Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

Kwamba umeshahau mlivyokuwa mnamdanganya eti Fei shikilia hapo hapo. Masimba Si mlijifanya wanasheria wake mkampa na vifungu vya mkataba vinavyoruhusu kurudisha milioni 112 na awe huru, mmeanza kujitoa sasa.

Huyu dogo aliambiwa Sana awe makini akaona raha kupost post insta sasa anajikuta anabaki peke yake waandishi wanachambua wimbo wa Diamond Zuwena sasa na masimba yako bize kutetea jezi zao
Nilimuandikia hvyo hvyo Jana kwenye account yake aliyotoka kuipost

Rooho yake inamuuma mno na kujuta kimya kimya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na leo tukipata walau point moja tu ndo tunamzika mazima
 
Hautakiwi kwenda kwenye vita ambayo unajua kabisa unashindwa.

Fei alichemka sana labda azam wamuachie hizo 400m aendelee kuzibunya huku kiwango kikishuka ,waje kumkata 2024 huko mkataba wake ukiisha.

Yanga wasimpe Mshahara kabisa.
yanga hawataki yawe ya msuva, wanampa tu mshahara baadae wapate ground ya kumchapa vizuri, suala la fei toto lingekuwa halihusiani na hujuma yanga wangemuachia, ila timu mbili zimeungana kuhujumu mbio za ubingwa za yanga.
 
Wewe ukiifunga account Yako Ili mwajiliwako asikulipe stahikizako kinachofuata ni timu ku wataarifu wanao simamia tasnia ya soka Ili baaadae isilete shida kwenye maslahi ya Taasisi Yako.
Huyo anayemshahuri feisal ni mjinga wa mwisho na kama ni mwanasheria lazima uquestion uwezo wake
 
Back
Top Bottom