Sisi Tanzania na mataifa mengi ya Afrika tunakabiliwa na hatari ya kuwa watumwa wa kiuchumi na kidiplomasia kwa China miaka siyo mingi

Sisi Tanzania na mataifa mengi ya Afrika tunakabiliwa na hatari ya kuwa watumwa wa kiuchumi na kidiplomasia kwa China miaka siyo mingi

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
 
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
Kwa maneno machache, sio tutakuwa watumwa bali tulishakuwa watumwa....
 
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
You are a brain.
Lakini Namba moja na Mwigulu wakinunuliwa wewe utafanya nini? Machafuko yote hayo ya kutekana na kuuawa watu ni kwa sababu wanataka CCM iwe milele, na strategy zote hizo zinatoka CCP
 
Hili janga ni la Afrika nzima; kusema kweli hatuna historia ndefu za kujenga taasisi imara za usimamizi wa mali na maslahi ya jamii
Na tutatafunwa mpaka akili zikae sawa
 
Kwa ujumla, tumeshakuwa watumwa tayari.

Tulipopotea ni pale tuliporuhusu wenye akili ndogo kuwa watawala. Watu wenye akili ndogo huwa hawafikirii mbali, wao wanatazama tu leo, hawawazi miaka hamsini au mia ijayo, ndiyo wapo busy kuuza bandari, hifadhi za misitu, mbuga za wanyama. Wao wanachotaka ni kushibisha matumbo yao na wana wao leo, hata hawafikirii itakuwaje kwa wajukuu wawana wao.

Huko mbeleni itabidi wajukuu zetu waingie vitani kupambana na wachina na waarabu.
 
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
Ma Dr Dr hawajui hilo, sasa sijui wewe Una Ni Dr
 
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
Kwa ujumla, tumeshakuwa watumwa tayari.

Tulipopotea ni pale tuliporuhusu wenye akili ndogo kuwa watawala. Watu wenye akili ndogo huwa hawafikirii mbali, wao wanatazama tu leo, hawawazi miaka hamsini au mia ijayo, ndiyo wapo busy kuuza bandari, hifadhi za misitu, mbuga za wanyama. Wao wanachotaka ni kushibisha matumbo yao na wana wao leo, hata hawafikirii itakuwaje kwa wajukuu wawana wao.

Huko mbeleni itabidi wajukuu zetu waingie vitani kupambana na wachina na waarabu.


TISS ni lazima wabadilishe Mifumo yao yote kabisa, ikiwemo na kubadilisha utaratibu Wao wa RECRUITMENT ya Maafisa wao.

Hili ni jambo la lazima kabisa ambalo haliwezi kuepukika kwa Sasa katika Idara hiyo.
Ni Lazima Wabadilike ili kuendana na Mahitaji halisi ya Dunia ya dunia ya Sasa.

Mamlaka Kuu ya Ujasusi ya Marekani ya CIA Baada ya Mashambulizi makali Sana ya kigaidi yaliyofanyika katika Kituo Kikuu Cha Biashara Cha Dunia (WTC), Pentagon, n.k hapo tarehe 11 Septemba 2001, CIA walikiri kwamba kulikuwa na Mapungufu makubwa Sana kwenye Mifumo ya Utawala, Mifumo ya Kuajiri Maafisa wa Taasisi hiyo na kwenye Mifumo ya Kiutendaji ndani ya CIA hali ambayo ilisaidia Sana kutoa mwanya kwa Magaidi wa Al Qaeda chini ya Osama bin Laden kuweza kuishambulia Marekani kwa urahisi Sana.

Baada ya mashambulizi hayo ya kigaidi ya September Eleven, CIA ilifumuliwa na kisha kusukwa tena upya. Kwa sasa, Maafisa wa Idara hiyo ya CIA Wanaajiriwa kwa utaratibu wa kutoa Matangazo ya Ajira zao kwenye vyombo mbalimbali vya Habari. Hii inawasaidia kutoa wigo mpana zaidi wa kuwapata Watu/ Waajiriwa mbalimbali walio sahihi zaidi, wenye weredi katika fani tofaufi tofaufi wakiwa na mitazamo tofaufi tofauti kinyume na hali ilivyokuwa hapo awali kabla ya mashambulizi ya 'September Eleven.'
 
Fikiria hili: unapomtegemea mtu kwa kila jambo bila kufanya juhudi za kujitegemea, ipo siku utakuta umegeuka mtumwa wake. Hali hii inadhihirika wazi kupitia uhusiano wetu na China, ambapo nchi yetu na nyingine nyingi za Afrika zimewekwa katika hali ya utegemezi mkubwa. Sekta zetu muhimu kama viwanda, biashara, na ajira zimelegezwa au kudumaa, na nafasi ya kujenga msingi wa utaifa imetatizika kwa kiasi kikubwa.

Kwa wale wasioangalia kwa mapana na vipindi virefu, huenda wasione mtego ambao China imeuweka kwa mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Kinachotia uchungu zaidi ni kwamba, kama taifa, tumekosa utamaduni wa kutumia busara na mikakati ya muda mrefu, tukiegemea zaidi kwenye siasa na mara nyingine ubabe. Viongozi waliopita wengi hawakutoa dira ya kweli ya maendeleo ya muda mrefu kwa manufaa ya taifa.

Tanzania, kama taifa lenye rasilimali nyingi na nafasi nzuri ya kujitegemea, tunapaswa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi wa kitaifa katika kila sekta. Tunahitaji vitengo vya usalama wa taifa vinavyolinda uchumi wetu, kuimarisha uongozi bora, kusimamia biashara, na kuhakikisha usalama wa kitaifa katika kila wizara na idara. Mifumo hii inapaswa kusimamiwa na watu wenye uzalendo wa kweli na uwezo mkubwa wa kufikiri kimkakati, badala ya uteuzi wa watu wasiokuwa na weledi wa kutosha.

Intelijensia ya TANZANIA toka awali imekuwa chini sana lakini kwa kipindi hiki ipo kwenye kiwa cha chini zaidi kuwa kutokea. Miradi mingi na yenye kuingizia hasara trilioni za fedha imesimama na hakuna waziri wala mtendaji wa serikali aneshituka. Mipango mingi inalenga kipindi cha unyangányi wa kura kifike ndipo serikali itumwe na kundi la wachache kwenda kuhadaa wananchi.

Inasikitisha na kuudhi kuona nchi yetu ikikosa mwelekeo kama jogoo aliyechinjwa kichwa na kuachwa akikimbia bila kujua anakokwenda. Tunahitaji mabadiliko ya dhati kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.

TUNA WATU WENYE UTASHI, AKILI, UADILIFU NA MAWAZO CHANYA LAKINI MFUMO WA UTAWALA UMENGÁTA NDIMI ZAO WASIWEZE KUSEMA NA KUKOSOA WAZIWAZI MWENENDO WA NCHI YETU ULIYOKOSA DIRA.
Kama hatutaacha siasa za uchawa.
 
Back
Top Bottom