covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
yaani mimi ndio mkurugenzi nimeangaika kuwapigania hao madiwani kwa kura za wizi na ujanja ujanja hadi wamefika hapo then wanataka kunipata kichwani iseee....USINIONEEE TUTAONESHANA...Kuna wakurugenzi wana-behave kama maDC, wengine kama mameya, wengine kama maDAS, wengine kama wenyeviti wa CCM wilaya.