Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

Non-sense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mantik fulan unaikosa..sasa sjui rarrni uelewa...?
Kiongoz wa katolik.hana mke hana watoto hana nyumba binafsi yenye jina lake hana gar binafsi lenye jina lake..michango yote na sadaka havipit mikonon mwake ..hamilik mali yoyote..kaz yake ni kuongoza watu shugul za kiroho kwahyo anatunzwa na watu waliompa kaz hyo

Walokole wao..mtume na nabii..ana mke na watoto..ana nyumba binafsi..gar binafsi yote yana majina yake..wengi wana ukwasi uliotukuka...management nzima ya kanisa ni circle yake ya watu wake ambao hawahoji chochote sabab kanisa ni lake na ameanzisha yeye..wengne hadi wana brag mitandaon kuwa wanamillk helicopter..hammer ..shanging..wana nyumba 20...rejea mzee wa upako na shila...

Kwahyo kufananisha mfumo wa katolik na makanisa haya ya mitume na manabiii kwamba ni sawa naona kama mkuu kuna tatzo katika uelewa wako wa mambo..ni either ndo wale kondoo wasiosikia chochote wala kuambiwa chochote kuhusu hao manabii wao



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv hizo sadaka unazoongea hapa unajua ni sh ngap?
Kanisa zima lina watu zaid ya 1000 sadaka sometime haifik hata 3m au 2m...utasema si wanatoa zaka..michango mingne..jiulize hzo shule hospitali nchi nzima znajengewa matope..hayo makanisa yanayochomoza yanajengewa matope..huduma ya maisha kwa taasis ya kanisa inaendeshwa kwa matope...? Tho kuna hela inapigwa..ila sio kama huo upande wa pil ambako mchungaj ndio kila kitu na wana utajiri binafsi wa kukithiri na waumin wakitazama tu....

Unasema waumin katolik wanafaidika vip...umeonyesha ubinafsi wa hal ya juu hapa..na kanisa la kwel haliko hvyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sadaka umeacha bei gani
 
Tatizo la inferiority company nchi hii lipo hadi kwa watu matijiri na ndio chanzo kikubwa cha siasa zetu za kujikomba na kujipendekeza kwa watawala kupitiliza (sycophancy)
 
Kuna watu wakipata matatizo makubwa, wanakuwa wanatapa tapa, waganga, makanisani , mashekhe nk. Mfano magonjwa, hospital wameshindwa, unakuwa huna jinsi, lazima kutafuta alternative
 
Wanawake ndio wahanga wa hizi takataka hapa wamewekwa Kati na huyu mshirikina, mamlaka za Ghana zingeingilia Kati huu ni udhalilishaji.
Kagame yupo SAwa huna degree ya dini kafungue bar sio kanisa.
Hii ni vodoo kabisa
 
Tatizo la inferiority company nchi hii lipo hadi kwa watu matijiri na ndio chanzo kikubwa cha siasa zetu za kujikomba na kujipendekeza kwa watawala kupitiliza (sycophancy)
Mwenzako YEHODAYA ( ambaye ni Tajiri JamiiForums nzima ameshasema GENTAMYCINE natokea Koo ( Familia ) Masikini ndiyo maana nina hiyo inferiority complex ) sasa inakuwaje Wewe unapingana nae na sasa kusema kuwa hata wanaotoka Familia za Kitajiri pia wana huo Udhaifu?

Nitafurahi zaidi GENTAMYCINE nikitambulika na nikijulikana hasa kuwa ni Masikini halafu natokea katika Koo Masikini ( Duni ) hapa kwa wana JamiiForums wote sawa?

Hongereni mliotoka 'Rich Families' Ok?
 
Wanawake ndio wahanga wa hizi takataka hapa wamewekwa Kati na huyu mshirikina, mamlaka za Ghana zingeingilia Kati huu ni udhalilishaji.
Kagame yupo SAwa huna degree ya dini kafungue bar sio kanisa.
Hii ni vodoo kabisa
Mkuu ulipomtaja tu Rais wangu Paul Kagame ( African Genius ) umenifanya GENTAMYCINE nifurahi sana kwani ni Rais wa Maendeleo, Mikakati, Mipango na Ushujaa tofauti na Marais wengine duniani ( hasa barani Afrika ) ambao wamewekeza katika Uwongo, Ushirikina, Unafiki, Chuki na Kuzurula hovyo bila Vipaumbele huku 'ignorance level' ikiongezeka tu katika nchi zao ambazo ni Kubwa kuliko hata Rwanda.
 


We ni popoma 😅😅😅 usingeomba chenchi ungeweka 10K kabisa ili kumtolea Mungu
Mmeshaambiwa na YEHODAYA kuwa GENTAMYCINE ni Masikini ( Ngumbaru ) na kwamba natokea Familia ( Koo ) ya Kimasikini sasa Mkuu hiyo Tsh 10,000/ nitaitoa wapi?
 
Huo ni ule unafiki wa kutoa boriti kwenye jicho la mwingine kabla ya kutoa kwenye jicho lako kwanza.
 
Kuwa muelewa, acha ubishi wa kingumbaru.
Kwahiyo unambishia Tajiri Mkuu JamiiForums nzima YEHODAYA kuwa GENTAMYCINE ni Masikini ( Ngumbaru ) na kwamba natokea pia katika Koo / Familia ya Kimasikini ( Kingumbaru ) Mkuu?
 
Hahahahah we popoma ni tajiri bana Maskini wako parokia ya Temeke huko🤣 we unatokea Mbezi beach na Volvo mayai kila jumapili halafu unajiita maskini?
Ningekuwa Tajiri na nina Volvo halafu natokea Mbezi Beach ningetoa Sadaka ya Tsh 1000/ halafu nikaomba Chenji ya Tsh 500/ kwa Shemasi?

Na Mimi namuomba Mwenyezi Mungu anipe Utajiri aliompa YEHODAYA ambaye licha ya kuwa sasa anaishi Washington DC Marekani jirani ya White House ya Joe Biden ( US President ) pia huwa anatoa Sadaka ya Tsh Milioni 50 kila Jumapili halafu anatokea Koo ( Familia ) ya Kitajiri ya akina Bill Gate.

Mimi natokea 'Tandale' na sina Utajiri.
 
Huo ni ule unafiki wa kutoa boriti kwenye jicho la mwingine kabla ya kutoa kwenye jicho lako kwanza.
Historia inasema Huko Mwanzoni ilikuwa ngumu sana Kuikosoa RC na Wengine walipata Taabu. Sasa Kipindi Hicho ndipo Kanisa Linajiwekea Mali na Mizizi na Misingi ya Kupata Pesa. Na Kumbuka Watu walikuwa Wanatoa Pesa Ili kupata Baadhi ya Baraka.

Kama ilivyo sasa Hivi Eti Ili Uombewe Au Upele maombi Kanisani RC inabidi Ulipe Pesa na Uiweke Iambane na Maombi hayo. Ili mwanao Apewe Ubatizo kuna Michango Inabidi uwe ushachangia

Sasa Hapa Kuna Tofauti Gani Na Walokole
 
Ndio ulivyo danganywa. Mambo kwa Ground ni Tofauti sana. Siku hizi Mapadri wana Wake na Watoto na Wana majukumu kama Uliyonayo kwa Kificho. Wanajenga Kwao na Kumilikisha Mali kwa Majina Ya Ndugu

Unasema Mali zinamiliikiwa na Manabii kwa Majina Yao. Kisa wao hawana Mifumo maalumu ya Kifedha ndio unaliona Hilo. Huoni Kanisa Lenyewe lina Mifumo yake ambayo haina Tofauti na Benki [emoji542] tu ilivyo unaweka Pesa Inakuambiq Inazitunza Kumbe Inasambaza Pesa zako inapata Faida Bila Ww kujua Chochote.

Kanisa katoliki lenyewe lina Papa na Makadinali hao wana Tofauti gani Na Wachungaji na Manabii wa Walokole. Si ndio wanashikilia Pesa zako na Wanafanya Watakavyo kwenye hizo pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…