othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Story za popo bawa zilikuwa ni fiction tu[emoji3061]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi stori za popobawa si ilikuwa miaka ya 90 katikati huko!Mzee akaomba wale vijana waitwe aongee Nao,,vijana hawapokek simu.,.
sasa lilikuwa likitokea linahusishwa na nini au lilikuwa linafanya matukio gani mpaka liwe maarufu kwa mediauzushi mtupu ati popobawa aliletwa kutoka uarabuni. Uzushi wa popobawa huwa unawaka moto pale panapokuwa na political tension visiwani.
Anza na mwaka 1971 ndipo hilo jini popobawa lilipoanza kutokea katika kisiwa cha Pemba. Hicho ni kipindi cha Karume 1 ambacho njaa ilikuwa nyingi na watu wasiojulikana walifanya kazi ya kupoteza baadhi ya watu hapo. Katika kipindi hichi popobawa wala hakuhusishwa na vijana wa kiume.
Popobawa lilizuka tena enzi za Salimini Amour na hapo lilihamia Zanzibar (hii ni enzi ya kipigo cha wapinzani) lakini bado lilikuwa halijaanza kuhusishwa na ushoga.
Sasa naona limehamia mpaka huku bara na linahusishwa na ushoga.
Uzushi mtupu
Ni nani aliwaleta hao viumbe? Na nani ameficha hizo files?Mpaka leo files zake zimekuwa classified. Hawataki kusema ukweli hasa nini kilitokea na ikawaje wakayafungulia yale majini yakaanza kuwa yana waingilia wanaume kinyume na maumbile.
Al maarufu Popo Bawa. Ulikuwa ni Uganga ilio fail sehemu. Yaliletwa toka huko Arabuni kwa minajiri flani. Yakawashinda waliopewa dhamana ya kuyatunza. Yakatoka.
Wanaume walikuwa hawalali....maeneo mengi watu walipasuliwa mayai. Mwanaume anaamka asubuhi nyuma amepasuliwa yai. Na sharti lilikuwa moja tu. Lazima uwaambie watu. Yaani lazima utangaze. Usipotangaza usiku tena unalo.
Watu walilazimika kulala na mifupa au nyama ya nguruwe. Hali ilikuwa mbaya sana. Nadhani ndo matokeo ya kizazi hiki kuwa na mashoga wengi sana maana wanatokana na Uzao wa Popo Bawa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]uzuri wa popo bawa utamsikia mwisho mbagara kushuka kusini. sijawai kusikia yupo posta wala sinza
Popo bawa alikuwa hatari, breaking news zake tulikuwa tunazipata toka kwenye magazeti yaliyokuwa yanatoka mchana/alasiri; Dar Leo na Alasiri, utasikia tu jana usiku wametembekewa..... watatu Buguruni, Temeke 4, Mbagala 6, Kinondoni 4, Magomeni:7, Tandika 3 nk nk.Mpaka leo files zake zimekuwa classified. Hawataki kusema ukweli hasa nini kilitokea na ikawaje wakayafungulia yale majini yakaanza kuwa yana waingilia wanaume kinyume na maumbile.
Al maarufu Popo Bawa. Ulikuwa ni Uganga ilio fail sehemu. Yaliletwa toka huko Arabuni kwa minajiri flani. Yakawashinda waliopewa dhamana ya kuyatunza. Yakatoka.
Wanaume walikuwa hawalali....maeneo mengi watu walipasuliwa mayai. Mwanaume anaamka asubuhi nyuma amepasuliwa yai. Na sharti lilikuwa moja tu. Lazima uwaambie watu. Yaani lazima utangaze. Usipotangaza usiku tena unalo.
Watu walilazimika kulala na mifupa au nyama ya nguruwe. Hali ilikuwa mbaya sana. Nadhani ndo matokeo ya kizazi hiki kuwa na mashoga wengi sana maana wanatokana na Uzao wa Popo Bawa.
Sinza, Kijitonyama ,posta waliliwa na Popobawa na Mh. Rais aliondolewa kwa muda Ikulu. Wewe bado mtoto huyajui mengi.uzuri wa popo bawa utamsikia mwisho mbagara kushuka kusini. sijawai kusikia yupo posta wala sinza
Mimi nimekulia Sinza.... Watu waliliwa sinza. Nikaanza kulala na mfupa wa kitimoto japo sikuwa natumia.Popo bawa alikuwa hatari, breaking news zake tulikuwa tunazipata toka kwenye magazeti yaliyokuwa yanatoka mchana/alasiri; Dar Leo na Alasiri, utasikia tu jana usiku watatu Buguruni, Temeke 4, Mbagala 6, Kinondoni 4, Magomeni:7, Tandika 3 nk nk.
Ilikuwa noma, kipindi hicho nipo Mtoni kwa Aziz Ally....ni noma watu tukaa nje mpaka alfajiri.Mimi nimekulia Sinza.... Watu waliliwa sinza. Nikaanza kulala na mfupa wa kitimoto japo sikuwa natumia.
Labda umesahau,
Visanga vya PopoBawa vilivuma zaidi Zanzibar nadhan, huku Bara ilikua sio sana.
Usingizi Gani huo au madawa ,mambo ya akina telezaNishakuta kesi sehemu Kuna Mzee wa watu miaka kama 60 hivi,,
Ni mgeni amekuja kutembea kwa ndugu,, akalala na vijana chumba kimoja,,
Mzee alipoona nii vijana wa miaka kama 22 akajiamini akalala na msuli..
Mzee asubuhi anashtuka anajikuta msuli upo kichwani halafu ameingiliwa ,,
Na wale vijana hawapo wameshatoka asubuhi Sana,
Mzee akaomba wale vijana waitwe aongee Nao,,vijana hawapokek simu.,.
Kila akiulizwa na wenyeji zake haelezi tatizo analia tu...yeye shida yake wale vijana 2 aliolala nao usiku.,
Mwishowe akaamua kufunguka yaliyomkuta,
Sometimes hawa Popobawa wanakuwa wachonganishi Sana,,
Sasa haikueleweka Mzee alitafunwa na nani? Popo Bawa au Popo nundu..Au wale vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kanda ya ziwa kunatelezaHiyo ilikuwa ni michezo ya wanga wa pwani tu hao popo bawa mbona hatujawahi kusikia wameenda kanda ya ziwa
Hivi waliokuwa wakiingiliwa walikuwa wakipata madhara? au ilikuwa anakuja kiroho na anakuingilia kiroho madhara hayakuwa yakionekana kimwili na ndiomaana alikuwa anataka ujiseme kwa watu!.Sinza, Kijitonyama ,posta waliliwa na Popobawa na Mh. Rais aliondolewa kwa muda Ikulu. Wewe bado mtoto huyajui mengi.
Unadhani ni kwann alikuwa anawatafuna wanaume? Alikuwa na Ajenda gani?Mimi nimekulia Sinza.... Watu waliliwa sinza. Nikaanza kulala na mfupa wa kitimoto japo sikuwa natumia.
Unaongea kwa experience ya hali ya juu hadi unajua kwamba ni lamoto sanaMimi nilishuhudia mitaa ya mbagala jamaa kapigwa miti na popo bawa watu wanambeba anavuja damu wanampeleka hospiatal akawa anasema inaingia kama ya mtoto ikitoka inaharibu mkund* hatari yaan usiombe upigwe bao na popo bawa linakuwa la moto sana
Huyo alikuwepo chuga tu mkuuKanda ya ziwa kunateleza
Enzi hizo ikisemekana lilikuwa linavamia wanawake, lakini ukiuliza ni nani hasa utaambiwa nyumba ya jirani (hakuna jina) au mtaa mwingine wa mbali kidogo. Ndiyo maana nikasema ni uzushi. Na hakuna aliyewahi kusema ameliona.sasa lilikuwa likitokea linahusishwa na nini au lilikuwa linafanya matukio gani mpaka liwe maarufu kwa media