kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
aisee nilikuwa maeneo hayo those days noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiq na muuaji mkubwa huyu
IGP Mstaafu Balozi Simon Sirro baada ya kuagwa rasmi na Jeshi la Polisi leo Dar es salaam amesimulia tukio ambalo hatolisahau akiwa kazini ambalo amesema ni la Askari Polisi kupigwa risasi na Majambazi baada ya kushambulia kwa risasi gari la Polisi katika Kijiji cha Uchembe, Kata ya Mjawa Wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani.
Sirro amesema “Tuliwapata Wahusika na bahati mbaya na wao walishatangulia mbele ya haki, hili ni tukio ambalo sitolisahau, ukienda ukakuta Askari tisa wote wamepigwa risasi wamelala sio jambo dogo”
Tena anajisifu kwa kuwaua wanywa kahawa wa Rufiji.Siro hasikitishwi na tukio la lissu
Nafikiri askari aliyepona alikuwa mwanamke na wale majamaa yalikuwa yanauwa askari wanaume tu, yule wa kike walimuacha makusudi kwa maelezo ya yule askari wa kike kama kumbukumbu zangu zipo sawaAskari walikuwa wanaenda/wanatoka kwenye lindo walikuwa kwenye difenda la polisi ndipo mdunguaji akampiga risasi dereva wakati gari lipo kwenye mwendo likapinduka askari wakajeruhiwa ndipo walipovamiwa pale na kuanza kupigwa risasi kwa ukaribu zaidi ila kuna askari mmoja alipona baada ya kujifanya amefariki baada ya wale wadunguaji kuwafikia pale chini, hii ilikuwa kibiti miaka ya nyuma kidogo.
Azory Gwanda bado anatafutwa?Kwa kweli hili lilikuwa ni tukio baya, ila niliuliza Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii? , jeshi la polisi lilijibu mapigo with full force na kuproduce bad karma nyingine!.
P
Hata kama siwapendi Polisi lakini unyama uliofanywa na kundi lile la Wapuuzi Kwa kupiga risasi dereva gari likiwa kwenye mwendo na lilipopinduka wakawafuata waliosalimika na kiwapiga risasi hakivumiliki. Kama Polisi nao waliwaua ni halali yao.Asili ya kupigwa risasi kwa mkupuo ilikuwa ninini?
Ina maana wote tisa walikuwa off guard?
Waliowaua hao askari nao walikufaje wote?
Maswali ni mengi
Bahati mbaya= risasi za mgongoni!Tuliwapata Wahusika na bahati mbaya na wao walishatangulia mbele ya haki
If you can underline those words "bahati mbaya"
Tz kuna majeshi mengi, Jeshi la Ulinzi (JWTZ)/JKT, Jeshi la Magereza, Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Wanyama-pori, n.k., n.k.
IGP Mstaafu Balozi Simon Sirro baada ya kuagwa rasmi na Jeshi la Polisi leo Dar es salaam amesimulia tukio ambalo hatolisahau akiwa kazini ambalo amesema ni la Askari Polisi kupigwa risasi na Majambazi baada ya kushambulia kwa risasi gari la Polisi katika Kijiji cha Uchembe, Kata ya Mjawa Wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani.
Sirro amesema “Tuliwapata Wahusika na bahati mbaya na wao walishatangulia mbele ya haki, hili ni tukio ambalo sitolisahau, ukienda ukakuta Askari tisa wote wamepigwa risasi wamelala sio jambo dogo”
Kuna watu wanahoji eti vyombo vya ulinzi vilitumia nguvu kupita kiasiaisee nilikuwa maeneo hayo those days noma sana
Labda swali ni je waliouwawa ni kweli ndio wale walioua askari?[emoji419][emoji375]Bahati mbaya= risasi za mgongoni!
We tumekusamehe haya kimbia!
Ukikimbia unakula chuma za mgongoni yaani uuwe askari halafu ukamatwe ubaki hai hiyo haipo!
Mbona jibu rahisi tu!
Labda swali ni je waliouwawa ni kweli ndio wale walioua askari?
Karma tena ?Kwa kweli hili lilikuwa ni tukio baya, ila niliuliza Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii? , jeshi la polisi lilijibu mapigo with full force na kuproduce bad karma nyingine!.
P
ndio mkuuKuna watu wanahoji eti vyombo vya ulinzi vilitumia nguvu kupita kiasi