Uchaguzi 2020 Sisi sio wajinga, Ulipochukua tu madaraka ukaanza na kubomoa nyumba zetu!

Uchaguzi 2020 Sisi sio wajinga, Ulipochukua tu madaraka ukaanza na kubomoa nyumba zetu!

Sasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.

Ndege angenunua moja tu ya kumpeleka kwa Mganga wake T.B JOSHUA!Amegeuza "manunuzi" kama mradi wake na washamba wenzake kumbe anapiga humo humo!Anatumia upendeleo wa "teuzi" zake kuwala wake zetu....SISI SIO WAJINGA!
 
Mbezi Luis Dar es salaam bado tunatumia maji ya chumvi
Mi najua unasema hamna maji kabisa,kumbe ni maji ya chumvi..

shukuru hata kwa hicho kidogo kuna wenzako wanayahtaji hata hayo ya chumvi

atleast umekua muwazi "maji yapo" ila ya chumvi kumbe,subirini kwanza nyie bado mna afadhali.
 
Sisi siyo wajinga, na watuonyeshe basi hivyo viwanda zaidi ya elfu nane vilivyojengwa na kuhubiriwa kwa nguvu ndani ya awamu hii ya tano ya Tanzania ya viwanda.
 
Nyie ni wajinga ndio maana hamtampigia magufuli kura kwa ubinafsi wenu. Badala ya kuona mustakabali wa taifa letu mnaona maslahi yenu yasiyokua halali. Barabara isijengwe kwa ununuzi wenu wa kijinga eneo la barabara?
 
Natamani wananchi wote wangeyakumbuka madhila hayo yote mpaka siku ya kupiga kura ili tukaiadhibu CCM kwa hasira kuu!
 
Ukweli mchungu huu, ambao meko hataki kuusikia. Daaaah
 
Mi najua unasema hamna maji kabisa,kumbe ni maji ya chumvi..

shukuru hata kwa hicho kidogo kuna wenzako wanayahtaji hata hayo ya chumvi

atleast umekua muwazi "maji yapo" ila ya chumvi kumbe,subirini kwanza nyie bado mna afadhali.
Mkuu haya ya chumvi tumeyachimba wenyewe.yani kila mtu amechimba kisima chake home kwake au watu wachache wenye visima kuamua kuwauzia wengine maji ya chumvi kwa Bei kubwa
 
Usilie sana baba vumilia kwa yaliyokufika.Subira huvuta heri haivuti bangi! Heri imekaribia. Inshaallah
 
Umeandika Vizuri sana, hongera, zile kejeli za tetemeko Bukoba katu haziwezi kusahaulika hata kizazi cha tatu
 
Sasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.
Dishi lako limeyumba wewe si bure, yaani una hela inayoweza kuchimba visima lakini badala ya kuchimba visima unaenda kununua midege ambayo itakuchukua miaka kurudisha angalau gharama za manunuzi tu ndio upate faida ujenge visima. Muda wote huo unakunywa maji taka, unagharamika kutibu minyoo n.k n.k. Maccm ni mataahira
 
Back
Top Bottom