SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Sawa basi. Aachwe, ila CCM must go halafu tuone atavimba vipi huko mbele.
CCM must go! watulie wapate akili.
CCM must go! watulie wapate akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha alichosema.Kwani Watanzania wakisikia alichosema Samia kupitia clip yangu niliyopost kuna ubaya?Acha kujishtukia,kuna kitu unataka kuficha🐒🐒🐒Uliileta ukimaanisha nini hiyo clip? Mnapenda vi maneno vya uchonganishi
Duh!Nyinyi CHAWA tutakuja tuwachome moto! Maana mnazingua.
GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Asante kwa mtazamo na majibu.. Lakini sitaweza kubadili chochote kwenye reply yangu hiyo.. La muhimu tuupe muda wakati utasema!Mshana Jr nilikuwa nakuona una hekima kumbe bure kabisa, hivi wewe ndiyo wa kuleta habari za uongo jukwaani???? ChatGPT reference date yake mwisho September 2021 na leo June 2023, hivyo hiyo ChatGPT haina taarifa za maamuzi ya hizo kesi. Na isitoshe hakuna kampuni isiyokuwa na migogoro hata wewe hapo Mshana Jr lazima una vimigogoro na ndiyo ukomavu wenyewe huo. Hizi kesi zinaonesha kampuni pendwa ipo sehemu nyingi na inafanya vizuri. Hata Dkt Magufuli aliwahi nena ukiona watu wanapiga sana kelele shikilia hapo hapo, sisi Chawa wa mama tunamuambia Mama yetu Rais Dkt Samia shikilia hapo hapo nchi iendelee.
Ilikuwa Diamond Jubilee Jamaa Alikwenda Kama Anarebisha Mic, VileRaisi Mwinyi alikambwagwa kibao cha mkono wa kushoto na yulee jamaa
Mshana Jr Hakuna cha kusubiri, tumuunge mkono rais Dkt Samia sasa.Asante kwa mtazamo na majibu.. Lakini sitaweza kubadili chochote kwenye reply yangu hiyo.. La muhimu tuupe muda wakati utasema!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope hana ubavu, sisi chawa ni taifa kubwaDuh!
Tena usigusie mambo yetu ya CCM nitakubalaza sasa hivi. CCM ni chama kubwa lina mizizi limejikita!Sawa basi. Aachwe, ila CCM must go halafu tuone atavimba vipi huko mbele.
CCM must go! watulie wapate akili.
Lina manufaa then tumlaumu Prof Paramagamba Kabudi??GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Acha uzushi Ben. Tumia basi japo akili yako kidogo. Nchi ipo vizuriNyie siyo wazalendo ni matapeli tupu mnatumika na mafisadi kusaidia kuuza nchi
Mchokonono lete hoja hapa. Tunasema mikataba kama ina mapungufu yupo professor wa kuitizamaLina manufaa then tumlaumu Prof Paramagamba Kabudi??
How old are you????
Mara alaumiwe Kabudi mara lina manufaa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo... Inabidi uondolewe kinyesi kichwani kwanza. Maana kama katika andiko fupi hivi unajichanganya utaelewa mambo mazito kama ya mikataba kweli?GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Nijuacho mimi kwenye hiyo kesi DPWorld vs Djibouty serikali ya Djibouti iliwaacha wajenge Contena terminal halafu serikali ikawazulumu kwasababu ya wao kukodi Bandari nyingine kwenye mwambao huo.Mshana Jr nilikuwa nakuona una hekima kumbe bure kabisa, hivi wewe ndiyo wa kuleta habari za uongo jukwaani???? ChatGPT reference date yake mwisho September 2021 na leo June 2023, hivyo hiyo ChatGPT haina taarifa za maamuzi ya hizo kesi. Na isitoshe hakuna kampuni isiyokuwa na migogoro hata wewe hapo Mshana Jr lazima una vimigogoro na ndiyo ukomavu wenyewe huo. Hizi kesi zinaonesha kampuni pendwa ipo sehemu nyingi na inafanya vizuri. Hata Dkt Magufuli aliwahi nena ukiona watu wanapiga sana kelele shikilia hapo hapo, sisi Chawa wa mama tunamuambia Mama yetu Rais Dkt Samia shikilia hapo hapo nchi iendelee.
Dah hakika Tz kuna vichwa panzi kibao. Nilichomaanisha Prof yupo kwa ajili ya kurekebisha. Panapokuwa na mapungufu basi atafanyia kazoMara alaumiwe Kabudi mara lina manufaa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo... Inabidi uondolewe kinyesi kichwani kwanza. Maana kama katika andiko fupi hivi unajichanganya utaelewa mambo mazito kama ya mikataba kweli?