Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura....
Ccm ni genge la wapigaji tu,kama zilivyokuwa tawala za Mali,Ivory coast,Burkinafaso,natamani hili genge lipinduliwe na jeshi,tuanze upya,hata jeshi na lenyewe wale wakubwa wake wanakula na hili genge,lakini Bora hii mijitu ipinduliwe tuanze upya
 
Kwenye hiyo clip, kwa nini wananchi wanapeperusha bendera za Ufaransa, badala ya bendera yetu ya taifa?
 
Kasema"tulixho
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura...

Kasema "tulichokozana na umoja wa ulaya miradi ikakwama".

Sasa wapi kamtaja shetani JPM?ametumia Wingi,kuonyesha ilikuwa ni "corrective responsibility" ya Serikali nzima,hakuna Sehemu JPM katupiwa zigo.

Tatizo wafuasi wa JPM Bado mnaisi mpo ndotoni,mnawaza JPM anaweza kutokea wakati wowote,hamuamini zama zake zimepita.
 
Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe...
Ehehe...ujue hata Yesu aliokufa wafuas woote walisepa...😂😂 alipofufuka akaanza kuwachek tena upya mmoja baada ya mwingine "oya mko wapi nyie" 😁
 
Ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? Ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? Tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Na itikadi ya CCM ni ipi, na JPM aliitekeleza vipi kiasi cha kuona ndo alikuwa sahihi na Samia ana-miss vipi?

Au ndo ile mkikutwa mmejiopanga barabarani mnaambiwa nchi hii ni tajiri na hatuhitaji misaada wakati uhalisa ni:-

Bajeti.png
 
Tunachopaswa ni kushukuru Mungu na aidha kumsaidia mama au kutuliatu.
Haiwezekani kulazimisha mama kufuata njia za Magufuli,kama ilivyoshindikana kulazimisha Magufuli kufuata njia za Jakaya
Tukubaliane na mapenzi ya Mungu jamani
 
Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
Si ufe tu!
 
Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
You're a victim of 5 years lies, na uongo wa serikali ukakuingia sawasawa!!

Another victim of 5 years lies ambae alikuwa anadanganywa hadi akaamini kwamba Bwawa la Nyerere mambo yalikuwa FIRE enzi za JPM kumbe uhalisia ulikuwa:-
Ningekuwa na enough time, ningeweka Ripoti ya CAG (for Development Projects) ya 2019/2020. Katika ripoti ile, kwa kuangalia muktadha huu, CAG ali-highlight mambo yafuatayo:-

1. Wakati tenda inatolewa, moja ya sharti lilikuwa ni kwa Contractor kuto-subcontract kazi yote, na kazi atakazo-subcontract zisizidi 50% of Contract Price!

Kwenye uchunguzi wake ule CAG akagundua, by the time kulikuwa na 21 Subcontractors na 9 Subconsultants. Kilichomtia hofu CAG ni kwa hao Subcontractors kupewa kile alichoita ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS.

Kutokana na hilo, CAG akaeleza wazi kwamba HII INAWEZA KU-IMPAIR THE QUALITY OF WORK hata kama the quality risks inaangukia kwa Contractor.

2. Wakati sharti la mkataba lilikuwa linamtaka Contractor kuto-subcontract more 50% of the Contract Price, kwa bahati sharti hilo lilizingatiwa na kuona ni around 37% of the Contract Price ndiyo ilikuwa subcontracted!

Hata hivyo, disclosure ya hyo subcontracted price haikuwa kazi ndogo kwa sababu Contractor aligoma kutoa na ikabidi ifanyike jitihada ya ziada kuhakikisha anatoa!!

Sasa ndipo unajiuliza kama Subcontracting yake imefuata masharti ya mkataba, ni kwanini basi alikuwa hataki kutoa!

3. Contract and Project Design Requirements ilikuwa inataka Contractor ajenge 2 Diversion Tunnels. Kwa mshangao wa CAG, Contractor akajenga ONLY ONE Diversion Tunnel!

Matokeo yake, iliponyesha mvua na mto kujaa, maji yakafanya mambo yake!!

What happened next day? Wakati mnaambiwa mambo ni FIRE kumbe uhalisia project ilikuwa DELAYED FOR 5 MONTHS!!

Na wakati akina Msukuma wanashangaa kuona Mradi hutaki kwisha na hivyo kuona ni ubabaishaji wa Makamba, Ripoti ya CAG ya Masharika ya Umma ambayo ilitolewa March 2021

Ndugu yangu residentura...

Nimeona post yako lakini amini usiamini, tatizo kuu la nchi hii sio CCM wala mawaziri wao bali ni WANANCHI...

Be the worst leader EVER... bado itatokea millions of MISUKULE hai itakayokuwa inakushangilia na kukutea na uovu wako!

Na tatizo letu kubwa ni kwamba, HUWA HATUFUATILII mambo kwa undani na matokeo yake tunakuwa Victim wa Uongo wa Viongozi wa CCM!!

Amini usiamini, anayosema Makamba mengi kama sio yote aliyokuta pale TANESCO ni ukweli mtupu!!

Sio kwamba Makamba ana tofauti na viongozi wenzake wa CCM, la hasha! Kwa sababu zilizo wazi kabisa inaonesha bado ana kinyongo na JPM Administration.

Kwahiyo kwa kutumia kinyongo hicho alichonacho, ndipo nae anaamua kutumia nafasi yake kuonesha ni namna gani JPM Administration ili-handle power sector kwa uovyo kabisa!!

Yaani ni kama anamwaga mboga vile! I doubt kama angekuwa anayasema haya kwa uwazi endapo angeendelea kuwa kwenye JPM's Circle.

But trust me, mengi anayosema ni ya ukweli na yapo kwenye Ripoti za CAG za tangu wakati JPM yupo madarakani! Sema kwavile huwa hatufuatilii, ndo maana leo yakisemwa tunaona uongo tu!!

Kwa mfano, suala la watu kutoruhusiwa kufanya maintenance, LIPO KWENYE RIPOTI YA CAG. Ipo baadhi ya mitambo pale Ubungo tu ambayo ilifanya kazi kwa zaidi ya saa 10K nje ya muda ambao ilitakiwa ziwe zimefanyiwa maintanence.

Yaani, kama mtambo ulitakiwa kufanyiwa maintanence baada ya kuwa umepiga mzigo kwa saa 15K, basi CAG aliukuta ukiwa umepiga mzigo kwa saa 25K bila maintanence!!

Wakati huku mtaani tunaambiwa MAMBO NI FIRE kiasi kwamba hata ndugu yangu MALCOM LUMUMBA akashawishika kwamba inawezekana kuna hujuma kweli pale JNHP, lakini Ripoti ya CAG inasema, as at December 31, 2020 Mradi ulikuwa umeendelea kwa ONLY 28.61% wakati kwa tarehe hiyo walitakiwa wawe wamekamilisha 47%!

Yote hayo wananchi hatukujua, na wengine tulipojaribu kuweka uhalisia, tena with facts from Govt Sources, tukaambiwa tuna chuki na JPM!!

Leo hii wanaona mradi upo bado, wanalia hujuma dhidi ya JPM bila kufahamu kwamba, ingawaje tulikuwa tunaimbiwa nyimbo tamu za maendeleo ya mradi lakini hadi JPM anatangulia mbele za haki, sehemu kubwa ya mradi ilikuwa haijafanyika!

And guess what... moja ya sehemu ya ripoti inasema, 2 years baada ya kutangazwa kuanza kwa mradi, TANESCO walishindwa kutoa PROOF ya kuwepo kwa pesa za kuendeshea mradi kwa sababu walishindwa kuonesha bajeti ya mradi!

Lakini pamoja na yote hayo, huku mtaani tulikuwa tunashangilia uongo tunaoambiwa ambao unaweza kuifanya CCM iendelee kubaki madarakani kwa miaka kadhaa kwa sababu they're good in telling lies, na wananchi wanafurahia kudanganywa kwa sababu hatufuatilii na matokeo yake tumekuwa ndo agents of Lies Protections!!

Leo hii Makamba anatembelea madhaifu ya past administration as defensive mechanism but nobody believe him coz' we already believed in lies.

Makamba nae itafika wakati ambapo hatimae defensive mechanism ya kutumia JPM Administartion itakuwa No More Applicable kwa sababu atalazimika kuonesha Results and no more Updates!

Na kwavile possibly nae HATAWEZA kuonesha results, nae ataanza kutoa NEW LIES, and we'll believe him from his new lies, na atapata New Lies Defenders... it's vicious circle!!
Na hata wakati mnadanganywa kwamba tulikuwa hatuhitaji misaada kumbe uhalisia ni
Bajeti.png


Leo hii mkisikia LNG Project mnatoa poa coz' mlidanganywa ule ni mradi wa kifisadi kabisa ndo maana JPM akaachana nao kumbe ukweli ni:-
JPM Administartion and Gas Plant.png
 
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura...
Ukishaamini wazungu, HUNA CHAKO TENA. Umeshajifelisha.
 
Kama mna akili timamu na alikua anafanya vitu vya karne ya 20 mkaona ni sawa hamkua na tofauti naye ya ukichaa.

Nilishangaa ile siku anamzuia daktari kufanya kazi sehemu mbili tofauti.

Jamaa yenu alikua zaidi ya mshamba .

Furaha yake ilikua kuona mnaendelea kuwa chini awaite wanyonge na nyie mbaki mkimtukuza kwa sifa asizostahili.
 
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura....
Ndiyo maana tunaongozwa na wazanzibar na sisi tunashangilia balaa
 
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura...
Badili ufuasi magu keshakufa
 
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura...
Yaani kama wewe ni mfuasi wa maiti/mfu/alieoza/msukule hapa tayari ni tatizo.

Utakuwaje mfuasi wa mfu kama wewe sio mfu kichwani!?

Walio hai hawana ushirika na waliokufa labda km ww ni mchawi.
 
Back
Top Bottom