Siri ya popobawa Miaka ya 90 na Ushoga miaka yetu hii

Siri ya popobawa Miaka ya 90 na Ushoga miaka yetu hii

uzushi mtupu ati popobawa aliletwa kutoka uarabuni. Uzushi wa popobawa huwa unawaka moto pale panapokuwa na political tension visiwani.

Anza na mwaka 1971 ndipo hilo jini popobawa lilipoanza kutokea katika kisiwa cha Pemba. Hicho ni kipindi cha Karume 1 ambacho njaa ilikuwa nyingi na watu wasiojulikana walifanya kazi ya kupoteza baadhi ya watu hapo. Katika kipindi hichi popobawa wala hakuhusishwa na vijana wa kiume.

Popobawa lilizuka tena enzi za Salimini Amour na hapo lilihamia Zanzibar (hii ni enzi ya kipigo cha wapinzani) lakini bado lilikuwa halijaanza kuhusishwa na ushoga.

Sasa naona limehamia mpaka huku bara na linahusishwa na ushoga.

Uzushi mtupu
sasa lilikuwa likitokea linahusishwa na nini au lilikuwa linafanya matukio gani mpaka liwe maarufu kwa media
 
Mpaka leo files zake zimekuwa classified. Hawataki kusema ukweli hasa nini kilitokea na ikawaje wakayafungulia yale majini yakaanza kuwa yana waingilia wanaume kinyume na maumbile.

Al maarufu Popo Bawa. Ulikuwa ni Uganga ilio fail sehemu. Yaliletwa toka huko Arabuni kwa minajiri flani. Yakawashinda waliopewa dhamana ya kuyatunza. Yakatoka.

Wanaume walikuwa hawalali....maeneo mengi watu walipasuliwa mayai. Mwanaume anaamka asubuhi nyuma amepasuliwa yai. Na sharti lilikuwa moja tu. Lazima uwaambie watu. Yaani lazima utangaze. Usipotangaza usiku tena unalo.

Watu walilazimika kulala na mifupa au nyama ya nguruwe. Hali ilikuwa mbaya sana. Nadhani ndo matokeo ya kizazi hiki kuwa na mashoga wengi sana maana wanatokana na Uzao wa Popo Bawa.
Ni nani aliwaleta hao viumbe? Na nani ameficha hizo files?

Unfortunately mwaka huo nilikua under 5 natamani kuelewa what happened
 
Mpaka leo files zake zimekuwa classified. Hawataki kusema ukweli hasa nini kilitokea na ikawaje wakayafungulia yale majini yakaanza kuwa yana waingilia wanaume kinyume na maumbile.

Al maarufu Popo Bawa. Ulikuwa ni Uganga ilio fail sehemu. Yaliletwa toka huko Arabuni kwa minajiri flani. Yakawashinda waliopewa dhamana ya kuyatunza. Yakatoka.

Wanaume walikuwa hawalali....maeneo mengi watu walipasuliwa mayai. Mwanaume anaamka asubuhi nyuma amepasuliwa yai. Na sharti lilikuwa moja tu. Lazima uwaambie watu. Yaani lazima utangaze. Usipotangaza usiku tena unalo.

Watu walilazimika kulala na mifupa au nyama ya nguruwe. Hali ilikuwa mbaya sana. Nadhani ndo matokeo ya kizazi hiki kuwa na mashoga wengi sana maana wanatokana na Uzao wa Popo Bawa.
Popo bawa alikuwa hatari, breaking news zake tulikuwa tunazipata toka kwenye magazeti yaliyokuwa yanatoka mchana/alasiri; Dar Leo na Alasiri, utasikia tu jana usiku wametembekewa..... watatu Buguruni, Temeke 4, Mbagala 6, Kinondoni 4, Magomeni:7, Tandika 3 nk nk.
 
Popo bawa alikuwa hatari, breaking news zake tulikuwa tunazipata toka kwenye magazeti yaliyokuwa yanatoka mchana/alasiri; Dar Leo na Alasiri, utasikia tu jana usiku watatu Buguruni, Temeke 4, Mbagala 6, Kinondoni 4, Magomeni:7, Tandika 3 nk nk.
Mimi nimekulia Sinza.... Watu waliliwa sinza. Nikaanza kulala na mfupa wa kitimoto japo sikuwa natumia.
 
Nishakuta kesi sehemu Kuna Mzee wa watu miaka kama 60 hivi,,
Ni mgeni amekuja kutembea kwa ndugu,, akalala na vijana chumba kimoja,,
Mzee alipoona nii vijana wa miaka kama 22 akajiamini akalala na msuli..

Mzee asubuhi anashtuka anajikuta msuli upo kichwani halafu ameingiliwa ,,
Na wale vijana hawapo wameshatoka asubuhi Sana,

Mzee akaomba wale vijana waitwe aongee Nao,,vijana hawapokek simu.,.

Kila akiulizwa na wenyeji zake haelezi tatizo analia tu...yeye shida yake wale vijana 2 aliolala nao usiku.,
Mwishowe akaamua kufunguka yaliyomkuta,

Sometimes hawa Popobawa wanakuwa wachonganishi Sana,,
Sasa haikueleweka Mzee alitafunwa na nani? Popo Bawa au Popo nundu..Au wale vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usingizi Gani huo au madawa ,mambo ya akina teleza
 
Sinza, Kijitonyama ,posta waliliwa na Popobawa na Mh. Rais aliondolewa kwa muda Ikulu. Wewe bado mtoto huyajui mengi.
Hivi waliokuwa wakiingiliwa walikuwa wakipata madhara? au ilikuwa anakuja kiroho na anakuingilia kiroho madhara hayakuwa yakionekana kimwili na ndiomaana alikuwa anataka ujiseme kwa watu!.
 
Mimi nimekulia Sinza.... Watu waliliwa sinza. Nikaanza kulala na mfupa wa kitimoto japo sikuwa natumia.
Unadhani ni kwann alikuwa anawatafuna wanaume? Alikuwa na Ajenda gani?
Sisi wengine hakuna tunachojua na hatuwezi kukataa uwepo wake.
japo kwa wanaodai kuwa popo bawa alikuwa mhuni tu na janja janja ya watu waliokuzunguka inamake sense sana kuliko ambayo umejarbu kutueleza .
 
Mimi nilishuhudia mitaa ya mbagala jamaa kapigwa miti na popo bawa watu wanambeba anavuja damu wanampeleka hospiatal akawa anasema inaingia kama ya mtoto ikitoka inaharibu mkund* hatari yaan usiombe upigwe bao na popo bawa linakuwa la moto sana
Unaongea kwa experience ya hali ya juu hadi unajua kwamba ni lamoto sana
 
Mashoga wa enzi hizo kama kina Aunt Muddy wa Magomeni ilikua wakiingiliwa hawasemi makusudi, ili waendelee kupitiwa tena kwa mara ingine
 
sasa lilikuwa likitokea linahusishwa na nini au lilikuwa linafanya matukio gani mpaka liwe maarufu kwa media
Enzi hizo ikisemekana lilikuwa linavamia wanawake, lakini ukiuliza ni nani hasa utaambiwa nyumba ya jirani (hakuna jina) au mtaa mwingine wa mbali kidogo. Ndiyo maana nikasema ni uzushi. Na hakuna aliyewahi kusema ameliona.
 
Back
Top Bottom