mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,186
Kwa hiyo unataka akwambie alichokuwa anakifanya nje ya U-Dj?!Kutoka kuwa Dj,hadi kuwa mmiliki wa media. Kuna kitu cha ziada alikuwa anakifanya wakati wa U dj kinyume na hapo maswali magumu yanamuhusu.
We unatuambiaga unachokifanya nje ya Jamii Forum?!
Hapo hakuna Maswali magumu wala Maswali mepesi bali kuna Maswali ya kimbea na kinafiki kisa jamaa anapiga bao