Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

My dear the same pipo who did those fake things come out and expose the malpractice which were done by the Evil pipo in the system I know you are one of the beneficiary of the system
 
Ha ha ha haaaa! Ama Kweli njia ya muongo Ni fupi! Tena sana! Yaani Jamaa wanafanya michezo ya Ajabu sana! Wanatuona wote ni mazuzu.
 
Hivi Sheria ya Makosa ya Mtandao ilishafutwa?
 
According to you:
Total voters registered 503,580
Those who voted for Shein 299,982
Those who did not vote for Shein 28,345
Those who did not vote all 161,715


CCM wana penda number lakini hawajui hesabu



Turn out: ------------------- Shein alivyopata

Unguja------270708--------kapata 239776

Pemba------71157 ---------kapata 60206

Jumla ------341865 -------kapata 299982
 
Nashangaa why Wazanzibari hawajitokezi kudai muungano ufe?
 
Mkuu Maneno mazito sana, Pole sana ila usikate tamaa kwani kila linalopangwa chemba au gizani jambo hilo huwa na tabia ya kuwaumbua wale walilolipanga.tuvute subira kidogo wataanza kusema sio mimi alikuwa fulani.
umenena mkuu
 
Kura za rais zinatangazwa kwa majimbo .na hata NEC ndivo walivokua wanafanya ila huyu jecha yeye jatangaza kwa pamoja .sijui matokeo yale ameyapatajebkwa haraka .hata hiyo siku ambayo maalim seif wanavodai alijitangaza alitoa matokeobya kila jimbo navbaadae ndio akatoa ya jumla
 
Shit
 
mtu anaekuja hapa na kuitetea CCM huwa namshangaa hadi nashindwa kushangaa hadi najikuta najishangaa!
 
Nimechekaaa huku naliaaaaa...Mimi toka SAA 1,nilikuwa macho ITV nayoo machoo vituoni..maandishi anahojii mbona watu hawajii anajibiwa..wewe hujuii walikujaa asubui wengi Na watarudi baadae...Tanzania is a very wonderful Country in the World.
 
Kipima joto:Unaweza kulinganisha uchaguzi huu wa marudio Zanzibar na ule wa Burundi ( Nkurunzinza?).In any means tunahitaji muungano wetu udumu
 
kama ni kweli basi sheni ameuza heshima yake yote na atakuwa hana tena thamani kama binadamu
 
Shame! Shame! Shame!
Aina hii ya watu baada ya mamlaka yao kuisha wanakuwa wapweke, wenye msongo wa mawazo, wasioheshimiwa na watu wao.
 
sasa huyu shein kwani ni muunguja
 
CCM wana penda number lakini hawajui hesabu




Turn out: ------------------- Shein alivyopata

Unguja------270708--------kapata 239776

Pemba------71157 ---------kapata 60206

Jumla ------341865 -------kapata 299982
48175 ndo namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…