Hili swali ligeuze kwa daimond....sijui kama utakua na majibuMange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada
Nasikia ni mbezi beach ila sina hakika maana mtu aliyenambia anatokea media nyingine.Naomba kufahamishwa ilipo makao mapya ya EFM aliyopost majizzo
Huyo jamaa anayetokea media nyingine yupo media gani.? Plz nambie mana kuna connection flani hv natafuta labda anaweza kunisaidiaNasikia ni mbezi beach ila sina hakika maana mtu aliyenambia anatokea media nyingine.
Nmekutumia ujumbe PMNasikia ni mbezi beach ila sina hakika maana mtu aliyenambia anatokea media nyingine.
Acha tu mdau lile jengo ni konki fire aisee imemchukua miaka sita tu kujenga lile jengo wakati clouds walitumia zaidi ya miaka kumi kuwa na mjengo wao.....Siri anaijua yeye mwenyewe ila ofisi mpya ni nzuri sana inakupa molari ya kushinda ofisini tu.
Naweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?Acha tu mdau lile jengo ni konki fire aisee imemchukua miaka sita tu kujenga lile jengo wakati clouds walitumia zaidi ya miaka kumi kuwa na mjengo wao.....
Aiseee nimepoteza simu mdau ningekupa namba ya musa kipanya yule wa kipindi cha joto la asubuhi ni best yangu sana huyu halafu mbaya zaidi nipo nje ya mji......kurudi dar ni majaliwaNaweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?
Daah sina bahati mm jamanAiseee nimepoteza simu mdau ningekupa namba ya musa kipanya yule wa kipindi cha joto la asubuhi ni best yangu sana huyu halafu mbaya zaidi nipo nje ya mji......kurudi dar ni majaliwa
Daah sina bahati mm jaman
Mkuu uko wapi wewe, ni vema ukaenda media husika ili upate mawasiliano ya wahusika. Wenyewe huwa hawataki tugawe namba zao.Naweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?
Nenda Insta uwacheki private.Daah sina bahati mm jaman
Mzee baba unauliza maswali mob kama mende wa makumbusho pale...Naweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?
Ndiyo mana povu jingi limekutoka kwa sababu ya buludani etiHivi ni lazima mtu kuweka wazi siri ya mafanikio yake?
Huyo Mange aliripoti kituo gani cha polisi? Vijana huwa wanajidai wana uchungu na maendeleo na wanapenda maendeleo lakini kijana mwenzao akiendelea basi watampiga vita hadi....huyo Mange huwa ana ugomvi na kila aliyefanikiwa...
Kwanini vijana wote msiungane na nyinyi mfanye hizo biashara ili mfanikiwe kama majizzo kama mnafikiri ni rahisi kiasi hicho?
Mimi ninachofurahi kutoka kwa Majjizo ni kutupa burudani na kutuhabarisha na pia kuleta ushindani.
Umemaliza kila kitu mkuujambo ambalo watu hawalijui ni kwamba majizo ametokea kwenye familia ya kishua baba yao alikua anajiweza na hata ukiangalia familia yao wako vizur na hii investment ya EFM ukiangalia wamiliki wake karibia wote ni ndugu,watu wamesahau kuwa wakina majizo ndo walikua wakimiliki ile club maarufu kule masaki ya maisha club,ndugu yke anayemfuata ndo alikua akiisimamia akishirikiana na mama mmoja nimemsahau jina kwahiyo ukwasi wake wa pesa sio wa u dj ni familia iko vizur
Na mazingira ya kufanya kazi ni muhimu sana katika kuleta ufanisi. Baada ya college nilifanya kazi ofisi moja hv ambayo ingawa ilikuwa haihusiki na mambo ya ufundi lakini ilikuwa ukifika pale unaweza kusema ni workshopSiri anaijua yeye mwenyewe ila ofisi mpya ni nzuri sana inakupa molari ya kushinda ofisini tu.