FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
Tumedanganywa kwa Muda Mrefu sana. Kama Mungu angekuwa Ana Dini Pasingekuwa na Dini Tofauti tofauti zinazotofautianaFuatilia chimbuko la dini zote utajua
Ukiona Hivyo Hakuna Mungu hapo Bali ni Binadamu na Vitu vingine vinachanganya Kichwa chako ili viweze Kukutawala
Hakunq Mungu Mwenye Dini Tofauti tofauti unazoziona Leo hii . HAYUPO