Tatizo kubwa hawa wachezaji wetu huwa hawasomi mikataba yao na pia hiyo mikataba wakipewa wanafikiri kuwa ni kama barua za uchumba tu, hawasomi na kuelewa kuwa huo ni mkataba ambao una pande mbili.
Unapohitaji kuvunja mkataba lazima pande zote mkae mezani muelewane kuwa sasa tunavunja mkataba kwa sababu zifuatazo unazitaja mkikubaliana mkataba unaendelea msipokubaliana ndipo mnavunja mkataba. Sijawahi ona katika maisha yangu mkataba unavunjwa upande mmoja tu hasa ambayo iko chini ya FIFA.
Wachambuzi wa tanzania ni wachumia tumbo hakuna wanachokijua vichwani mwao,uchambuzi wao umejaa mapenzi ya timu na siyo uchambuzi wa kumwelimisha mchezaji. Namshukuru sana mzee Rage aliweka wazi na Feisal angekuwa na akili angemsikiliza huyu mzee na angefuata maelekezo yake.
Lakin akaendelea kuwasikiliza wanasheria uchwara na wachambuzi uchwara wamempoteza sasa.
Unapohitaji kuvunja mkataba lazima pande zote mkae mezani muelewane kuwa sasa tunavunja mkataba kwa sababu zifuatazo unazitaja mkikubaliana mkataba unaendelea msipokubaliana ndipo mnavunja mkataba. Sijawahi ona katika maisha yangu mkataba unavunjwa upande mmoja tu hasa ambayo iko chini ya FIFA.
Wachambuzi wa tanzania ni wachumia tumbo hakuna wanachokijua vichwani mwao,uchambuzi wao umejaa mapenzi ya timu na siyo uchambuzi wa kumwelimisha mchezaji. Namshukuru sana mzee Rage aliweka wazi na Feisal angekuwa na akili angemsikiliza huyu mzee na angefuata maelekezo yake.
Lakin akaendelea kuwasikiliza wanasheria uchwara na wachambuzi uchwara wamempoteza sasa.