Hauelewi kitu umejaa chawa kichwani. You are useful only on bedDah hakika Tz kuna vichwa panzi kibao. Nilichomaanisha Prof yupo kwa ajili ya kurekebisha. Panapokuwa na mapungufu basi atafanyia kazo
Punguza ushuziGTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Acha kudhalilisha, lete hojaPunguza ushuzi
Kamata haoooooo shikaaaaa haoooooo.Tena usigusie mambo yetu ya CCM nitakubalaza sasa hivi. CCM ni chama kubwa lina mizizi limejikita!
Unajidhalilisha mwenyewe kujifananisha na chawaAcha kudhalilisha, lete hoja
Nyie ndio watu mnayoongea msiyo yajua. Mmekaa kama kasuku mnarudia kitu kilivyo pasi na kushirikisha ubongo wako.GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
2025 tuweke kichaa Mmoja pale ikulu,tuwanyang'anye tu,hakuna namna.Hapa kuna orodha ya kesi 20 za hivi punde dhidi ya DP World katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi:
1. DP World v. Kenya (2022). Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) kwa sasa kinasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Kenya. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Kenya.
2. DP World v. Ethiopia (2022). ICSID pia kwa sasa inasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Ethiopia. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Djibouti. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Djibouti.
4. DP World dhidi ya Pakistan (2020). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Pakistan. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Pakistan.
5. DP World v. India (2019). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya India. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na India.
6. DP World v. Argentina (2018). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Argentina. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Argentina.
7. DP World v. Chile (2017). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Chile. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya ardhi na Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Uruguay. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Uruguay.
9. DP World v. Peru (2015). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Peru. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya mali na Peru.
10. DP World v. Brazili (2014). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Brazil. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Brazili.
Ni muhimu kutambua kwamba hizi ni baadhi tu ya kesi nyingi ambazo DP World imehusika nazo. DP World ni mhusika mkuu katika sekta ya bandari ya kimataifa, na imehusika katika migogoro kadhaa na serikali duniani kote. . Mizozo hii mara nyingi imekuwa ngumu na imehusisha wadau muhimu wa kifedha.
Kesi zilizoorodheshwa hapo juu bado zinaendelea, na bado haijabainika jinsi zitakavyotatuliwa. Hata hivyo, yanatoa mwanga wa changamoto ambazo DP World inakabiliana nayo inapofanya kazi.View attachment 2651349View attachment 2651350
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu,Chama vipi kama msosi wa Chama ikashambulia na Kunguni,na Viroboto hata ukatoofika kiasi cha Kumnyima Chawa msosi wake wa dezo/bila jasho🤔.Hivyo ninaipuuza hoja hizi rasmi😂GTs,
Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari alaumiwe Professor Kabudi mwenye kazi yake.
Maana tumewavumilia tumechoka na ngonjera zenu mara ohh mara lile. Muacheni Rais wetu Dkt Samia afanye kazi. Suala la bandari lina manufaa makubwa kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
Nawasilisha
Udokta Udokta Udokta hivi huo Udokta kausomea WAPI?? wa kupewa ata hauna hadhi ni kufunika emptyness tuAcha kumlisha maneno rais wetu Dkt Samia. Hii kauli ilimaanisha mishahara na perdiem, unakuta mtu kalipwa perdiem ofisini na yet anaenda kwenye taasisi nyingine anaomba perdiem. Na hakumaanisha rushwa Dkt Samia. Acheni kupotosha.
Kwa uelewa wako unazani Kabudi anauwezo wa kushauri kila kitu..kwamba yeye halali?Tena Professor ndiye mshauri mkuu wa mikataba msimuangushie jumba bovu Rais wetu Dkt Samia.
Chawa wanaishi kwenye uchafu hivyo kujiita chawa wa Samia maana yake unasema Samia ni uchafu,shauri yako na kiherehere cha kutaka uteuziSisi ni Chawa wa faida!
Mimi ni mteule tayari, yaani tu ile kukubali kazi za rais Dkt Samia ni neema kubwa mno!Chawa wanaishi kwenye uchafu hivyo kujiita chawa wa Samia maana yake unasema Samia ni uchafu,shauri yako na kiherehere cha kutaka uteuzi
Mzushi tu yule, achana nayeDada wa Taifa amemgeuka Mama wa Taifa!