Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

Hakika wewe ni mbumbumbu uliye bobea, Yanga kama taasisi Ipo ndani ya Malengo yake mpaka Sasa.
Inacheza Makundi Africa na Inaongoza ligi na upo uwezekano mkubwa ikatetea makombe yake yote.
Feisal kama mchezaji amepoteza vitu vya Msingi katika maisha ya soka. Amepoteza nafasi(platform) ya kuonyesha kipaji chake katika mashindano ya Caf icho ni kitu kikubwa Kwa mchezaji anae jitambua.

Amepoteza furaha na muda wote anakua mpweke na mwenye mawazo mengi yanayo husu maisha yake ya soka.
Kama atakaa muda mrefu nje ya soka, upo uwezekano akirudi kucheza soka asiweze kifikia kiwango alicho fikia Sasa kwakua mazingira hayatakua kama yalivyo Sasa.
Uminifu wake na waajiri wake wapya utakua mashakani Kwa namna alivyo achana na Yanga kunaleta Tafsiri nyingi Kwa mwajiri mpya.
Kwani yuko wapi kwa sasa
Poor him
 
Mpaka sasa hatusikii wachambuzi na vyombo vya habari vilivyokuwa vikizungumzia swala la FEI TOTO wakiwa wanamzungumzia tens saizi wapo kimya na huenda walisha sahau na siku zote vitu vya kuambiwa changanya na akili yako, Leo hii wenzake wapo Tunisia yeye yupo Dar na endapo angetumia hekima na busara hii michuano ingemfaa zaidi na angeonekana sehemu mbalimbali na klabu inayomhitaji ingekuja kuvunja mkataba na kumsajiri lakini mpaka sasa kimya.

Hata wale mashabiki,wachambuzi na media zilizokuwa zinamsapoti saizi wapo kimya mpaka sasa anapotea machoni mwa watu mpaka arudi atatumia nguvu kubwa rejesha jina lake machoni mwa watu . Namshauri arudi amalizane na Yanga achane na maneno ya watu.

Imeandikwa na Chirstopher Mlanda

Ameandika @deustanzania
na mungu alivyo mkuu hata sisi mashabiki wa yanga tushasahau kama tulikuwa na mchezaji anaitwa fei...imagine tulivyoteseka kwa miaka minne bila ubingwa,imagine timu yako inabatizwa jina kama utopolo,imagine una mchezaji dizain ya yikpe na nchimbi kwenye timu,imagine morrison akiwa ndo mchezaji tegemezi baada ya nusu msimu tu anaenda kusaini simba,imagine lile domo la manara dhidi yetu yanga

kwenye hili la fei mungu kasema sitaweza kuwatesa tena wana yanga japo fei ni kipenzi chetu cha ajabu mashabiki tumekuwa hatuna habari na kutokuwepo kwake...forever forward
 
Mpaka sasa hatusikii wachambuzi na vyombo vya habari vilivyokuwa vikizungumzia swala la FEI TOTO wakiwa wanamzungumzia tens saizi wapo kimya na huenda walisha sahau na siku zote vitu vya kuambiwa changanya na akili yako, Leo hii wenzake wapo Tunisia yeye yupo Dar na endapo angetumia hekima na busara hii michuano ingemfaa zaidi na angeonekana sehemu mbalimbali na klabu inayomhitaji ingekuja kuvunja mkataba na kumsajiri lakini mpaka sasa kimya.

Hata wale mashabiki,wachambuzi na media zilizokuwa zinamsapoti saizi wapo kimya mpaka sasa anapotea machoni mwa watu mpaka arudi atatumia nguvu kubwa rejesha jina lake machoni mwa watu . Namshauri arudi amalizane na Yanga achane na maneno ya watu.

Imeandikwa na Chirstopher Mlanda

Ameandika @deustanzania
Akafie mbali fursa za watanganyika haziwahusu wazanzibari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nauliza tu, hivi ukishitakiwa mahakama kuu ukakutwa na hatia ukahukimiwa jera miezi 6 lakini wewe ukulidhika na hukumu iliyotolewa kwahiyo ukaamua kukata rufaa mahakama ya rufaa, kipindi hicho ambacho unafanya process za rufaa inabidi uwe gerezani au unakaa nyumbani kisa ukulidhika na hukumu na una mpango wa rufaa?
 
Kweli wenye akili ni wawili tu.Mlifanya mpaka mkutano wa wazee wa Yanga mkiwalaumu Azam.Mkatishia kususia bidhaa za Azam, ujinga ulioje.
Sasa mmetapatapa mnaanza kuilaumu Simba.
Mnampa mshahara wa tarishi akagoma mnasingizia wengine wote isipokuwa ujinga wenu.
 
Wasipo mpa mshahara mnakuwa mmekiuka masharti ya mkataba.

Hiyo ina apply kama mchezaji kaitumikia club miezi mitatu mfululizo bila kupewa mshahara, vp Fei kaitumikia Yanga ndani ya miezi mitatu mfululizo bila ya kupewa mshahara?.

Sasa mtu haitumikii club mshahara anapewa wa nini? Kuna timu ulaya kama tu huonekani mazoezini bila sababu ya msingi wanakata mshahara.

Vip kainisha sababu ya kukosa mazoezini? Yanga sasa hivi wanakusanya vielelezo ,ile barua ya pili waliyo andika ni wanafuata procedure ila baada ya hapo atakutana na sheria za usajili za FIFA.
 
Hiyo ina apply kama mchezaji kaitumikia club miezi mitatu mfululizo bila kupewa mshahara, vp Fei kaitumikia Yanga ndani ya miezi mitatu mfululizo bila ya kupewa mshahara?.

Sasa mtu haitumikii club mshahara anapewa wa nini? Kuna timu ulaya kama tu huonekani mazoezini bila sababu ya msingi wanakata mshahara.

Vip kainisha sababu ya kukosa mazoezini? Yanga sasa hivi wanakusanya vielelezo ,ile barua ya pili waliyo andika ni wanafuata procedure ila baada ya hapo atakutana na sheria za usajili za FIFA.
Sheria za FIFA kuhusu usajili zinasemaje kwa kesi kama hii ya Fei?
 
Sheria za FIFA kuhusu usajili zinasemaje kwa kesi kama hii ya Fei?
Screenshot_20230210_221220_Chrome.jpg
 
Player plainly refuse or do not come(where)?without the federation approval explicit or not,the federation can ask FIFA to fine the player and worst,suspend him.
Inazungumzia usajili ??Kifungu hicho kipo kwenye kanuni gani ya FIFA?
Nime utoa Quora forum kulikuwa na mjadala unao fanana na huu.

 
Hiyo ina apply kama mchezaji kaitumikia club miezi mitatu mfululizo bila kupewa mshahara, vp Fei kaitumikia Yanga ndani ya miezi mitatu mfululizo bila ya kupewa mshahara?.

Sasa mtu haitumikii club mshahara anapewa wa nini? Kuna timu ulaya kama tu huonekani mazoezini bila sababu ya msingi wanakata mshahara.

Vip kainisha sababu ya kukosa mazoezini? Yanga sasa hivi wanakusanya vielelezo ,ile barua ya pili waliyo andika ni wanafuata procedure ila baada ya hapo atakutana na sheria za usajili za FIFA.
Acheni kumlipa tuwaone jeuli yenu.
 
Mpaka sasa hatusikii wachambuzi na vyombo vya habari vilivyokuwa vikizungumzia swala la FEI TOTO wakiwa wanamzungumzia tens saizi wapo kimya na huenda walisha sahau na siku zote vitu vya kuambiwa changanya na akili yako, Leo hii wenzake wapo Tunisia yeye yupo Dar na endapo angetumia hekima na busara hii michuano ingemfaa zaidi na angeonekana sehemu mbalimbali na klabu inayomhitaji ingekuja kuvunja mkataba na kumsajiri lakini mpaka sasa kimya.

Hata wale mashabiki,wachambuzi na media zilizokuwa zinamsapoti saizi wapo kimya mpaka sasa anapotea machoni mwa watu mpaka arudi atatumia nguvu kubwa rejesha jina lake machoni mwa watu . Namshauri arudi amalizane na Yanga achane na maneno ya watu.

Imeandikwa na Chirstopher Mlanda

Ameandika @deustanzania
Kama kuna mtu mpumbavu hapa ni wewe unayedhania mashabiki wa Simba ndio walimpoteza Fei.

Nikukumbushe tu,hakuna shabiki aliyeuona mkataba wa Fei na yanga,waliouona ni wanasheria wake ambao ndio walimshauri awe na msimamo kwa kuwa waliona mapungufu ya mkataba.

Kifupi TFF iliamua kesi ya Fei Toto kihuni sana,bila kuwa na wekedi.
Wakukaumiwa hapa ni TFF.Maana uhuni walioufanya ni sawa na uhuni wa kubandika mdhamini mpya kwenye jezi zao bila makubaluano na mdhamini mkuu na bado umeona yanga hawajafanywa chochote na hawatafanywa chochote.Michezo ya kihuni wanayofanya ina baraka na baadhi ya wenye mamlaka.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kama kuna mtu mpumbavu hapa ni wewe unayedhania mashabiki wa Simba ndio walimpoteza Fei.

Nikukumbushe tu,hakuna shabiki aliyeuona mkataba wa Fei na yanga,waliouona ni wanasheria wake ambao ndio walimshauri awe na msimamo kwa kuwa waliona mapungufu ya mkataba.

Kifupi TFF iliamua kesi ya Fei Toto kihuni sana,bila kuwa na wekedi.
Wakukaumiwa hapa ni TFF.Maana uhuni walioufanya ni sawa na uhuni wa kubandika mdhamini mpya kwenye jezi zao bila makubaluano na mdhamini mkuu na bado umeona yanga hawajafanywa chochote na hawatafanywa chochote.Michezo ya kihuni wanayofanya ina baraka na baadhi ya wenye mamlaka.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
TFF walipo amua kesi ya Morrison hawakua wahuni, imekuja ya Feisal waamekua wahuni? mkataba wa Sportpesa na Yanga unao utupe vifungu vilivyo vijwa?
 
Simba tena??😲😲 Fei toto anajua anachokitaka, afterall mashabiki maandazi wa Yanga waliimba uwanja mzima hawamtaki Fei toto baada ya kurise complain juu ya maslahi yake(possibly hili ndilo lilimfanya akwazike zaidi). Fei hayumbishwi na propaganda zenu za kuonekana sijui kimataifa, anajua fika hamfiki mahali utopolo nyie😜
 
Wanasiasa kwa kushirikiana na viongozi wa TFF ndio wamemsaliti Fei Toto.

Shirikisho la Mpira linaongozwa kihuni na wahuni kuua vipaji vya wachezaji wetu na mpira wetu.
Kolo lingine hiloo. Wanasiasa wamemponza kivipi kama si ulaggai wa Makolo wenzio
 
We mgonjwa mtafute aliyemshauri feitoto umlalamikie.Utakuta walitaka kumkabwili mna maana ninyi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom