johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kusanya Kodi Wewe ulipe madeni 🐼Ndio hasara ya kuanzisha miradi Kwa pupa bila mkakati ,madeni tuu inayodaiwa ni balaa Bado fidia ni matrilioni.
Huwezi kuwa na taasisi ambayo haiwezi fanya ujenzi wake Kimkakati badala yake wanafanya Kisiasa.
Unaanzishaje ujenzi Kila mahala wa km 1,2,5,10 wakati ungejenga Barabara chache na hizo hela kupelekeshwa huko kiasi kwamba Tija ingeonekana.
Ungepita Bahari beach pale Kondo ungecheka sana 😂😂😂Nilipita week ilio pita Jiji lenu pendwa la Dar, Nikaone badala ya kufanya project za maana mnaziba viraka tu barabarani.
mnajenga barabara kama mlivo kua mnajenga shule za kata, Shule inaanza 2012 ila maabara kujengwa 2022.
Yaani ni abu!Ungepita Bahari beach pale Kondo ungecheka sana 😂😂😂
Toka kuundwa kwake TANROADS haijawahi kuwa katika hali kama hii.Haiwezekani labda kama Kuna Hila,unachukua fuel yote kwa Lita itakayotumika kwa namna yote hapa Tanzania unazidisha kwa kile kiwango kinachokatwa toka Kila Lita ya fuel consumed mzigo huo unaupeleka Tan road.si mabilioni hayo kama si Matrilioni,Sasa watakosa je fedha kwa mfano!
Haifikishwi matumizi ya mafuta Tz kwa mwaka ni zaidi ya lita Bilioni 1 sasa kama ile 100 inayotozwa ingeelekezwa kwenye TANROAD maana yake tingekuwa na uhakika wa 50km kila mwakaToka kuundwa kwake TANROADS haijawahi kuwa katika hali kama hii.
Hela inayokusanywa na Road Fund inaelekea hsifikishwi inakostahili.
Pale kulpowekwa mawe ili wamwage rigid concrete au???Ungepita Bahari beach pale Kondo ungecheka sana 😂😂😂
Hao uliokutana nao siyo kwamba hawaungi mkono ununuzi wa helicopter ya Mama na ndiyo maana hawalipwi!!Kwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..
Nimekutana na makamdarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Zinaingia kwenye kapu moja halafu zinatumika kwingine (naamini hivyo)Haiwezekani labda kama Kuna Hila,unachukua fuel yote kwa Lita itakayotumika kwa namna yote hapa Tanzania unazidisha kwa kile kiwango kinachokatwa toka Kila Lita ya fuel consumed mzigo huo unaupeleka Tan road.si mabilioni hayo kama si Matrilioni,Sasa watakosa je fedha kwa mfano!
Wale mliowaona kwenye luninga ni wasanii wa kisiasa.Hao uliokutana nao siyo kwamba hawaungi mkono ununuzi wa helicopter ya Mama na ndiyo maana hawalipwi!!
Mkuu inaelekea huyu waziri wa Ujenzi Mh Bashungwa pale wizarani na kanyaboya tu!Haifikishwi matumizi ya mafuta Tz kwa mwaka ni zaidi ya lita Bilioni 1 sasa kama ile 100 inayotozwa ingeelekezwa kwenye TANROAD maana yake tingekuwa na uhakika wa 50km kila mwaka
Hata barabara hakuna tena mpya zinazojengwa.Kwa wale wanaoifahamu TANROADS kwa miongo zaidi ya miwili au mitatu, wanasema wakala huyu wa barabara yuko hoi.
TANROADS bado ina miradi mingi lakini haina fedha za kujiendesha.
Tatizo kubwa inaonekaka kwa sasa TANROADS pamoja na wizara yake ya Ujenzi si kipenzi cha serikali..
Nimekutana na makamdarasi zaidi ya wawili na ni kilio bin malamiko ya kutolipwa fedha kwa wakati au hakuna kabisa.
Siyo siri, Bashungwa anapwaya wizara ya Ujenzi.Mkuu inaelekea huyu waziri wa Ujenzi Mh Bashungwa pale wizarani na kanyaboya tu!
Hana impact kwenye kutetea maslahi ya Taasisi kubwa kama TANROADS.
Hela ya Road Fund ipo, tunashangaa inaenda wapi?
Vipaumbele vya samia sio kujenga barabaraHata barabara hakuna tena mpya zinazojengwa.
CAG alifanyie uchunguzi hili suala, ikiwa kama ama matumizi ya Road Fund yamekuwa kwa vitu vingine.Madhara ya kuwa ra rais dhifu ambaye Kila siku anasafiri kwenda ulaya Kwa pesa za umma na msururu wa wasaidizi zaidi ya elfumoja kwenda kupiga umbeya.
Huna unalolijua kwenye hili. Wachina waliolipwa ni mradi gani? Kinachofanyika ni kwamba miradi mikubwa ipo subjected na interest na wachina kampuni zao zinapata mikopo toka china yenye single digit interest.Wakandarasi wa china wanalipwa haraka, wazawa hawalipwi