ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Umeona wapi Kabudi aliposaini?GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na yena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na yena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Sisi ni Chawa wa faida!Chawa hakai sehemu safi.
Tena Professor ndiye mshauri mkuu wa mikataba msimuangushie jumba bovu Rais wetu Dkt Samia.Umeona wapi Kabudi aliposaini?
Hiyo ni kitu ya Mbawara na Sa100 basi - Tena wamejifungia Ikulu. Warudi kwao hawa.
Yule prof. Wa makinikia hadi leo kila mtz anasubiri Noah yake halafu baadaye akaruka kimanga au mwingineGTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Mshana Jr nilikuwa nakuona una hekima kumbe bure kabisa, hivi wewe ndiyo wa kuleta habari za uongo jukwaani???? ChatGPT reference date yake mwisho September 2021 na leo June 2023, hivyo hiyo ChatGPT haina taarifa za maamuzi ya hizo kesi. Na isitoshe hakuna kampuni isiyokuwa na migogoro hata wewe hapo Mshana Jr lazima una vimigogoro na ndiyo ukomavu wenyewe huo. Hizi kesi zinaonesha kampuni pendwa ipo sehemu nyingi na inafanya vizuri. Hata Dkt Magufuli aliwahi nena ukiona watu wanapiga sana kelele shikilia hapo hapo, sisi Chawa wa mama tunamuambia Mama yetu Rais Dkt Samia shikilia hapo hapo nchi iendelee.Hapa kuna orodha ya kesi 20 za hivi punde dhidi ya DP World katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi:
1. DP World v. Kenya (2022). Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) kwa sasa kinasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Kenya. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Kenya.
2. DP World v. Ethiopia (2022). ICSID pia kwa sasa inasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Ethiopia. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Djibouti. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Djibouti.
4. DP World dhidi ya Pakistan (2020). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Pakistan. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Pakistan.
5. DP World v. India (2019). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya India. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na India.
6. DP World v. Argentina (2018). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Argentina. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Argentina.
7. DP World v. Chile (2017). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Chile. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya ardhi na Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Uruguay. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Uruguay.
9. DP World v. Peru (2015). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Peru. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya mali na Peru.
10. DP World v. Brazili (2014). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Brazil. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Brazili.
Ni muhimu kutambua kwamba hizi ni baadhi tu ya kesi nyingi ambazo DP World imehusika nazo. DP World ni mhusika mkuu katika sekta ya bandari ya kimataifa, na imehusika katika migogoro kadhaa na serikali duniani kote. . Mizozo hii mara nyingi imekuwa ngumu na imehusisha wadau muhimu wa kifedha.
Kesi zilizoorodheshwa hapo juu bado zinaendelea, na bado haijabainika jinsi zitakavyotatuliwa. Hata hivyo, yanatoa mwanga wa changamoto ambazo DP World inakabiliana nayo inapofanya kazi.View attachment 2651349View attachment 2651350
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumlisha maneno rais wetu Dkt Samia. Hii kauli ilimaanisha mishahara na perdiem, unakuta mtu kalipwa perdiem ofisini na yet anaenda kwenye taasisi nyingine anaomba perdiem. Na hakumaanisha rushwa Dkt Samia. Acheni kupotosha.Kazi anayofanya๐๐๐๐
View attachment 2651373
Wapi nimesema kuwa alimaanisha rushwa?Acha kumlisha maneno rais wetu Dkt Samia. Hii kauli ilimaanisha mishahara na perdiem, unakuta mtu kalipwa perdiem ofisini na yet anaenda kwenye taasisi nyingine anaomba perdiem. Na hakumaanisha rushwa Dkt Samia. Acheni kupotosha.
Uliileta ukimaanisha nini hiyo clip? Mnapenda vi maneno vya uchonganishiWapi nimesema kuwa alimaanisha rushwa?Unapojishtukia maana yake kuna kitu unataka kuficha๐๐๐
Nyie siyo wazalendo ni matapeli tupu mnatumika na mafisadi kusaidia kuuza nchibenjamini Netanyahu mbona sasa unatokwa povu? Hii nchi ni yetu sote ila sisi Chawa ndiyo wazalendo zaidi
Nyie ni vichaa hamsaidii nchi mnawaza teuzi basiMshana Jr nilikuwa nakuona una hekima kumbe bure kabisa, hivi wewe ndiyo wa kuleta habari za uongo jukwaani???? ChatGPT reference date yake mwisho September 2021 na leo June 2023, hivyo hiyo ChatGPT haina taarifa za maamuzi ya hizo kesi. Na isitoshe hakuna kampuni isiyokuwa na migogoro hata wewe hapo Mshana Jr lazima una vimigogoro na ndiyo ukomavu wenyewe huo. Hizi kesi zinaonesha kampuni pendwa ipo sehemu nyingi na inafanya vizuri. Hata Dkt Magufuli aliwahi nena ukiona watu wanapiga sana kelele shikilia hapo hapo, sisi Chawa wa mama tunamuambia Mama yetu Rais Dkt Samia shikilia hapo hapo nchi iendelee.