Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Nimeanza na dompo sijui...siifahamu vizuri walinimiminia tu kidogo.Sijui upo tayari kuaibikaa maana vya kunifundisha ni vingi S...najua mambo ya mikazo tu.Ha ha haa
Hiyo utakulegeza alafu itakimbilia katikati ya miguu...

Ila as long as utakua na mimi, hakuna kitakachoharibika...

Unajua nini kwenye mikazo...
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Hiyo utakulegeza alafu itakimbilia katikati ya miguu...

Ila as long as utakua na mimi, hakuna kitakachoharibika...

Unajua nini kwenye mikazo...
Si ni kufanya tu kwa kuna kingine jaman...au nako natakiwa nipewe maelekezo S?
 
Tualikane jamani [emoji16][emoji16]
Sikuwahi kuzoea hii tokea utoto wangu, zamani sherehe kama ya kesho nilikua nashika jembe kupanda maharagwe huko kijijini, huku mjini nashinda tu home kutwa nzima. So kualika na kualikwa labda kanisani
 
Kwema wakuu?
Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.
Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi ,tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.
Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake,ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.mfano last year ilikua iddy sijui ile yani hapa mtaani ilikua unabembelezewa mualiko,ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.
Tubadilike jamani.
Unaweza kulisha mtaa mzima wewe[emoji1787][emoji1787],japo anza na ndugu jamaa, marafiki na baadhi ya majirani kuwakalibisha nyumbani mle wote, vipato havilingani fanya unaloliweza
 
Kwema wakuu?
Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.
Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi ,tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.
Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake,ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.mfano last year ilikua iddy sijui ile yani hapa mtaani ilikua unabembelezewa mualiko,ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.
Tubadilike jamani.
Bora umeliona hili🙇🏼‍♀️
 
Kuna dini fulani ni walafi sana, mbona hata sisi huwa tunafunga ila kelele za vyakula hutasikia.
Mlafi ni yule anayebana milango na komeo,halafu anaenda kulia chakula chumbani,au anayeacha mageti wazi na kuwakalibisha wageni?Wakristo wenzenu tu waliochoka huwa hamuwakalibishi hata angekuwa jirani yako
 
Back
Top Bottom