Siri ya popobawa Miaka ya 90 na Ushoga miaka yetu hii

Siri ya popobawa Miaka ya 90 na Ushoga miaka yetu hii

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mpaka leo files zake zimekuwa classified. Hawataki kusema ukweli hasa nini kilitokea na ikawaje wakayafungulia yale majini yakaanza kuwa yana waingilia wanaume kinyume na maumbile.

Al maarufu Popo Bawa. Ulikuwa ni Uganga ilio fail sehemu. Yaliletwa toka huko Arabuni kwa minajiri flani. Yakawashinda waliopewa dhamana ya kuyatunza. Yakatoka.

Wanaume walikuwa hawalali....maeneo mengi watu walipasuliwa mayai. Mwanaume anaamka asubuhi nyuma amepasuliwa yai. Na sharti lilikuwa moja tu. Lazima uwaambie watu. Yaani lazima utangaze. Usipotangaza usiku tena unalo.

Watu walilazimika kulala na mifupa au nyama ya nguruwe. Hali ilikuwa mbaya sana. Nadhani ndio matokeo ya kizazi hiki kuwa na mashoga wengi sana maana wanatokana na Uzao wa Popo Bawa.
 
Kuna baadhi ya watu walikuwa wanatumia mwanya ule wa Popo Bawa kuwatafuna wenzao usiku.

Nishakuta kesi moja jamaa anataka amatafune mwenzie usiku ,,

Anayetaka kutafunwa kashituka ,,

Yule Popo Bawa mtu anamwambiya jamaa tulia Mimi ni popobawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

Popobawa fake alishindwa nguvu akakimbia kusikojulikana.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Mm nilishuhudia mitaa ya mbagala jamaa kapigwa miti na popo bawa watu wanambeba anavuja damu wanampeleka hospiatal akawa anasema inaingia kama ya mtoto ikitoka inaharibu mkund* hatari yaan usiombe upigwe bao na popo bawa linakuwa la moto sana
🤣 Hatari sana.
 
Mm nilishuhudia mitaa ya mbagala jamaa kapigwa miti na popo bawa watu wanambeba anavuja damu wanampeleka hospiatal akawa anasema inaingia kama ya mtoto ikitoka inaharibu mkund* hatari yaan usiombe upigwe bao na popo bawa linakuwa la moto sn
Duh....
 
Mm nilishuhudia mitaa ya mbagala jamaa kapigwa miti na popo bawa watu wanambeba anavuja damu wanampeleka hospiatal akawa anasema inaingia kama ya mtoto ikitoka inaharibu mkund* hatari yaan usiombe upigwe bao na popo bawa linakuwa la moto sn

🤣🤣🤣

Wabongo kwa chai.

Tumejawa na uongo mwingi, story za vijiweni.
 
Back
Top Bottom