kuyachukuwa maeneo ya zanzibar na kukabidhiana makubaliano hayo yalifikiwa bila kumhusisha sultani wa zanzibar wakati huo ni sayyd barghashi
waliyachukuwa maeneo yote takriban kisha sultani alipelekewa taarifa na kulazimishwa kukubali chini ya 24 kwa mtutu wa bunduki tarehe 7 agost
1885
asubuhi yake mizinga yake yote imeelekezwa kuupiga mji wa ZANZIBAR

makubaliano ya 1890 yalikuwa ni makubaliano ya kuyamalizia maeneo yaliyobaki katika makubaliano ya mwaka huu UINGEREZA NA uJERUMANI WALIKUBALIANA kuwa maeneo ya Unguja na pemba yatakuwa chini ya Uangalizi wake mahmia (Protectorate ) ya muingereza
kisha Mjerumani atachukuwa maeneo ya tanganyika na mto Umba mlima kilimanjaro ziwa Nyasa Malawi mpaka mto kongo rwanda na burundi zitakuwa chini yake pia wakati muingereza ataichukuwa uganda na kenya ingawa kisiwa cha mombasa liliendelea kuhesabika kuwa eneo la zanzibar
ni waandishi wachache waliojaribu kuandika ukweli kuhusu kuchukuliwa eneo hili kutoka mikononi mwa dola ya ZANZIBAr kwakuwa wanahistoria wengi hawakupenda kuuelezaa ukweli wa namna Dola ya zanzibar ilivyoenea mpaka hapo
Mpaka kufika mwaka 1911 jenerali roger yaani muwakilishi mkaazi wa Uingereza alikuwa kisha fanikiwa kufanya mabadiliko mengi ya mambo ya Utawala wa zanzibar ikiwemo idara ya mahakama na hapo ndipo ziliponza kutiwa Sheria za kizungu na mahakama ya kadhi ikabaki kushughulikia mambo ya Ndoa na talaka na mirathi,tu,
Na badaye mwaka 1913 muingereza alijitanganzia kuwa zanzibar ni koloni lake rasmi mambo yote ya ndani na ya nje yakatangazwa kuwa yatakuwa chini ya muingegeza
 
Wana majlis Maandiko na historia hii ni ndefu lakini hapa inatufikisha kwenye ukweli mmoja kuwa Ukoloni bara la Afrika umekuja mbali ya kutawala lakini kubwa ni Dini. Baada ya kungamizwa kwa dola ya Andulasia ya spain na kugundulika kuwepo dola nyengine katika maeneo ya Afrika hivyo lengo yakawa mawili kuumaliza uislam na pia Kuzitawala nchi hizi kwa faida zao.
hivyo ukristo uliletwa kwa njia hii na makanisa yakajengwa kwa msaada mkubwa wa serikali hizi za kikoloni.
hivyo tunapozungumzia Padre Mzungu kuwa alisaidia harakati za kudai uhuru huwa tunajiuliza mara mbili tatu...hata kama msaada ulikuwapo wa sehemu ya tiketi bado tuna kila sababu ya kutilia shaka urafiki wao .Ingawa miaka ile wazee wale wa kariakoo hawakutanabah au walifumba macho wakaomba mamabo yatakua sawa, lakini kama tunavoona hata historia tu inafichwa kana kwamba hawakuwepo....kazi kwenu wana majlis
 
Wana majlis Maandiko na historia hii ni ndefu lakini hapa inatufikisha kwenye ukweli mmoja kuwa Ukoloni bara la Afrika umekuja mbali ya kutawala lakini kubwa ni Dini. Baada ya kungamizwa kwa dola ya Andulasia ya spain na kugundulika kuwepo dola nyengine katika maeneo ya Afrika hivyo lengo yakawa mawili kuumaliza uislam na pia Kuzitawala nchi hizi kwa faida zao.
hivyo ukristo uliletwa kwa njia hii na makanisa yakajengwa kwa msaada mkubwa wa serikali hizi za kikoloni.
hivyo tunapozungumzia Padre Mzungu kuwa alisaidia harakati za kudai uhuru huwa tunajiuliza mara mbili tatu...hata kama msaada ulikuwapo wa sehemu ya tiketi bado tuna kila sababu ya kutilia shaka urafiki wao .Ingawa miaka ile wazee wale wa kariakoo hawakutanabah au walifumba macho wakaomba mamabo yatakua sawa, lakini kama tunavoona hata historia tu inafichwa kana kwamba hawakuwepo....kazi kwenu wana majlis

Crabat,
Ahsante umetuletea hazina kubwa hapa Majlis.
Allah akuzidishie ilm.

Kuna mtu hapa nadhani anataka kuzungumza na wewe kwa njia ya ajabu.
Ananakili kazi za watu wengine anazibandika hapa kama zake.

Nakuomba mueleze kuwa huo si usomi hata kidogo na kwa hakika ni wizi.

Mpe nasaha na akida za "scholarship" kuwa afanyapo hivyo hakuna atakae
msoma kwani ni sawa ya mtu alieiba kitabu maktaba akakitoa kwa mtu
kama zawadi na mihuri ya maktaba kilipoibiwa inaonekana.

Kama hana kitu si lazima aweke kitu hapa.
Anaweza kuchangia hata kwa kusoma tu.
 
Crabat,
Ahsante umetuletea hazina kubwa hapa Majlis.
Allah akuzidishie ilm.

Kuna mtu hapa nadhani anataka kuzungumza na wewe kwa njia ya ajabu.
Ananakili kazi za watu wengine anazibandika hapa kama zake.

Nakuomba mueleze kuwa huo si usomi hata kidogo na kwa hakika ni wizi.

Mpe nasaha na akida za "scholarship" kuwa afanyapo hivyo hakuna atakae
msoma kwani ni sawa ya mtu alieiba kitabu maktaba akakitoa kwa mtu
kama zawadi na mihuri ya maktaba kilipoibiwa inaonekana.

Kama hana kitu si lazima aweke kitu hapa.
Anaweza kuchangia hata kwa kusoma tu.

ahsanta kwa wale waloweka kumbukumbu hizi kwetu tukajitambua.

Brother Mohammed Said umewahi kutembelea kaole ? ile sehemu kuna mji wa zamani pale Bagamoyo ? ambao umetajwa katika moja hizi makala za juu ? Wallah wale vijana wapo pale tena wanatoka chuo cha utalii basi waki kuelezea imekuaje pale kaole utahisi kiche chefu . Hawasemi kweli na hata hawaeleweki.
siku moja nilimpeleka rafiki yangu kutoka India tena Baniani atokeae Chandighar Mji sehemu za Delhi. Wahindi wa huko wala hawajui kama kuna wahindi wenzao huku basi kufika pale na kuuliza uliza masuala namna alivojibiwa akasema hawa guides hawajui hapa pametokea nini au wanaficha......
 
Sasa hebu jisome hapa.
Mimi nimekupa Andiko wewe unarusha mipasho ka mtoto wa Kopa!
Ajeeb.

Sasa LEO UNAKANA KUWA SAMSONI HAYUMO KWENYE BIBILIA? au SIO MKIRISTO!

Mbona nyie Makafiri mnakuwa hamna Aibu hata kidogo?
We Leo UNAIKANA BIBILIA YAKO?

Imebidi nilke post yako ili niungane na you low brain capacity. Nikikukimbiza kichaa km wewe ntaonekanaje sasa?
 
Crabat,
Ahsante umetuletea hazina kubwa hapa Majlis.
Allah akuzidishie ilm.

Kuna mtu hapa nadhani anataka kuzungumza na wewe kwa njia ya ajabu.
Ananakili kazi za watu wengine anazibandika hapa kama zake.

Nakuomba mueleze kuwa huo si usomi hata kidogo na kwa hakika ni wizi.

Mpe nasaha na akida za "scholarship" kuwa afanyapo hivyo hakuna atakae
msoma kwani ni sawa ya mtu alieiba kitabu maktaba akakitoa kwa mtu
kama zawadi na mihuri ya maktaba kilipoibiwa inaonekana.

Kama hana kitu si lazima aweke kitu hapa.
Anaweza kuchangia hata kwa kusoma tu.

Sio dhambi kwa mtu huyo kule habari hizo hapa, ilimradi anaeleza chazo cha habari hiyo, isiwe kama ufanyavyo wewe ambaye huleta habari na ukiombwa chanzo unaleta link yenye habari ambayo wewe ndio mwandishi
 
Wanamajlis,
Leo Ijumaa In Sha Allah nitafanya kipindi "live" mubashara saa tatu
unusu usiku Radio Kheri 104.10 FM "TANU KATIKA UMOJA WA
MATAIFA (UNO) 1955."


Hii ni historia ya Watanganyika kwenda UNO kudai nchi yao.
Wazalendo gani walifanikisha safari hii?

Kipindi kitarudiwa Jumamosi saa nne asubuhi...

Radio Adhana Zanzibar, Radio Quiblatein 103.6 FM Iringa
waliunganana Radio Kheri 104.10 kutoka Dar es Salaam kurusha
kipindi hiki.

DSCN1644.JPG


Mohamed Said Akiwafanyiwa Mahojiano na Hassan Abdulla Khamsi wa
Radio Kheri 104.10 FM
 
Sio dhambi kwa mtu huyo kule habari hizo hapa, ilimradi anaeleza chazo cha habari hiyo, isiwe kama ufanyavyo wewe ambaye huleta habari na ukiombwa chanzo unaleta link yenye habari ambayo wewe ndio mwandishi

Wanamajlis,
Katika kipindi katika Radio Kheri 104.10 FM humu ndimo nilipopita
na zaidi yake:

10690298_294960574041848_7314561847016959236_n.jpg


DSCN1644.JPG

Mwandishi Akihojiwa na Hassan Abdulla Khamis wa Radio Kheri


nyerere_departing_for_UNO.jpg

Kushoto: Rashid Sisso,Robert Makange, Zuberi Mtemvu, Iddi Faiz Mafongo, Julius Nyerere,
John Rupia na Bi. Titi Mohamed Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam Kumsindikiza Nyerere Akienda Umoja wa Mataifa New York, 1955

"Baraza la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti wake Sheikh Suleiman Takadir lilichukua mafanikio ya safari ya Nyerere kwenda UNO kuwa jukumu lao binafsi. Sehemu ya kwanza ya maandalizi ilitakiwa ifanyike kwa siri sana. Uongozi wa TANU ulimkabidhi Idd Faiz kazi ya kuandaa, kukusanya na kusimamia mfuko wa safari ya rais wa TANU kwenda Umoja wa Mataifa, New York. Safari ilikuwa ifanyike mwezi wa Februari, 1955.

Mwaka wa 1953 Idd Faiz alikuwa na umri wa miaka arobaini na tatu, mwenye ari na nguvu tele. Alipokuwa katika kamati kuu ya ya TANU mwaka wa 1959 aliteuliwa kuwa mweka hazina wa taifa wa TANU pamoja na kuwa mjumbe wa kamati kuu. Idd Faiz alikuwa mmoja wa viongozi wa chama walioanzisha TANU Press iliyokuwa katika njia panda ya Mtaa wa Mchikichi na Livingstone mjini Dar es Salaam. TANU Press ndiyo ilikuwa ikichapisha na kusambaza jarida la TANU, Sauti ya TANU lililohaririwa na rais wa chama, Julius Nyerere, na baadaye kuchapisha Mwafrika chini ya uhariri wa Rashid Heri Baghdelleh na Robert Makange. Kampuni hiyo ya kupiga chapa ilimilikiwa na Mwananchi Development Corporation TANU ilimteua Abdul Faraj kuiongoza kampuni hiyo.

TANU ilihitaji takriban shilingi elfu kumi na mbili kumwezesha Nyerere kusafiri kwenda Umoja wa Mataifa, New York. Kamati ya Abdu Kandoro, Japhet Kirilo na Abbas Sykes ilikuwa imekusanya kiasi cha fedha kutoka majimboni ambacho kilitumika katika ile safari ya Ally na Phombeah kwenda kwenye Pan African Congress mjini Lusaka. Kilichosalia hakikutosha kumpeleka Rais wa TANU, Nyerere Amerika. Ilibidi fedha za ziada zitafutwe kutoka kwa wananchi ili kumwezesha Nyerere kufanya safari hiyo. John Rupia alichangia zaidi ya theluthi moja ya fedha zilizotakikana. Wanachama wengine walichangia kwa uwezo wao wote lakini TANU katika siku zile ikiwa bado changa ilikuwa maskini, kiasi hicho kilikuwa bado kiko nje ya uwezo wake. Ikitambua ule upungufu wa fedha za safari ya Nyerere, Idd Faiz aliombwa na uongozi wa Al Jamiatul Islamiyya kutoa fedha katika mfuko wa Al Jamiatul Islamiyya na kuzitia katika hazina ya TANU kukiwezesha chama kumpeleka Nyerere New York. Hata pamoja na fedha zile kutoka Al Jamiatul Islamiyya hizo hazikuweza kukidhi haja.

Al Jamiatul Islamiyya haikuwa na jingine isipokuwa kumuomba Idd Faiz asafiri kwenda Tanga na kupata fedha zaidi kutoka huko. Mwalimu Kihere alikuwa tayari amekusanya fedha hizo na alikuwa anasubiri tu zije zichukuliwe na kupelekwa makao makuu. TANU ilipata habari kwamba yeyote ambaye angeenda Tanga kuchukua fedha hizo kwa ajili ya safari ya Nyerere angekamatwa. Kabla ya kuondoka, Oscar Kambona, Katibu Mkuu wa TANU, na John Rupia, Makamo wa Rais wa TANU, walikwenda kuonana na Idd Faiz nyumbani kwake Ilala kumuaga, kumtakia safari njema na kumpa maelezo kwa ufupi. Safari ya kwenda Tanga haikuwa na tatizo lolote, lakini katika wakati wa kurudi basi ambalo Idd Faiz alikuwamo lilisimamishwa njiani Turiani na makachero. Idd Faiz alikamatwa, akavuliwa nguo na kupekuliwa, lakini hakukutwa na fedha. Hili lilimshangaza na kumchanganya yule afisa aliyemkamata kwa sababu walikuwa na taarifa kwamba Idd Faiz alikuwa amechukua fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere kule Tanga. Idd Faiz aliwekwa chini ya ulinzi na kupelekwa Dar es Salaam kwa usaili zaidi wakati wote akiwa analindwa na askari wenye silaha. Baadaye Idd Faiz aliachiliwa huru. Zile fedha za TANU zilifika makao makuu ya TANU Dar es Salaam, salama salimini. Zilizokuwa zimepewa kubeba msichana mdogo aliykuwa abiria ndani ya basi lile alimokuwa Idd Faiz.

Mnamo tarehe 17 Februari, 1955 Nyerere aliondoka kwenda New York kuhutubia Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa. Nyerere aliiweka wazi nia ya TANU kuwa alikuwa ametumwa na wananchi wa Tangayika kuwasilisha ujumbe ufuatao:

“Kuona kanuni ya uchaguzi ikianzishwa na Waafrika kujiwakilisha katika taasisi zote za umma... Hii tunaamini, ni kwa mujibu wa masharti ya Makubaliano ya Udhamini na Ibara ya 76 ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa.”

Mbele ya Umoja wa Mataifa, TANU haikuwa ikidhihirisha tamko lolote jipya, yale yote yaliyowasilishwa pale yalikuwa ni maoni ya kamati ndogo ya siasa ya TAA yaliyowakilishwa kwa Constitutional Development Committee ya Gavana Edward Twining mwaka wa1950. Gavana Twining aliyapuuza mapendekezo ya TAA na badala yake aliendelea na mipango yake ya kuwa na wawakilishi wa rangi zote katika Baraza la Kutunga Sheria. Ili kuupa msukumo msimamo wake huo serikali ilituma ujumbe wake Umoja wa Mataifa kuipinga TANU uliowakilishwa na I. C. Chopra, Mwasia; Sir Charles Phillips, Mzungu na Liwali Yustino Mponda, mjumbe wa Baraza la Kutunga Sheria wa Newala.

Nyerere alirudi kutoka New York Jumamosi, tarehe 19 Machi, 1955 na alipokelewa uwanja wa ndege na halaiki ya watu. Dossa Aziz anakumbuka kuwa aliruhusiwa pale uwanja wa ndege kuingiza gari yake hadi ndani ya uwanja chini ya ndege ili kumrahisishia Nyerere kuingia ndani ya gari na kuepuka msongamano wa watu. Dossa Aziz anasema kama isingekuwa kwa msaada huo Nyerere angesongwa sana na watu. Watu walikuwa kila mahali wakisukumana na kusongamana wakijaribu angalau kumtia Nyerere machoni. Watu walikuwa wakiimba na kucheza ëmgandaí, ngoma ya Kizaramo, wakiimba: ëBaba Kabwela Yunoí. Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna mtu aliyewahi kuusikia wimbo huu kabla ya siku ile na hakuna ajuaye lini ulitungwa. Ile gari ya Dossa Aziz aliyopanda Nyerere ilisukumwa kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwa Nyerere, Magomeni Majumba Sita, kiasi cha kama kilomita ishirini.

Siku iliyofuata ilikuwa Jumapili. TANU ilifanya mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja ambao ulihudhuriwa na umati ambao kamwe haukupata kuonekana Dar es Salaam. Inakisiwa zaidi ya watu 40,000 walikuja kutoka kila upande wa mji kumsikiliza Nyerere. Hakuna mtu aliyekuwa na raha ya kuandika kuhusu mkutano ule na safari ya kihistoria ya Nyerere kwenda Umoja wa Mataifa kuliko Mashado Plantan katika gazeti lake Zuhra. Mtambo wa gazeti wa Mashado uliokuwa Mtaa wa Ndanda, Mission Quarters ulichapisha nakala za ziada za gazeti hilo na toleo lote liliuzika."

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes)

Chambuzi za historia zinaeleza katika harakati za kudai ukombozi wa Tanganyika haukuhusisha wanaume pekee, bali hata wanawake walikuwa mstari wa mbele kwa hali na mali wakiongozwa na vuguvugu la kisiasa kuanzia Chama cha Waafrika yaani Tanganyika African Association(TAA) na hadi Chama cha TANU-Tanganyika African National Union. Kinara wa kundi la wanawake aliyebakia kwenye kumbukumbu ya kizazi hiki ni Bibi Titi Mohammed. Huyu alikuwa sehemu ya mafanikio ya TANU kisiasa kwa wakati huo.
Mwanamke mwingine ni Mtumwa Kitete, mpika vitumbua na uji aliyekuwa akiishi Mtaa wa “New Street” sasa Lumumba. Huyu alitoa michango mingi ya hali na mali kuchangia TANU. Ndiye anayetajwa na wachambuzi kuwa alitoa mchango wa pesa za mwisho za kuchangia safari ya Mwalimu Julius Nyerere kwenda Umoja wa Mataifa (UNO), Marekani kueleza kwamba watu wa Tanganyika wapo tayari kwa uhuru na wanaweza kujitawala wenyewe.

Pia Mwamvua Mrisho aliyekuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Umoja wa Wanawake wa TANU, ambaye pia ni mke wa Abdulwahidi Sykes, ndiye aliyewapa mawazo kina Abdulwahidi, Dossa Aziz na Abass wamwendee Mtumwa Kitete na kumjulisha juu ya hatihati ya kukwama kwa safari ya Mwalimu Nyerere kwenda UNO.

Nyumba ya Mtumwa Kitete ilipovunjwa katika mtaa wa “New Street” (Lumumba) pahali ulikopita mtaa wa Mkunguni, alipewa kiwanja akajenga Mwananyamala hadi kifo chake.Wanawake wengine ni Tatu Mzee. Katika kitabu chake cha “TANU Woman: Gender and Culture in the Making of Tanganyika Nationalism, 1955-1965” kilichoandikwa na Susan Geiger anawataja wanawake walioshiriki harakati za ukombozi kuwa ni Halima Khamis, Mwamvita Mnyamani, Salma Ferouz, Mashavu binti Kibonge, Binti Kipara, Mwasaburi Ali na Fatma Abdallah.

Wengine ni Halima Selengia Kinabo, Mwamvita Salim and Zainab Khatibu, Mario Kinabo, Violet Njiro, Elizabeth Gupta, Kanasia Tade Mtenga, Natujwa Daniel Mashamba na Lucy Lameck.Wanawake wanaungana na akina Bibi Titi Mohammed kwenye mapambano ya uhuru ni pamoja na Agnes Sahani, Aziza Lucas, Tunu Nyembo, Halima Ntungi, Mwajuma Msafiri, Pili Juma, Mwamvua Kibonge, Zuhura Mussa na Chausiku Mzee.

Lakini kwa baadhi ya upande wa wanaume waliofanya kazi kwa karibu na Nyerere wakati wa harakati za ukombozi wa Tanganyika ni Saadani Abdul Kandoro, John Rupia, Dk Luciano Tsere, Makisi Mbwana, Mwinjuma Mwinyikambi, Idd Tulio, Jumbe Tambaza, Idd Tosiri, Fauzi Mafongo, Salum Abdallah, Dk Joseph Mutahangarwa, Abubakar Mwilima, Dk Vedasto Kyaruzi, Dk Wilbard Mwanjisi, George Magembe, Dunstan Omari na Zuberi Mtemvu.
Chanzo: Miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika – Kiongozi

DSCN1621.JPG
 
Mkuu Mohamed Said,

Unaendelea kurudia makosa yaleyale niliyokukosoa na kukusahihisha kuwa hii unayoitaja ya Wanatanu kuchangishwa ilikuwa ni safari ya 22/04/1957 na sio ya 05/03/1955.

Picha hiyo hapo juu ya makomred wa TANU ni ya 22/04/1957 wakimsindikiza Julius pale Uwanja wa Ndege terminal one ya sasa, Hii ilikuwa ni safari ya pili ya Mwalimu Nyerere kwenda UNO, Safari hii iligharimiwa kwakiwango kikubwa na John Lupia

Picha ya chini ni ya Wanawake wa TANU wakiongozwa na Bibi Titi Mohamed, ilipigwa 05/3/1955 siku ya kwanza kabisa Nyerere kusafiri kwenda UNO, Safari hii iligharimiwa na Kanisa Katoliki kupitia shirika lake la Marknoll Sister la Marekani.
 
Last edited by a moderator:
Wanamajlis,
Kuna kitabu, "In Search of Excellence." Kimeandikwa na waandishi wawili - Peters na Waterman. Wasomi hawa wanasema ukitaka kufanikiwa katika shughuli zako basi fanya kile unachokijua. Mathalan kama wewe ni msomi wa historia usithubutu kwenda kumfunza fundi rangi namna ya kupaka kuta rangi. Ukijaribu kuingia kwenye fani usiyoijua utageuka kuwa kichekesho.
 
Wanamajlis,
Kuna kitabu, "In Search of Excellence." Kimeandikwa na waandishi wawili - Peters na Waterman. Wasomi hawa wanasema ukitaka kufanikiwa katika shughuli zako basi fanya kile unachokijua. Mathalan kama wewe ni msomi wa historia usithubutu kwenda kumfunza fundi rangi namna ya kupaka kuta rangi. Ukijaribu kuingia kwenye fani usiyoijua utageuka kuwa kichekesho.

Unapoteza mwelekeo mzee, uongo una kikomo
 
Back
Top Bottom