Mnajua redio inazalisha kiasi gani wakuu?is all about strategies aiseeeMange anamwekaga ktk ile list yake,hata mm naamini ,maana jamaa anachokifanya ni kama kutakatisha fedha,amekuja na radio haina hata miaka mitano na haina hata coverage nusu ya tz nzima analeta TV,bora hata redio tungeona imejiimarisha na matangszo ya kutosha,redio yenyewe matangazo ya kuokoteza,hii faida gani ndani ya muda mfupi imefanya azalishe TV?? Huyu naanza kuamini maneno ya Mange,kuuza ngada
IkuluMtoa mada ofisi yako inaitwaje?
Utakua na efm radio yako mkuu sio hii tunayosikiliza sisiAcha uongo,wana tangazo moja tu la Lake oil ndio linasikika mara kwa mara. Haya matangazo ya Tigo,Voda,Airtel yanasikika mara chache sana na zaidi ya hapo hawana tangazo kutoka kampuni nyingine.
Utakua na efm radio yako mkuu sio hii tunayosikiliza sisi
Hcho kitu cha ziada ni lazima kiwe ngada?wht if is loan o family business?kwakweli hata Mimi kwa hii hoja nakubaliana na Mange.
huyu jamaa kuna kitu cha ziada.
Ila Radio station na TV ni mahala pa kusafishia hela.
U have a point but u r being so rude mkuuKama unayo evidence ya wrong doing then you have the right to question lakini kama huna kinachokusumbua ni majungu na roho ya umaskini. KWamba kwanini mimi sina wao wanacho. F.u.c.k Dude change that stupid mindset sababu ni ya kilofa. You don't need 10 years to be a millionaire even five years is enough to hit a 1 million dollar mark..Kwa hiyo jaribu kuhangaika na maisha yako unless kama unao ushahidi kwamba anafanya kitu ambacho siyo lakini kama huna just shut up anfd focus on looking for money to feed your family. Mnalia lia hali ngumu wakati badala kuzidirect akiliu katika utafutaji wa pesa mnazi direct katika utafutaji wa majungu..
Best comment of my dayNafikiri kuna mengi ya kujifunza kwake kama kijana aliyefanikiwa kuliko hizi story za kijinga
Majee.. Majii... Majiizo.. DJ Majiizo wale wakongwe wenzangu watakubaliana na mm enzi hizo Magic FM jamaa alikua anakimbiza balaa na scratch zake za hatari... Miaka mingi imepita I think less than ten years nakuja kusikia mchizi ana miliki kituo cha radio kutahamaki kituo cha Televisheni hiki hapa...sitaki ku sound kama mchawi hapa ila ni vizuri umma tukajua source ya utajiri huu je ni personal equity ama ni debt from financial institution... Mara kwa mara Mange Kimambi kupitia kwenye page yake ya Instagram amekua akimtuhumu Majizzo na biashara flani flani hivi.
It is high time Majizzo to come out and inform the public source of his wealth...
Hehehehe dahSiri za utajiri wa matari, wanazo masikini, lakini hawatajiriki
I did agree mkuu,clouds kapoteza matangazo kibao kiss efm we unasema nnE FM 83.7 fm.
I did agree mkuu,clouds kapoteza matangazo kibao kiss efm we unasema nn
Ni sawa tu na wanaosema mshana jr ni Freemasonry nawachukia hakika, ni mabwege na hawana akiliKama siri ya mafanikio yake ni kuuza unga basi na wewe uza nachukizwa sana na binadamu wa roho za aina ya kina Mange yaani usifanikiwe utasikia unauza unga.
Na TBC ya kwetu raia ila wapambe sijui ni akina nani?E-FM ni ya mama Sweya mmiliki wa maisha club... Majizzo wapambe tu... Kama clouds mpambe rugemalira ila mmiliki joe kusaga (kusaga family)