miwani ya maisha
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,733
- 2,511
Sasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.
Hivyo wewe ni mjinga na unajivunia!
So wewe ni mjinga!
Toka mwenyeweNyiee (mimi nitoe humo kwenye sisi) sipo kabisa
Kabisa,wewe ni jingalao!Kama kumchagua JPM ni ujinga,nikiri tu kuwa mimi ni JINGA LA MAJINGA.
Mi najua unasema hamna maji kabisa,kumbe ni maji ya chumvi..Mbezi Luis Dar es salaam bado tunatumia maji ya chumvi
Ungesema wewe siyo mjinga. Badala ya kuongelea nafsi ya mtu.
Mimi sipo hapo kwenye “Sisi”
Inaweza ikaendelea kuwa bora kwenye kipindi chote hiki cha wagombea kusaka kura.Hii article imeshiba facts tupu kwa sababu "Sisi sio Wajinga"
Mkuu haya ya chumvi tumeyachimba wenyewe.yani kila mtu amechimba kisima chake home kwake au watu wachache wenye visima kuamua kuwauzia wengine maji ya chumvi kwa Bei kubwaMi najua unasema hamna maji kabisa,kumbe ni maji ya chumvi..
shukuru hata kwa hicho kidogo kuna wenzako wanayahtaji hata hayo ya chumvi
atleast umekua muwazi "maji yapo" ila ya chumvi kumbe,subirini kwanza nyie bado mna afadhali.
Ufukara au utajiri wako ni juhudi zako mwenyewe, kujituma kwako hakuna atakayekuletea pesa mfukoni.Furaha ni kitu kingine, jiwe kamfanya kila Mtanzania kuwa fukara
Ataenda na tangazo la meli new VictoriaMzee hana Aibu huku Bukoba namshauri asikanyage kabisa
Dishi lako limeyumba wewe si bure, yaani una hela inayoweza kuchimba visima lakini badala ya kuchimba visima unaenda kununua midege ambayo itakuchukua miaka kurudisha angalau gharama za manunuzi tu ndio upate faida ujenge visima. Muda wote huo unakunywa maji taka, unagharamika kutibu minyoo n.k n.k. Maccm ni mataahiraSasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.