Sisi ni masingle ladies nalazima tule raha kabisa

Wale wanaodai nature haiwaruhusu kuwa na mtu mmoja watakuja kukukashfu hapa. Nimekuelewa sana mkuu.
 
Ila kila mtu anaandika acheni umalaya kama katoto sijui nani nani ni malaya mwanzoni unapuuzia sasa nimechoka aisee inabidi niulize why kwa maana tokea nijiunge jf sijawahi muona hata mmoja wao halafu wakikudis like this sio fresh lazima niumie.
achana na hao, kwani wakikuambia we malaya huwa inakutouch sana?
 
Unajua ni ukweli inauma kila mtu??
 
Mke si ndio wewe sasa.
 
Savana yangapi hiyo mkuu?!
 
Kama malaya Malaya tu hata ukijificha nyuma ya keyboard haitobadilisha maana

Umri unaenda huku unatembea n wanaume za watu jua Kuna sehemu umeshakosea teyar wacha acheze na papuchi hyo.
 
Kama malaya Malaya tu hata ukijificha nyuma ya keyboard haitobadilisha maana

Umri unaenda huku unatembea n wanaume za watu jua Kuna sehemu umeshakosea teyar wacha acheze na papuchi hyo.
Mnajisemea tu kwa maana mnataka kiki tu.
1.vijimatusi havijengo
2.asilimi 75 hakuna mwanamke anayehitaji mume .
3.masingle mother watakuwa wengi kisa wanaume wengi kwa sasa ni wanamadharau na hawajali.
4.mnajiona
5.mnaropokwa
6.limbukeni wapo wengi sio wamama tu hata wakaka wamezidi.
7.mtasema sana mwisho mtachunwa mpaka viatu.
 
Pole sana...

Yule member aliyekuita Malaya kwenye ule uzi... amekosea sana... Wazoee tuu binadamu wa humu ndivyo walivyo...

Mambo yao waachie wenyewe...


Cc: mahondaw
Sasa sio huyo tu hata leo nimepokea notification tumeorodheshwa wengi tu
 
Ila kila mtu anaandika acheni umalaya kama katoto sijui nani nani ni malaya mwanzoni unapuuzia sasa nimechoka aisee inabidi niulize why kwa maana tokea nijiunge jf sijawahi muona hata mmoja wao halafu wakikudis like this sio fresh lazima niumie.
Nimesoma mpaka nikacheka, Katoto Kazuri acha kukasirika. Fahamu hivi, anayekuudhi mara nyingi huwa hapati maumivu kama anayeumizwa. Mbona unautesa moyo wako wakati hata wanakuzungumza hujawahi kuwaona hata wewe huwafaham kwa sura zao?

Mpaka nimekuonea huruma ulivofura, wewe kula raha, ila zile kwa ustaarabu huku ukitafuta neema na rehema kwa Mungu. Tafta kiasi chaki na uwe na space inayokutosha, ya humu yapuuze tu dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…