Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza Kuta hao uliowaona wakitumia juhudi hawakufanikiwa pengine walitumia juhudi pekeake wakasahau nidhamu na maarifaUtajiri tena? Tajiri yupi unamjua alianza na hii mitaji ya nyanya akatoboa? yupo(wapo) taja.
Hakuna kanuni iko true kwa kila mtu au katika kila context.Najua lengo ni kukumbushana lakini hizi sababu zako haziko true in every context.
Nimezaliwa nakuona watu wakitia juhudi bado unaona mambo yanagoma,nimeona pia watu wakiweka juhudi kidogo lakini mafanikio debe(maana yangu ni kwamba maisha yetu hapa duniani ni ubatili mtupu)
Kikubwa tu kuomba Mungu(kwa wanao amini) na kuishi tu hii ndio siri ya utajiri
Naunga mkono hoja kabisaKubeti kunapunguza uwezo na nguvu ya kufikiri.
pesa zipi na hauna hata ajira wala biasharaSiri kubwa ya mafanikio katika maisha ni:
1. Kuwa na nidhamu na pesa,
labda marafiki wa kukupa pesa-hii ndo iwe namba 22. Kuwa na marafiki wa kukujenga,
iwe namba moja ya 13. Kumuomba Mungu huku ukifanya kazi kwa bidii,
4. Tumia muda wako kufanya kazi; Kama ni biashara hakikisha unatumia muda wako katika biashara hiyo
hizo ni siri kwa mwenye channel za kupata pesaNaomba tumalizie hapa hasa sisi vijana:
Kusema kwamba matajiri walianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, ukweli ni kwamba wapambanaji hawakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, wengine walianza na elfu 30 pekee na wengine hata mtaji wa sifuri (0).
Wewe hutaki huo utajiri?
Jamani 😃😃😃,, ilimradi kuwakera tu walimu 😂😂Yeye ni mwalimu na ametusua maisha
Utajiri tena? Tajiri yupi unamjua alianza na hii mitaji ya nyanya akatoboa? yupo(wapo) taja.
Hakuna kanuni iko true kwa kila mtu au katika kila context.Najua lengo ni kukumbushana lakini hizi sababu zako haziko true in every context.
Nimezaliwa nakuona watu wakitia juhudi bado unaona mambo yanagoma,nimeona pia watu wakiweka juhudi kidogo lakini mafanikio debe(maana yangu ni kwamba maisha yetu hapa duniani ni ubatili mtupu)
Kikubwa tu kuomba Mungu(kwa wanao amini) na kuishi tu hii ndio siri y
Inawezekana lakini nani anajibu kwamba maarifa na nidhamu walikosa.Hii dunia ina mengi yasiyoelezeka kuwa tajiri au kuwa masikini sio shida kwa maana kama kuna tajiri basi kuna masikini.Unaweza Kuta hao uliowaona wakitumia juhudi hawakufanikiwa pengine walitumia juhudi pekeake wakasahau nidhamu na maarifa
Miye mwenyewe mwalimu,aahahaJamani 😃😃😃,, ilimradi kuwakera tu walimu 😂😂
Utajiri ni hali ya kuwa na mali nyingi au rasilimali ambazo zinaweza kumruhusu mtu au kikundi cha watu kuishi maisha yenye ustawi na fursa nyingi. Utajiri unaweza kujumuisha mali kama vile pesa, ardhi, majengo, hisa, biashara, magari, na vitu vingine vyenye thamani.Utajiri ni nini ?
Kwa tafsiri yako na muktadha wa huu uzi ?
Sawasawa 😃
Hiko vizuri tafsiri yako lakini mali ili ziwe nyingi zinahitajika kiasi gani ili tujue labda kila mtu ni tajiri(What I mean here,these things of poverty and wealth are complicated concepts) kikubwa tuishi na kumbuka,death favors no manUtajiri ni hali ya kuwa na mali nyingi au rasilimali ambazo zinaweza kumruhusu mtu au kikundi cha watu kuishi maisha yenye ustawi na fursa nyingi. Utajiri unaweza kujumuisha mali kama vile pesa, ardhi, majengo, hisa, biashara, magari, na vitu vingine vyenye thamani.
Kwahio pesa sio necessarily yaani unaweza usiwe na pesa nyingi ila ni tajiri;Utajiri ni hali ya kuwa na mali nyingi au rasilimali ambazo zinaweza kumruhusu mtu au kikundi cha watu kuishi maisha yenye ustawi na fursa nyingi.
Kwa dunia ya sasa kupata hivyo unahitaji connection; (unaweza ukazaliwa na surname fulani ukawa sorted maisha yako yote - au ukaoa the right family; au una good salesmanship skills (rubbing people the right way) au kama una kitu ambacho watu wanakitaka vyote hivyo vinaweza vikakufuata kama sumaku na vumbi la chuma...Utajiri unaweza kujumuisha mali kama vile pesa, ardhi, majengo, hisa, biashara, magari, na vitu vingine vyenye thamani.
Asee ndio mana nafanya kazi Kwa mawazo sana Kila mda namuwaza mamilo wangu huko alikoukioa mke ana tako kubwa hutakosa stress, kila mwanaume atataka kuona mpiko
Ngoja tu nikuitie kinafki.Kumwomba Mungu ndio uchawi wenyewe boss