Tetesi: Siri yafichuka juu ya kukamatwa kwa Tundu Lissu

Tetesi: Siri yafichuka juu ya kukamatwa kwa Tundu Lissu

kilaza mjanja

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2016
Posts
654
Reaction score
1,144
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha muswada unapitishwa pasipokuwa na upinzani uliopitiliza.

Moja ya watu waliokuwa wakiogopwa na serikali hii ni Tundu lissu kuwa yeye ni mbobezi kwenye maswala ya kisheria na kuwa kwa namna yoyote ile asingeweza kukubali muswada huu kuweza kupita kirahisi kwa kujenga hoja zenye kuumbua muswada husika.

kikao hicho kilichoongozwa na balozi kijazi kililenga kuongeza nguvu ya kuudhoofisha nguvu za upande wowote ule utakao kinzana serikali juu ya mswada huu.

kupitia hapo ndipo akaagizwa mwanasheria wa serikali kuwa anahakikisha kesi ya lissu na zuio la kutokutoka nje ya dar es salaam analiwasilisha mahakama ya kisutu ili kufanikisha mpango huo pia ikumbukwe kuwa kabla ya bunge lissu alikuwa mkoani mara kwa shuguli za kisheria na hakuna katazo wala wito uliotolewa kipindi hicho kwani walijua wakimuita kipindi hicho mpaka bunge lianze kujadili hoja hiyo yawezekana akawa amepatiwa dhamana na kumfanya kuomba kibali cha kwenda kushugulika na shuguli hio.

katika kikao hicho pia, wabunge wote wa ccm wenye mlengo wa kutaka kukwamishwa mswada huo wamepewa taharifa ya kujiweka kando ama kutoshiriki kukwamisha swala hilo.

Kwa mapenzi mema ya Taifa langu nimeamua kuwasilisha swala hili pasipo kuhofia maisha yangu kwani na mimi ni mjumbe wa kikao tulichokifanya jana.

ni mimi
kilaza mjanja wa magogoni
 
Acha unafiki...hivi kwa akili ndogo tu LISSU alitambua kabisa ana kesi SIKU HUSIKA kwanini hakuuzulia bila taarifa????MAANA KAMA KUNGEKUWA NA UDHURU AMEISHA UTOA hiyo hati ya yeye kukamatwa isinge tolewa na kama ingetolewa tungeona huo ni MPANGO maalumu wa kumuonea LISSU.....sasa hapa ni TUKIO LISSU MWENYEWE AU CHAMA wameamua kulitengeneza ili hatua zikichukuliwa IONEKANE AMEONEWA....haya ni matukio ya kutengeneza tu ili HATUA SITAHIKI ZINAPOCHUKULIWA IONEKANE WAMEONEWA maana hawa wenzetu kwa sasa wanaishi kwa MATUKIO mara oooh WABUNGE wamepewa MILIONI 10 wapitishe muswaada SASA TUNAMUOMBA MBOWE ATOKE ADHARANI AITISHE PRESS Na awaonyeshe uo USHAIDI NA AKISHATOKA HAPO NI KWENDA MAHAKAMANI maana ushaidi anao ya hao wabunge kupokea RUSHWA....aache porojo za AJABU mumuambie HATUJASAHAU unafiki wake JUU YA LOWASSA HIVYO wanaanchi tuliuowengi HUJAWAI KUMWAMINI ANACHOKISIMAMIA NA KUSEMA
 
Utungaji mwingine bhana, eti mjanja wa Ikulu, huyo jamaa yenu anatega kuhudhuria kesi zake amepigwa pin
 
Sasa kama anajijua kuwa ni potential kiasi hicho kwa nini alitoa mwanya wa kukamatwa kwa kukiuka masharti ya dhamana? Hapo hakuna cha hujuma, amekiuka mashart ya dhamani mahakama ime play part yake. Nitaiamini taarifa hii iwapo tu itathibitika kuwa kutokuwepo kwake mahakamani kulitolewa taarifa mapema.
 
Dikteta uchwara: Lissu akamatwe gawa rushwa Wabunge wote wa CCM kila mbunge ten million.
Kazi kwisha! Muswada wa dikteta uchwara umepita na mashetani wanashuka rasmi nchini kufunga mitandao yote na kuminya uhuru wa habari kwa nguvu zote kwa kutumia rungu la dikteta uchwara.
 
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha muswada unapitishwa pasipokuwa na upinzani uliopitiliza.

Moja ya watu waliokuwa wakiogopwa na serikali hii ni Tundu lissu kuwa yeye ni mbobezi kwenye maswala ya kisheria na kuwa kwa namna yoyote ile asingeweza kukubali muswada huu kuweza kupita kirahisi kwa kujenga hoja zenye kuumbua muswada husika.

kikao hicho kilichoongozwa na balozi kijazi kililenga kuongeza nguvu ya kuudhoofisha nguvu za upande wowote ule utakao kinzana serikali juu ya mswada huu.

kupitia hapo ndipo akaagizwa mwanasheria wa serikali kuwa anahakikisha kesi ya lissu na zuio la kutokutoka nje ya dar es salaam analiwasilisha mahakama ya kisutu ili kufanikisha mpango huo pia ikumbukwe kuwa kabla ya bunge lissu alikuwa mkoani mara kwa shuguli za kisheria na hakuna katazo wala wito uliotolewa kipindi hicho kwani walijua wakimuita kipindi hicho mpaka bunge lianze kujadili hoja hiyo yawezekana akawa amepatiwa dhamana na kumfanya kuomba kibali cha kwenda kushugulika na shuguli hio.

katika kikao hicho pia, wabunge wote wa ccm wenye mlengo wa kutaka kukwamishwa mswada huo wamepewa taharifa ya kujiweka kando ama kutoshiriki kukwamisha swala hilo.

Kwa mapenzi mema ya Taifa langu nimeamua kuwasilisha swala hili pasipo kuhofia maisha yangu kwani na mimi ni mjumbe wa kikao tulichokifanya jana.

ni mimi
****** mjanja wa magogoni
Watu wa kitengo mnataka tuingie kichwa kichwa kama kwenye makontena ya kura toka Zambia?Nimestuka na millioni saba sina.
 
watajua wenyew..wawe wanakumbuka tu kuomba toba kwa aliyewaumba
 
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha muswada unapitishwa pasipokuwa na upinzani uliopitiliza.

Moja ya watu waliokuwa wakiogopwa na serikali hii ni Tundu lissu kuwa yeye ni mbobezi kwenye maswala ya kisheria na kuwa kwa namna yoyote ile asingeweza kukubali muswada huu kuweza kupita kirahisi kwa kujenga hoja zenye kuumbua muswada husika.

kikao hicho kilichoongozwa na balozi kijazi kililenga kuongeza nguvu ya kuudhoofisha nguvu za upande wowote ule utakao kinzana serikali juu ya mswada huu.

kupitia hapo ndipo akaagizwa mwanasheria wa serikali kuwa anahakikisha kesi ya lissu na zuio la kutokutoka nje ya dar es salaam analiwasilisha mahakama ya kisutu ili kufanikisha mpango huo pia ikumbukwe kuwa kabla ya bunge lissu alikuwa mkoani mara kwa shuguli za kisheria na hakuna katazo wala wito uliotolewa kipindi hicho kwani walijua wakimuita kipindi hicho mpaka bunge lianze kujadili hoja hiyo yawezekana akawa amepatiwa dhamana na kumfanya kuomba kibali cha kwenda kushugulika na shuguli hio.

katika kikao hicho pia, wabunge wote wa ccm wenye mlengo wa kutaka kukwamishwa mswada huo wamepewa taharifa ya kujiweka kando ama kutoshiriki kukwamisha swala hilo.

Kwa mapenzi mema ya Taifa langu nimeamua kuwasilisha swala hili pasipo kuhofia maisha yangu kwani na mimi ni mjumbe wa kikao tulichokifanya jana.

ni mimi
****** mjanja wa magogoni
Spin masters at work uwongo mtupu CCM bungeni wengi kuliko upinzani kura bungeni hupigwa kivyama zaidi kama ulivyo uchaguzi wa meya dar es salaam.Tundu lissu na wapambe wenu acheni kujishebedua Hamna lolote muwepo msiwepo hampunguzi chochote kwendeni huko mkawadanganye wazungu wenu mliozoea kuwatapeli
 
Back
Top Bottom