Tetesi: Siri yafichuka juu ya kukamatwa kwa Tundu Lissu

Tetesi: Siri yafichuka juu ya kukamatwa kwa Tundu Lissu

Acha unafiki...hivi kwa akili ndogo tu LISSU alitambua kabisa ana kesi SIKU HUSIKA kwanini hakuuzulia bila taarifa????MAANA KAMA KUNGEKUWA NA UDHURU AMEISHA UTOA hiyo hati ya yeye kukamatwa isinge tolewa na kama ingetolewa tungeona huo ni MPANGO maalumu wa kumuonea LISSU.....sasa hapa ni TUKIO LISSU MWENYEWE AU CHAMA wameamua kulitengeneza ili hatua zikichukuliwa IONEKANE AMEONEWA....haya ni matukio ya kutengeneza tu ili HATUA SITAHIKI ZINAPOCHUKULIWA IONEKANE WAMEONEWA maana hawa wenzetu kwa sasa wanaishi kwa MATUKIO mara oooh WABUNGE wamepewa MILIONI 10 wapitishe muswaada SASA TUNAMUOMBA MBOWE ATOKE ADHARANI AITISHE PRESS Na awaonyeshe uo USHAIDI NA AKISHATOKA HAPO NI KWENDA MAHAKAMANI maana ushaidi anao ya hao wabunge kupokea RUSHWA....aache porojo za AJABU mumuambie HATUJASAHAU unafiki wake JUU YA LOWASSA HIVYO wanaanchi tuliuowengi HUJAWAI KUMWAMINI ANACHOKISIMAMIA NA KUSEMA
lisu hakuwepo mahakamani kwa sabab alikuwa kwenye kesi nyingine mahali pengine, sasa angewezaje kuhudhuria kesi mbili siku moja mahakama tofauti? hizo ni hila tu,hilo liko wazi hatakama zitatengenezwa hoja za uongo kuhallisha hila hizo ipo siku wahusika wataangukia pua tu
 
Nini
Acha unafiki...hivi kwa akili ndogo tu LISSU alitambua kabisa ana kesi SIKU HUSIKA kwanini hakuuzulia bila taarifa????MAANA KAMA KUNGEKUWA NA UDHURU AMEISHA UTOA hiyo hati ya yeye kukamatwa isinge tolewa na kama ingetolewa tungeona huo ni MPANGO maalumu wa kumuonea LISSU.....sasa hapa ni TUKIO LISSU MWENYEWE AU CHAMA wameamua kulitengeneza ili hatua zikichukuliwa IONEKANE AMEONEWA....haya ni matukio ya kutengeneza tu ili HATUA SITAHIKI ZINAPOCHUKULIWA IONEKANE WAMEONEWA maana hawa wenzetu kwa sasa wanaishi kwa MATUKIO mara oooh WABUNGE wamepewa MILIONI 10 wapitishe muswaada SASA TUNAMUOMBA MBOWE ATOKE ADHARANI AITISHE PRESS Na awaonyeshe uo USHAIDI NA AKISHATOKA HAPO NI KWENDA MAHAKAMANI maana ushaidi anao ya hao wabunge kupokea RUSHWA....aache porojo za AJABU mumuambie HATUJASAHAU unafiki wake JUU YA LOWASSA HIVYO wanaanchi tuliuowengi HUJAWAI KUMWAMINI ANACHOKISIMAMIA NA KUSEMA

Nini sasa hii?
 
Nini
Acha unafiki...hivi kwa akili ndogo tu LISSU alitambua kabisa ana kesi SIKU HUSIKA kwanini hakuuzulia bila taarifa????MAANA KAMA KUNGEKUWA NA UDHURU AMEISHA UTOA hiyo hati ya yeye kukamatwa isinge tolewa na kama ingetolewa tungeona huo ni MPANGO maalumu wa kumuonea LISSU.....sasa hapa ni TUKIO LISSU MWENYEWE AU CHAMA wameamua kulitengeneza ili hatua zikichukuliwa IONEKANE AMEONEWA....haya ni matukio ya kutengeneza tu ili HATUA SITAHIKI ZINAPOCHUKULIWA IONEKANE WAMEONEWA maana hawa wenzetu kwa sasa wanaishi kwa MATUKIO mara oooh WABUNGE wamepewa MILIONI 10 wapitishe muswaada SASA TUNAMUOMBA MBOWE ATOKE ADHARANI AITISHE PRESS Na awaonyeshe uo USHAIDI NA AKISHATOKA HAPO NI KWENDA MAHAKAMANI maana ushaidi anao ya hao wabunge kupokea RUSHWA....aache porojo za AJABU mumuambie HATUJASAHAU unafiki wake JUU YA LOWASSA HIVYO wanaanchi tuliuowengi HUJAWAI KUMWAMINI ANACHOKISIMAMIA NA KUSEMA

Nini sasa hii?
 
Mahakama inayotumika kisiasa hupoteza credibility yake mbele ya jamii na mwisho hata heshima ya mahakama katika jamii hupotea.
Kimsingi mahakama sio iliyomshtaki, yenyewe imeletewa mtuhumiwa tu ili kuona kama metenda kosa ama hajatenda. Mpaka sasa hivi haijatoa hukumu tuone inapendelea ama haipendelei , kama angeheshimu masharti ya dhamana ambayo anayafahamu vizuri asingalikamatwa. Sasa hivi tunailaumu mahakama kwa kosa la LISU mwenyewe. Mahakama haijatenda kitu kigeni tofauti na wengine wanaokwenda kinyume na masharti ya dhamana.
 
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha muswada unapitishwa pasipokuwa na upinzani uliopitiliza.

Moja ya watu waliokuwa wakiogopwa na serikali hii ni Tundu lissu kuwa yeye ni mbobezi kwenye maswala ya kisheria na kuwa kwa namna yoyote ile asingeweza kukubali muswada huu kuweza kupita kirahisi kwa kujenga hoja zenye kuumbua muswada husika.

kikao hicho kilichoongozwa na balozi kijazi kililenga kuongeza nguvu ya kuudhoofisha nguvu za upande wowote ule utakao kinzana serikali juu ya mswada huu.

kupitia hapo ndipo akaagizwa mwanasheria wa serikali kuwa anahakikisha kesi ya lissu na zuio la kutokutoka nje ya dar es salaam analiwasilisha mahakama ya kisutu ili kufanikisha mpango huo pia ikumbukwe kuwa kabla ya bunge lissu alikuwa mkoani mara kwa shuguli za kisheria na hakuna katazo wala wito uliotolewa kipindi hicho kwani walijua wakimuita kipindi hicho mpaka bunge lianze kujadili hoja hiyo yawezekana akawa amepatiwa dhamana na kumfanya kuomba kibali cha kwenda kushugulika na shuguli hio.

katika kikao hicho pia, wabunge wote wa ccm wenye mlengo wa kutaka kukwamishwa mswada huo wamepewa taharifa ya kujiweka kando ama kutoshiriki kukwamisha swala hilo.

Kwa mapenzi mema ya Taifa langu nimeamua kuwasilisha swala hili pasipo kuhofia maisha yangu kwani na mimi ni mjumbe wa kikao tulichokifanya jana.

ni mimi
****** mjanja wa magogoni
Naona leo una ndoto nyiiingi za mchana. Kamanda unaota bila kulala. Duuu
 
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha muswada unapitishwa pasipokuwa na upinzani uliopitiliza.

Moja ya watu waliokuwa wakiogopwa na serikali hii ni Tundu lissu kuwa yeye ni mbobezi kwenye maswala ya kisheria
ni mimi
****** mjanja wa magogoni

Kwa kweli wewe ni "kilaza mjanja" punguza hoja za hisia kuliko hualisia. Na hata kama unawakilisha waliokutuma basi pawepo ni chembe ndogo ya ukweli.

LISSU alijua kuna kesi yake, kama Wakili nguri hapaswi kutokuhudhuria/ kuitikia mwito wa Mahakama.

Iwapo hilo unalosema ni kweli, Mh Lissu atakuwa analijua pia, hivyo angehudhuria mahakamani kuwaumbua waliofanya kikao hicho.
 
Jina lako LITUKUZWE Ewe Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kutuwekea ile siku maalum ambayo siri zote zitafichuka na waheshimiwa wa leo siku hiyo watakua madhalili.Acha tu wacheke kidogo hapa duniani lakini watalia sana kilio kisichokoma kwa dhulma wanazofanya.
 
Lissu sheria za nchi anazijua vizuri sana. Hakuna uthibitisho mpaka sasa hivi kama kweli katenda kosa. Ngoja tusubiri tisikie kulikoni.

Kimsingi mahakama sio iliyomshtaki, yenyewe imeletewa mtuhumiwa tu ili kuona kama metenda kosa ama hajatenda. Mpaka sasa hivi haijatoa hukumu tuone inapendelea ama haipendelei , kama angeheshimu masharti ya dhamana ambayo anayafahamu vizuri asingalikamatwa. Sasa hivi tunailaumu mahakama kwa kosa la LISU mwenyewe. Mahakama haijatenda kitu kigeni tofauti na wengine wanaokwenda kinyume na masharti ya dhamana.
 
Mleta Mazda, Lissu anaweza kuzuia mswaada usipite peke yake? Wabunge wa upinzani ni asilimia ngapi ya wabunge wa CCM?
Kawadanganye wengine.
Mswada lazima upite. Ila uwepo wa Lisu utawafungua watu macho!
 
Acha unafiki...hivi kwa akili ndogo tu LISSU alitambua kabisa ana kesi SIKU HUSIKA kwanini hakuuzulia bila taarifa????MAANA KAMA KUNGEKUWA NA UDHURU AMEISHA UTOA hiyo hati ya yeye kukamatwa isinge tolewa na kama ingetolewa tungeona huo ni MPANGO maalumu wa kumuonea LISSU.....sasa hapa ni TUKIO LISSU MWENYEWE AU CHAMA wameamua kulitengeneza ili hatua zikichukuliwa IONEKANE AMEONEWA....haya ni matukio ya kutengeneza tu ili HATUA SITAHIKI ZINAPOCHUKULIWA IONEKANE WAMEONEWA maana hawa wenzetu kwa sasa wanaishi kwa MATUKIO mara oooh WABUNGE wamepewa MILIONI 10 wapitishe muswaada SASA TUNAMUOMBA MBOWE ATOKE ADHARANI AITISHE PRESS Na awaonyeshe uo USHAIDI NA AKISHATOKA HAPO NI KWENDA MAHAKAMANI maana ushaidi anao ya hao wabunge kupokea RUSHWA....aache porojo za AJABU mumuambie HATUJASAHAU unafiki wake JUU YA LOWASSA HIVYO wanaanchi tuliuowengi HUJAWAI KUMWAMINI ANACHOKISIMAMIA NA KUSEMA
Hamnaga ƙingine tofauti na Lowassa,pole vijana na ƙwa hili nɗo maana ccm inatunƴima elimu ɓora,maana mtaji waƙe ni ujinga na umasiƙini........usiƙu huu mlimani ƙimenuƙa wanafunzi wamegoma. Hizo hongo wangewapa mƙopo. Nƴ.....mɓ......
 
Back
Top Bottom