Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pole sana,
Kwa uliyotaja yanafikirisha yanaumiza ni wachache watakuelewa.
Napata wakati mgumu kujiuliza kwa nini wengine wanaona ni Heri akaendelea kutukanyaga.
Yeye ni mjinga zaidi.Kwamba wewe ni mjinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wewe ni mjinga ndio maana yake. Asante kwa taarifa. Nitakariri ID yako feki hiyo for future reference. Best regards.Ungesema wewe siyo mjinga. Badala ya kuongelea nafsi ya mtu.
Mimi sipo hapo kwenye “Sisi”
Lazima aiseeHuu Uzi natamani tuusambaze kwenye platforms zoote za kijamii ili watu wakumbuke maana Watanzania tuna sifa ya kusahau.
Wanyarwanda ndivyo walivyoSISI SIYO WAJINGA.
Anajibu watu kwa nyodo, ana kiburi na dharau.
Unamaanisha wewe ni mjinga?Mtoa mada amekataa kufanywa mjinga,wewe na nani mnapenda kuonekana wajinga?Ungesema wewe siyo mjinga. Badala ya kuongelea nafsi ya mtu.
Mimi sipo hapo kwenye “Sisi”
Hiv miundombinu gan alikarabati bukoba?Hela zilizochangwa kwa wahanga bukoba ni nyingi sana kuliko ukarabati alioufanya nyingi zimepigwa zingetosha kuwajengea nyumba za kisasa wahanga wote na chenji ingebaki. Hivo atueleze zipo wapi zingine mbona yaliyofanyika ayaendani na pesa zilizochangwa. Arudishe chenji
Shule ya sekondari, zingine azirudishe ni haki yenuHiv miundombinu gan alikarabati bukoba?
Maana hata stendi ya bukoba haijajengwa hata Leo kisa bukoba ina upinzani
Hizo za watu zimezalisha faida kiasi gani?Sasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.
Kwa hiyo wewe ni mjinga!!Ungesema wewe siyo mjinga. Badala ya kuongelea nafsi ya mtu.
Mimi sipo hapo kwenye “Sisi”
Jibu swali vyeti feki aliwasingizia?Makonda mbona aliachwa,na katazo lake kuwa watu wa Mwanza wasovunjiwe nyumba zao kwa sababu walimpa kura lilikuwa na maana gani?.
kwanini hua mnawadharau mama zetu ambao waliwanyonyesha na nyie au wewe mwenzetu ulikunywa mbege badala ya maziwa, wanawake wamekua waathirika wakubwa wa udhalilishwaji, juzi mmewaita malaya..anyway... hayo magazeti na tv ndio source kwakoNimesema waliovunjiwa nyumba wamelipwa? Kama husomi magazeti na kuangalia Tv, nenda kanyonye maana unasumbua watu.
Mkuu una ushahidi kua wote waliojenga na kuvunjiwa nyumba zao walijenga kwa kutumia hela ya wizi?Kama ulijenga kwenye hifadhi ya barabara lazima ubomolewe tu hakuna namna! Ndiyo nyinyi mliokuwa mnatumia pesa zenu za wizi kujenga popote tu kwa sababu ya pesa zenu za wizi. Mtaendelea kuisoma namba mpaka mkome!
Hadi utakapotoka milembeNyiee (mimi nitoe humo kwenye sisi) sipo kabisa