Sirro: Sitosahau Askari walipopigwa risasi Kibiti

Mnafiq na muuaji mkubwa huyu
 
Nafikiri askari aliyepona alikuwa mwanamke na wale majamaa yalikuwa yanauwa askari wanaume tu, yule wa kike walimuacha makusudi kwa maelezo ya yule askari wa kike kama kumbukumbu zangu zipo sawa
 
Pongezi kwake siro kwa kuzima ugaidi kibiti.hakuna hata mmoja aliyemuuliza kuhusu kuibiwa billioni 4 za mfuko wa kufa na kuzikana wa polisi?maana yeye atakuwa anajua zaid.
 
Asili ya kupigwa risasi kwa mkupuo ilikuwa ninini?
Ina maana wote tisa walikuwa off guard?
Waliowaua hao askari nao walikufaje wote?
Maswali ni mengi
Hata kama siwapendi Polisi lakini unyama uliofanywa na kundi lile la Wapuuzi Kwa kupiga risasi dereva gari likiwa kwenye mwendo na lilipopinduka wakawafuata waliosalimika na kiwapiga risasi hakivumiliki. Kama Polisi nao waliwaua ni halali yao.
 
Alishuhudia au ndio majigambo tena?
 
Na asisahau kwenda kutubu kwa Mola wake, jeshi la police sio mahakama, why hakuwakamata na kuwapeleka kwa court?,IGPsirro umeonyesha ni mtu wa visasi na usiyefuata sheria, unakumbuka ya police wako what's about Azory?,au hujui naye alipotea kwenye mazingira tatanishi wakati wa issue hiyo?,Akwilina naye huna taarifa naye na hujutiii na hujui, kama wewe sio member wa royal families, utakufa kibudu!honestly kodi yangu imetumika vibaya kukununulia wewe gari, peleka hiyo gari kwenye charity
 
Tuliwapata Wahusika na bahati mbaya na wao walishatangulia mbele ya haki
If you can underline those words "bahati mbaya"
Bahati mbaya= risasi za mgongoni!

We tumekusamehe haya kimbia!

Ukikimbia unakula chuma za mgongoni yaani uuwe askari halafu ukamatwe ubaki hai hiyo haipo!

Mbona jibu rahisi tu!

Labda swali ni je waliouwawa ni kweli ndio wale walioua askari?
 
Tz kuna majeshi mengi, Jeshi la Ulinzi (JWTZ)/JKT, Jeshi la Magereza, Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Wanyama-pori, n.k., n.k.
Je, Ni kwa nini ambush ya kuuawa iwe kwa Askari Polisi tu pekee?!???
1.Askari Polisi wa Staki Shari Dsm walivamiwa kituoni Kisha wakauawa,
2.Askari Polisi wa Kituo cha Mkuranga walivamiwa kisha waliuawa kadhaa.
3.Hamza Mohamed alivamia kibanda cha Askari Polisi karibu na Ubalozi wa Ufaransa Kisha akaua Askari wote waliokuwapo kwenye kibanda kabla hajauawa. Matukio ya kuvamiwa ni mengi sana kuwahusu Askari Polisi, Why Always Police Officers?? Why???
Tafakari!! Chukua Hatua!!
 
Bahati mbaya= risasi za mgongoni!

We tumekusamehe haya kimbia!

Ukikimbia unakula chuma za mgongoni yaani uuwe askari halafu ukamatwe ubaki hai hiyo haipo!

Mbona jibu rahisi tu!

Labda swali ni je waliouwawa ni kweli ndio wale walioua askari?
Labda swali ni je waliouwawa ni kweli ndio wale walioua askari?[emoji419][emoji375]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…