Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,005
Sidhani kama upo sahihi bwasheeJiulize kimeo ulichonacho, halafu uongeze kimeo kingine kutoka familia hiyo hiyo si unatafuta kifo sababu ya sonona tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama upo sahihi bwasheeJiulize kimeo ulichonacho, halafu uongeze kimeo kingine kutoka familia hiyo hiyo si unatafuta kifo sababu ya sonona tu?
Mbona mimi mke bora sio kimeo?Jiulize kimeo ulichonacho, halafu uongeze kimeo kingine kutoka familia hiyo hiyo si unatafuta kifo sababu ya sonona tu?
Duuuh, nini tena hii? Kimasai?Ineno maber ahinya
Yupo sahihi na vimeo vimejaa sana kitaa. Wifi mke wa kaka yangu ni full kimeo bro.Sidhani kama upo sahihi bwashee
Kuoa vimeo viwili vya familia moja ni changamoto mdogo wanguSidhani kama upo sahihi bwashee
Upande wa mumeo nao wanakuona kimeo vile vileYupo sahihi na vimeo vimejaa sana kitaa. Wifi mke wa kaka yangu ni full kimeo bro.
Utanioa lini?Kuoa vimeo viwili vya familia moja ni changamoto mdogo wangu
UNHHCR ndio wapi huko?Nimekaa sana Sudan Kusini. Nilikuwa ninafanya kazi UNHCR
teh teh teh wajaluo hao dogo, nimekaa nao Mwanza na Musoma mjiniDuuuh, nini tena hii? Kimasai?
Hivi unajua wamasai wapo Tanzania, Kenya na Uganda?Duuuh, nini tena hii? Kimasai?
Shirika la wakimbizi hilo mkuuUNHHCR ndio wapi huko?
Kumuita mtoto wa mwenzio kimeo sio tabia njemaKuoa vimeo viwili vya familia moja ni changamoto mdogo wangu
Mbona kama wewe ni mwanaume?Utanioa lini?
Tena wanapendana mnooNimeshuhudia juu ya wajaluo kuoana ndugu kwa ndugu,na wanakuwa na umoja sana
Siku hizi tunamenya haya madudu yatu marefu mapanaEti wajaluo huwa hakuna "kumenya muwa" ni kweli?
ee' nyaturiKama hiki ndio kijaluo basi ni kigumu sana.
Wana biblia yao imeandikwa kwa Lugha ya kijaluo, hiyo ndo ineruhusu matala.Kanda ya ziwa kuna wanaojiita ni wakristo lakini wanamitala kama yote,
Wakati agizo ndoa ni kuwa ya mke mmoja na mume mmoja,
Hivi huko mnafundishwa kwa kutumia Biblia gani ?
Je huwa mnajifikiria hatima yenu kuwa vipi?