dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Nilimuandikia hvyo hvyo Jana kwenye account yake aliyotoka kuipostKwamba umeshahau mlivyokuwa mnamdanganya eti Fei shikilia hapo hapo. Masimba Si mlijifanya wanasheria wake mkampa na vifungu vya mkataba vinavyoruhusu kurudisha milioni 112 na awe huru, mmeanza kujitoa sasa.
Huyu dogo aliambiwa Sana awe makini akaona raha kupost post insta sasa anajikuta anabaki peke yake waandishi wanachambua wimbo wa Diamond Zuwena sasa na masimba yako bize kutetea jezi zao
Umeandika na kupost Mara mbili nanitakupa likesdogo mpumbavu tu
alijiona mtu wa maana kweli sasa anashangaa yanga inakwenda kwa uzuri bila huduma yake
Ila bila ushabiki dogo kazingua mbaya, hawezi toboa hata aende wap.Ngoja tuone mwisho wake...
yanga hawataki yawe ya msuva, wanampa tu mshahara baadae wapate ground ya kumchapa vizuri, suala la fei toto lingekuwa halihusiani na hujuma yanga wangemuachia, ila timu mbili zimeungana kuhujumu mbio za ubingwa za yanga.Hautakiwi kwenda kwenye vita ambayo unajua kabisa unashindwa.
Fei alichemka sana labda azam wamuachie hizo 400m aendelee kuzibunya huku kiwango kikishuka ,waje kumkata 2024 huko mkataba wake ukiisha.
Yanga wasimpe Mshahara kabisa.
Nenda kafanye plastic surgery ku- restore marinda yako.Nenda katibiwe utaharibika
Umeharibika sana mwanasimba mwenzanguNenda kafanye plastic surgery ku- restore marinda yako.
Simba hakuna vilaza na mimi siyo mwenzako, gongowazi wahedi.Umeharibika sana mwanasimba mwenzangu
Huyo anayemshahuri feisal ni mjinga wa mwisho na kama ni mwanasheria lazima uquestion uwezo wakeWewe ukiifunga account Yako Ili mwajiliwako asikulipe stahikizako kinachofuata ni timu ku wataarifu wanao simamia tasnia ya soka Ili baaadae isilete shida kwenye maslahi ya Taasisi Yako.
Wanafiki sana hawa jamaa.Walipohukumu kesi ya Morrison mliona TFF wapo sahihi kwavile wafaidikaji ni Simba, ila kwavile kesi ya Feitoto imewapa Yanga ushindi mnaona kuwa TFF imejaa wahuni.