Siri ya mkoa wa Geita kuwa na matukio ya ovyo na ya ajabu hii hapa

Siri ya mkoa wa Geita kuwa na matukio ya ovyo na ya ajabu hii hapa

Habari zenu wana JamiiForums

Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.

Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.

Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.

Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.

Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.

Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.

Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
umeniudhi ulipoandika wakiristo hizi ni dharau sana
 
Sehemu kukiwa na madini na wakazi hao wakawa ni wapumbavu wanaoamini uchawi ni hatari sana. Mauaji mengi ya ajabu ni ya kishirikina ili wapate madini. Wasukuma wengi bado wajinga sana.
Mpendwa wetu alie tangulia mbele ya haki nae alikuwa .mtu wa geita vipi nae alikuwa na chuki kwa watu wenye mali kuliko yeye?
 
Habari zenu wana JamiiForums

Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.

Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.

Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.

Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.

Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.

Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.

Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
Waangalie hiyo mercury inayotumika kuchenjua madini inaathiri ubongo vibaya sana!
 
Habari zenu wana JamiiForums

Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.

Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.

Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.

Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.

Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.

Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.

Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
Sababu wala siyo hzo eti chuki pale kuna ushirikina mkali kuanziaa kahama had katoro kote huko utoboi kizembe Kama huna chalee kotoka utosini Hadi kwenye nyayoo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Rudi tena uwanjani ukafanye utafiti

Ingekuwa wanachuki ya maendeleo wangekuwa wanauawa matajiri tu

Kakae mgodini jichanganye na wachimbaji alafu utajua sababu ni nini ya hayo matukio wala hakuna mwenye chuki na mwenzake

Kingine ukitoa ushauri wa kujenga hospital maeneo ya migodi shauri kujengwa hosptal ya kutibu majeruh wa ajali za migodini na vitengo imara vya uokoaji kuanzishwa hospital inayoshughulikia wagonjwa wa afya ya akili inatosha ya Dodoma

NB:wanatafuta utajiri ndio maana unasikia hayo matukio
 
Back
Top Bottom