Sisi Chawa wa Rais Dkt Samia tunasema aachwe afanye kazi!

Sisi Chawa wa Rais Dkt Samia tunasema aachwe afanye kazi!

Dah hakika Tz kuna vichwa panzi kibao. Nilichomaanisha Prof yupo kwa ajili ya kurekebisha. Panapokuwa na mapungufu basi atafanyia kazo
Hauelewi kitu umejaa chawa kichwani. You are useful only on bed
 
GTs,

Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.

Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

Nawasilisha
Punguza ushuzi
 
Tena usigusie mambo yetu ya CCM nitakubalaza sasa hivi. CCM ni chama kubwa lina mizizi limejikita!
Kamata haoooooo shikaaaaa haoooooo.

Mizizi ya kula rushwa?
Mizizi ya Ufisadi?
Mizizi ya Kunadi na kuweka rehani Raia wake?
Mizizi ya Kuangamiza makabila ya wazawa, wameanza na Wamasai.?

Narudia CCM must go.....we endelea na uchawa wako, una hazi zako, usiingilie haki zangu. CCM kama chama kitakuwa hakichaguliki kwa mwenendo huu wa kupoteza dira!
 
GTs,

Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.

Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

Nawasilisha
Nyie ndio watu mnayoongea msiyo yajua. Mmekaa kama kasuku mnarudia kitu kilivyo pasi na kushirikisha ubongo wako.

Sasa hapo ndio umeleta hoja gani?? Uzuri wa mkataba huo ni upi? Hebu tetea
 
Hapa kuna orodha ya kesi 20 za hivi punde dhidi ya DP World katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi:

1. DP World v. Kenya (2022). Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) kwa sasa kinasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Kenya. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). ICSID pia kwa sasa inasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Ethiopia. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Ethiopia.

3. DP World v. Djibouti (2021). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Djibouti. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Djibouti.

4. DP World dhidi ya Pakistan (2020). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Pakistan. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Pakistan.

5. DP World v. India (2019). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya India. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na India.

6. DP World v. Argentina (2018). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Argentina. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Chile. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya ardhi na Chile.

8. DP World v. Uruguay (2016). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Uruguay. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Peru. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya mali na Peru.

10. DP World v. Brazili (2014). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Brazil. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Brazili.

Ni muhimu kutambua kwamba hizi ni baadhi tu ya kesi nyingi ambazo DP World imehusika nazo. DP World ni mhusika mkuu katika sekta ya bandari ya kimataifa, na imehusika katika migogoro kadhaa na serikali duniani kote. . Mizozo hii mara nyingi imekuwa ngumu na imehusisha wadau muhimu wa kifedha.

Kesi zilizoorodheshwa hapo juu bado zinaendelea, na bado haijabainika jinsi zitakavyotatuliwa. Hata hivyo, yanatoa mwanga wa changamoto ambazo DP World inakabiliana nayo inapofanya kazi.View attachment 2651349View attachment 2651350

Sent using Jamii Forums mobile app
2025 tuweke kichaa Mmoja pale ikulu,tuwanyang'anye tu,hakuna namna.
 
GTs,

Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.

Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.

Nawasilisha
Ndugu,Chama vipi kama msosi wa Chama ikashambulia na Kunguni,na Viroboto hata ukatoofika kiasi cha Kumnyima Chawa msosi wake wa dezo/bila jasho🤔.Hivyo ninaipuuza hoja hizi rasmi😂
 
Acha kumlisha maneno rais wetu Dkt Samia. Hii kauli ilimaanisha mishahara na perdiem, unakuta mtu kalipwa perdiem ofisini na yet anaenda kwenye taasisi nyingine anaomba perdiem. Na hakumaanisha rushwa Dkt Samia. Acheni kupotosha.
Udokta Udokta Udokta hivi huo Udokta kausomea WAPI?? wa kupewa ata hauna hadhi ni kufunika emptyness tu
 
Chawa ( louse) - mdudu mdogo anayekaa mwilini mwa mwanadamu, hasa kwenye nywele na nguo chafu na humnyonya damu.
Binadamu mwenye akili timamu hawezi kuona fahari kuitwa chawa, huu ni uzuzu wakujitakia, pia inaakisi level ya ujinga kwenye nchi maana hao ni wasomi waliosomeshwa kwa mikopo ili kulikomboa taifa leo wanashangilia kujiita chawa.
 
Tena Professor ndiye mshauri mkuu wa mikataba msimuangushie jumba bovu Rais wetu Dkt Samia.
Kwa uelewa wako unazani Kabudi anauwezo wa kushauri kila kitu..kwamba yeye halali?

Mambo mengine unajisumbua akili yako tu. Mama keshatia mkono pale na safari za Dubai kaenda kwa siri kubwa tena mara nyingi. Hapa Mbawara hapa Samia.

Soma hapa.
 
Chawa wanaishi kwenye uchafu hivyo kujiita chawa wa Samia maana yake unasema Samia ni uchafu,shauri yako na kiherehere cha kutaka uteuzi
Mimi ni mteule tayari, yaani tu ile kukubali kazi za rais Dkt Samia ni neema kubwa mno!
 
Ungekuwa na akili timamu usingejiita CHAWA
 
Back
Top Bottom