Sisi Chawa wa Rais Dkt Samia tunasema aachwe afanye kazi!

Mshana Jr Hakuna cha kusubiri, tumuunge mkono rais Dkt Samia sasa.

Najaribu kumlaumu Rais Samia nashindwa. Nakosa pozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuwasilisha
 
Ipendeze tuzidi kuziheshimu mmlaka zetu. Hii nchi ni kubwa, serikali ipo na kila raia katika nchi atimize wajibu wake.
 
Kama nyie ni chawa basi watanzania ni dawa ya kuua chawa na taka taka zote
 
Hazisaidii kitu mkuu kwa sasa....kama ulikuwa unavimba makalio mjini kwa kumtegemea shemeji yako wa bandarini huu ndio muda sahihi sasa wa kwenda kumtafutia mashamba handeni mziha aanze na kufuga.
Hao Dip wed unaambiwa wanafyagia taka taka zote hapo bandarini wanaanza upyaaaaaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…