Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kwetu Musoma, Shirati Rorya sijawahi kufika. Ila kijijini kwetu kuna Wajaluo wengi tu, hivyo mila zao huwa naziona.Kumbe nawe hujui ni sita. Lakini zamani not now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu Musoma, Shirati Rorya sijawahi kufika. Ila kijijini kwetu kuna Wajaluo wengi tu, hivyo mila zao huwa naziona.Kumbe nawe hujui ni sita. Lakini zamani not now
One of these cultural practices is considered to be "nagi"Jaluo inatoaga jino moja tu🤣
Meno yalikuwa yanatolewa sita za chini. Na hiyo imefanyika mpaka early 1970s . Baada ya operation vijiji lilikoma.Kwetu Musoma, Shirati Rorya sijawahi kufika. Ila kijijini kwetu kuna Wajaluo wengi tu, hivyo mila zao huwa naziona.
Wanasema ni "nagi" au nimekosea mkuu?Kumbe nawe hujui ni sita. Lakini zamani not now
Are they still practiced todate ?One of these cultural practices is considered to be "nagi"
Yeah "Onagi". Ndivyo tunavyojulikana mpaka sasaWanasema ni "nagi" au nimekosea mkuu?
Mimi ni Mzanaki.Meno yalikuwa yanatolewa sita za chini. Na hiyo imefanyika mpaka early 1970s . Baada ya operation vijiji lilikoma.
Ila makabila ya musoma mnazungumza sana. [emoji16][emoji23][emoji1787]. Yego , waikaki ?
Not anymore. But my granny still has those gaps between her gumsAre they still practiced todate ?
Sawa mkuu. Kwa hiyo mtoto wangu wa kiume wa miaka 5 hata kama sijamtoa meno still anajuliakana kama "onagi"?Yeah "Onagi". Ndivyo tunavyojulikana mpaka sasa
Ahahahaaaa [emoji16]. Hao jirani zetu ni wezi sana wa mifugo. Wamemetutia umasikini .Mimi ni Mzanaki.
Musoma Mjini wengi ni Wajita na Wajaluo wako Rorya karibu na Tarime kwa Wakurya
Hivi beef la Wajaluo na Wakurya limeisha ?
Halafu inakuwaje wajaluo ambao wana beef na wakurya wote kukaa Kitunda, mtataka kuhamishia vita yenu huku Dar[emoji1787]
Mie ni ngosha.Labda na yeye ni mjaluo sema tu hapendi kujulikana
ExactlySawa mkuu. Kwa hiyo mtoto wangu wa kiume wa miaka 5 hata kama sijamtoa meno still anajuliakana kama "onagi"?
Asubuhi tunasema "Oyare" au "ichieo nade"Infantry Soldier huwa mnasalimiana vipi??
Hili neno NTIE lina maana ipi??Asubuhi tunasema "Oyare" au "ichieo nade"
Bhebe ngalu . Siyo ntie .Bali lazima uanze na a e I u.Hili neno NTIE lina maana ipi??
Bila shaka umepata jibu sahihi.Hili neno NTIE lina maana ipi??
Shukrani, kingine huwa ninapenda majina yenu🙂Bhebe ngalu . Siyo ntie .Bali lazima uanze na a e I u.
A = mimi (antie) nipo
E = yeye (entie) yupo
I = wewe (intie) upo
U= nyinyi (untie) mpo
Wabheja sana. Onene nale njalua wa ngwanza [emoji1666][emoji1787]Shukrani, kingine huwa ninapenda majina yenu[emoji846]
Akimwambia atakataa..sasa kwanini kubishana na mwanamke..avute chombo atulie.Kwa hiyo unamshauri jamaa avute tu mke aweke ndani bila nyumba kubwa kujua.