Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Yeye mwenyewe alijiita bintiKama housegirl au kama houseboy eleweka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe alijiita bintiKama housegirl au kama houseboy eleweka mkuu
Hata wa toto wa kiume huko hawapo salama sanaDuh,
Ova
Nani haoWakulaumiwa geita kuwa ovyo mbona wanajulikana
Ova
umeniudhi ulipoandika wakiristo hizi ni dharau sanaHabari zenu wana JamiiForums
Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.
Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.
Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.
Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.
Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.
Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.
Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
Hawana hiyanaWakinga nao wana huo ujinga wa kuamini ushirikina.
Mwana mmja alikuwa ananiambia mganga anayepatikana hayo maeneo Kwa ajili ya kupata utajiriHawana hiyana
Nasikia anaboda boda wake special kukupeleka kilingeniMwana mmja alikuwa ananiambia mganga anayepatikana hayo maeneo Kwa ajili ya kupata utajiri
Mpendwa wetu alie tangulia mbele ya haki nae alikuwa .mtu wa geita vipi nae alikuwa na chuki kwa watu wenye mali kuliko yeye?Sehemu kukiwa na madini na wakazi hao wakawa ni wapumbavu wanaoamini uchawi ni hatari sana. Mauaji mengi ya ajabu ni ya kishirikina ili wapate madini. Wasukuma wengi bado wajinga sana.
Waangalie hiyo mercury inayotumika kuchenjua madini inaathiri ubongo vibaya sana!Habari zenu wana JamiiForums
Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.
Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.
Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.
Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.
Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.
Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.
Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
Ni kweli mkuuWaangalie hiyo mercury inayotumika kuchenjua madini inaathiri ubongo vibaya sana!
Nadhani jeshi la uhamiaji lingekuja geita likaweka kambi ili kazi ifanyike kwa ueledi zaidiUwepo wa warundi na watusi inaweza kuwa sababu kubwa pia.. hao warundi huwa hawana jema.
Unauliza swali au majibu mkuuMpendwa wetu alie tangulia mbele ya haki nae alikuwa .mtu wa geita vipi nae alikuwa na chuki kwa watu wenye mali kuliko yeye?
Uzuri wa daressalam kuna uswahili Geita hakuna uswahili ila kuna ushenziSio Geita tu, hata uku Dar es salaam
Wakiristo au wakiristu naomba unieleweshe mkuuumeniudhi ulipoandika wakiristo hizi ni dharau sana
Sababu wala siyo hzo eti chuki pale kuna ushirikina mkali kuanziaa kahama had katoro kote huko utoboi kizembe Kama huna chalee kotoka utosini Hadi kwenye nyayooHabari zenu wana JamiiForums
Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.
Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.
Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.
Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.
Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.
Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.
Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili