Siri ya utajiri wa Majizzo

Akiuza ngada ww unawashwa nn kwa mfano
 
Aisee yaani watu wanapasuka vichwa kabisa kwa kipato cha mtu.....
Duh!
 
*HAYA TENA KWA MARA NYINGINE TENA BAHATI HAIJI MARA MBILI* *JE, WAJUA BANDO NA SIMU YAKO NI MTAJI TOSHA?*Kama huna ajira na unataka kuongeza kipato chako *Furusa hiyo fungua link hii http://jamiiforums.com/?refcode=102945
ujipatie pesa haraka sana kuliko kupoteza bando bila faida yoyote jaribu sasa uwaambie na members wengine watumie furusa hii*
 
Tafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!

Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubauliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
Kwani Ni Uongo! vijana wetu wana puputika kisa wapuuzi wachache wenye tamaa ya ukwasi
 
Ungeanza kuja wwe utueleze asili ya umasikini wako ni nini na kwann wwe ni masikini ukishaeleza ndio atakuja yeye.
 
Acha kamba we jamaa! kufungua simple station ya radio haizidi mil 60
 
Hakuna mkuu, wenye kuyajua wamo humuhumu katika huu uzi.
Haaaaaaa Maana Umeunganisha Huyo Mama na Mr. Nice,Mara Huyo Mama ndio Mmiliki wa Maisha,E-Fm/Etv,mara Majizo ndio Boss wa Maisha/Efm/TV,Kuna uzi Humo Umu ukisema Huyo Mama alikuwa ana affairs na Mr. Nice ,Kisha Akaenda Kwa Majizo 4 Shizo.
 
Mil 60 unaweza kufungukwa radio za mjini tu za mikoani ila hizi za local kwa hela hiyo na zaid sawa
 
Hata Mbowe alikuwa DJ lakini now ni tajiri mkubwa
 
Si nilipata kusikia kuwa izo pesa aliwahi kuhongwa na bebi mama wake wa kizungu enzi hizo wkt anafanyia billicanas
 
Kama unamtaji wa kuwekeza kwa nn usubiri faida ya redio, ww hata barabara waliendelea huwa njia nne SIO LAZIMA uende then urudi NA ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…