Siri ya utajiri wa Majizzo

Siri ya utajiri wa Majizzo

jambo ambalo watu hawalijui ni kwamba majizo ametokea kwenye familia ya kishua baba yao alikua anajiweza na hata ukiangalia familia yao wako vizur na hii investment ya EFM ukiangalia wamiliki wake karibia wote ni ndugu,watu wamesahau kuwa wakina majizo ndo walikua wakimiliki ile club maarufu kule masaki ya maisha club,ndugu yke anayemfuata ndo alikua akiisimamia akishirikiana na mama mmoja nimemsahau jina kwahiyo ukwasi wake wa pesa sio wa u dj ni familia iko vizur
 
Mange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada
Hili swali ligeuze kwa daimond....sijui kama utakua na majibu
 
Naomba kufahamishwa ilipo makao mapya ya EFM aliyopost majizzo
 
Nasikia ni mbezi beach ila sina hakika maana mtu aliyenambia anatokea media nyingine.
Huyo jamaa anayetokea media nyingine yupo media gani.? Plz nambie mana kuna connection flani hv natafuta labda anaweza kunisaidia
 
Siri anaijua yeye mwenyewe ila ofisi mpya ni nzuri sana inakupa molari ya kushinda ofisini tu.
 
Siri anaijua yeye mwenyewe ila ofisi mpya ni nzuri sana inakupa molari ya kushinda ofisini tu.
Acha tu mdau lile jengo ni konki fire aisee imemchukua miaka sita tu kujenga lile jengo wakati clouds walitumia zaidi ya miaka kumi kuwa na mjengo wao.....
 
Acha tu mdau lile jengo ni konki fire aisee imemchukua miaka sita tu kujenga lile jengo wakati clouds walitumia zaidi ya miaka kumi kuwa na mjengo wao.....
Naweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?
 
Naweza kupata connection ya mtu wa pale EFM.?
Aiseee nimepoteza simu mdau ningekupa namba ya musa kipanya yule wa kipindi cha joto la asubuhi ni best yangu sana huyu halafu mbaya zaidi nipo nje ya mji......kurudi dar ni majaliwa
 
Aiseee nimepoteza simu mdau ningekupa namba ya musa kipanya yule wa kipindi cha joto la asubuhi ni best yangu sana huyu halafu mbaya zaidi nipo nje ya mji......kurudi dar ni majaliwa
Daah sina bahati mm jaman
 
Kwamba ndo alikuwa anawauzia ngada wakina Chid, Ngwair na wengine, vipi Siri ya utajiri wake ni Nini kwani?
 
Hivi ni lazima mtu kuweka wazi siri ya mafanikio yake?
Huyo Mange aliripoti kituo gani cha polisi? Vijana huwa wanajidai wana uchungu na maendeleo na wanapenda maendeleo lakini kijana mwenzao akiendelea basi watampiga vita hadi....huyo Mange huwa ana ugomvi na kila aliyefanikiwa...
Kwanini vijana wote msiungane na nyinyi mfanye hizo biashara ili mfanikiwe kama majizzo kama mnafikiri ni rahisi kiasi hicho?

Mimi ninachofurahi kutoka kwa Majjizo ni kutupa burudani na kutuhabarisha na pia kuleta ushindani.
Ndiyo mana povu jingi limekutoka kwa sababu ya buludani eti
 
Ndo maana sitaki kuweka utajiri wangu wazi msije wana-JF mkaanza stori zenu kwamba ni utajiri wa freemason.
 
jambo ambalo watu hawalijui ni kwamba majizo ametokea kwenye familia ya kishua baba yao alikua anajiweza na hata ukiangalia familia yao wako vizur na hii investment ya EFM ukiangalia wamiliki wake karibia wote ni ndugu,watu wamesahau kuwa wakina majizo ndo walikua wakimiliki ile club maarufu kule masaki ya maisha club,ndugu yke anayemfuata ndo alikua akiisimamia akishirikiana na mama mmoja nimemsahau jina kwahiyo ukwasi wake wa pesa sio wa u dj ni familia iko vizur
Umemaliza kila kitu mkuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Siri anaijua yeye mwenyewe ila ofisi mpya ni nzuri sana inakupa molari ya kushinda ofisini tu.
Na mazingira ya kufanya kazi ni muhimu sana katika kuleta ufanisi. Baada ya college nilifanya kazi ofisi moja hv ambayo ingawa ilikuwa haihusiki na mambo ya ufundi lakini ilikuwa ukifika pale unaweza kusema ni workshop
 
Back
Top Bottom