masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Waziri mhusika , Waziri wa Ujenzi Bashungwa, ambaye ana wajibu wa kufuatilia hii pesa naona hana ubavu wa kulisemea hili.Vyanzo vya mapato Tanroads viko wazi mbona pesa hazipelekwi ipasavyo fatilia ujifunze
Huko ni kushindwa kutetea sekta yake.
Matokeo yake pesa inaliwa kwingine.