Siri ya Pinda kuongezwa kwenye ‘Kikosi Kazi’ ni wajumbe kuelemewa na hoja ya Katiba Mpya

Siri ya Pinda kuongezwa kwenye ‘Kikosi Kazi’ ni wajumbe kuelemewa na hoja ya Katiba Mpya

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kazi kubwa ya Kikosi Kazi cha Rais ni kupata maoni kuhusu kudorora kwa Hali ya Demokrasia nchini lkn yenyewe imejikita zaidi kwenye upatikanaji wa Katiba Mpya.

Baada ya Kikosi Kazi kupendekeza katiba isubiri hadi 2025 wajumbe waligawanyika kuna wanaotaka mchakato uanze sasa na kuna wanaosema usubiri.

Pamoja na hayo maoni mengi ya wadau wanaohojiwa na Kikosi Kazi yanapendekeza kuanza mapema kwa mchakato wa Katiba, wanadai kama hoja ni muda au gharama waendelee ilipoishia Tume ya Warioba, hoja ambayo wanaotaka katiba isubiri wameshindwa kuijibu.

“Kuna wakati Kikosi Kazi huwa kinaelemewa na hoja za wanaokuja kutoka maoni hivyo wanaamini uwepo wake na uzoefu wake utasaidia kuongeza utulivu.” Profesa Rwekaza Mkandara.

Pinda alizima hoja ya Zanzibar ni nchi au siyo nchi, kaletwa kujaribu kuzima hoja ya Katiba mpya ni sasa au isubiri baada ya uchaguzi, je atafanikiwa? yetu macho na masikio.
 
Mkuu

Hii katiba itaua WENGI Sana ccm wasopokuwa makini.


Yeyote ataezuia mchakato wa katiba atafanya WATU wakubwa wafe kabla ya wakati wao.



Takwa la katiba Sio la CHADEMA ni la wenye NCHI

Tumia akili alionya Kuwa "wale watakao kwamisha mchakato wa katiba Ili kulinda maslahi ya wakubwa pale St Peters wataondolewa kimya kimya na watafanya too late ya Mama isiwe beyond mwaka huu!!!!

Kwenye uzi wa operation Imesitishwa the State wamesema apewe Muda!!jamaa alionya mule!


Pinda tunamheshimu asije akaingiza mkenge kwenye hiyo ishu!!!
 
kazi ipo bora ingekuwa kibarua tungelipwa kutwa lakini kazi lazima ukopwe nguvu zako mpaka mwisho wa mwezi!
binafsi nawahurumia vijana kiufupi watawala hawawapendi na hawako tayari kuwaandaa kushika nchi bali wamejipanga kuendelea kuwapa nchi watoto wao na vizazi vyao hata kama damu itamwagika huo ndio ukweli.
na kwa kufanya hivyo wameamua kuwafanya vijana wengi wawe wajinga kwa kuhakikisha wanawajibu maswali magumu kwa majibu rahisi.
  • hebu fikiria kama biashara za umachinga zinalipa kwanini watoto wao hawazifanyi
  • kama boda boda inalipa kwanini watoto wao hawafanyi
  • na kama mziki unalipa ushawahi kuwaona na watoto wao wakiwa wanamuziki
  • zindukeni vijana shauri zenu mkizubaa ukubwani mtakosa hekima na mtatawaliwa milele na umaskini hautaondoka kwenu.
 
Tatizo Hapa Sio kuchangia au kukatwa tozo,Bali Ni Hayo mapato kuwafikia walengwa,na badala yake yanaingia mfukoni mwa Hayo mnaoyaita mafisi.
 
Kwani ukienda ikulu basi umeenda kukutana na Kikosi Kazi. Tofautisha maridhiano ya Chadema na CCM na Kikosi Kazi ambacho Chadema wamegoma kuhudhuria.
Walichoridhiana.Lumumba na Ufipa ndio Komredi Chongollo kakiwasilisha kwenye Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe
 
Hawa watawala wa Sasa na chama Chao TAWALA,pamoja na wanaofaidika zaidi na hii Katiba Mbovu iliyopo kwa Sasa wanasingizia kwamba muda uliopo mpaka kufika 2025 ati Ni mfupi kutengeneza Katiba mpya.Hawa wanataka ku-Buy time.

Na Kama muda hautoshi,Basi Kiundwe kikosi kazi Cha watu MAKINI ambao Sio wanasiasa wafanye marekebisho ya ukweli kwenye tume ya uchaguzi iwe huru.Pia wagombea binafsi waruhusuwe.

Pia madaraka ya Rais kwenye Hiyo time huru ya uchaguzi yapunguzwe Ili Yeye asiwe ndio Mwenye final say.

Pia wafanyakazi wa tume wasiwe waajiriwa wa Serikali au walioteuliwa na watawala na chama Chao TAWALA Kama walivyofanya kuteua wajumbe wa lile Bunge la Katiba la hayati SITA.

Pia vyombo vya ulinzi na usalama wasitumike kuwatetea na kukilinda chama TAWALA wakati wa uchaguzi,Bali vilinde vyama vyote vilivyopo kisheria na WANANCHI na bila KUJALI Itikadi zao.
 
Marekebisho yoyote ya Katiba yafanyike kwa kutumia Ile Katiba pendwa ya Warioba,maana ndo yalikuwa maoni halisi ya WENYE NCHI YAO(WANANCHI).Ile Katiba ya Hayati SITA Ichomwe Moto maana ilikuwa Ni kejeli kwa watanzania
 
Kazi kubwa ya Kikosi Kazi cha Rais ni kupata maoni kuhusu kudorora kwa Hali ya Demokrasia nchini lkn yenyewe imejikita zaidi kwenye upatikanaji wa Katiba Mpya.

Baada ya Kikosi Kazi kupendekeza katiba isubiri hadi 2025 wajumbe waligawanyika kuna wanaotaka mchakato uanze sasa na kuna wanaosema usubiri.

Pamoja na hayo maoni mengi ya wadau wanaohojiwa na Kikosi Kazi yanapendekeza kuanza mapema kwa mchakato wa Katiba, wanadai kama hoja ni muda au gharama waendelee ilipoishia Tume ya Warioba, hoja ambayo wanaotaka katiba isubiri wameshindwa kuijibu.

“Kuna wakati Kikosi Kazi huwa kinaelemewa na hoja za wanaokuja kutoka maoni hivyo wanaamini uwepo wake na uzoefu wake utasaidia kuongeza utulivu.” Profesa Rwekaza Mkandara.

Pinda alizima hoja ya Zanzibar ni nchi au siyo nchi, kaletwa kujaribu kuzima hoja ya Katiba mpya ni sasa au isubiri baada ya uchaguzi, je atafanikiwa? yetu macho na masikio.
Pinda hana lolote amepelekwa pale kulinda maslahi ya CCM
 
Hawa watawala wa Sasa na chama Chao TAWALA,pamoja na wanaofaidika zaidi na hii Katiba Mbovu iliyopo kwa Sasa wanasingizia kwamba muda uliopo mpaka kufika 2025 ati Ni mfupi kutengeneza Katiba mpya.Hawa wanataka ku-Buy time.Na Kama muda hautoshi,Basi Kiundwe kikosi kazi Cha watu MAKINI ambao Sio wanasiasa wafanye marekebisho ya ukweli kwenye tume ya uchaguzi iwe huru.Pia wagombea binafsi waruhusuwe.Pia madaraka ya Rais kwenye Hiyo time huru ya uchaguzi yapunguzwe Ili Yeye asiwe ndio Mwenye final say.Pia wafanyakazi wa tume wasiwe waajiriwa wa Serikali au walioteuliwa na watawala na chama Chao TAWALA Kama walivyofanya kuteua wajumbe wa lile Bunge la Katiba la hayati SITA.Pia vyombo vya ulinzi na usalama wasitumike kuwatetea na kukilinda chama TAWALA wakati wa uchaguzi,Bali vilinde vyama vyote vilivyopo kisheria na WANANCHI na bila KUJALI Itikadi zao.
Moja wapo ni Zitto Kabwe anataka katiba isubiri 2025
 
Back
Top Bottom