Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Nimeanza na dompo sijui...siifahamu vizuri walinimiminia tu kidogo.Sijui upo tayari kuaibikaa maana vya kunifundisha ni vingi S...najua mambo ya mikazo tu.Ha ha haa
Hiyo utakulegeza alafu itakimbilia katikati ya miguu...

Ila as long as utakua na mimi, hakuna kitakachoharibika...

Unajua nini kwenye mikazo...
 
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Hiyo utakulegeza alafu itakimbilia katikati ya miguu...

Ila as long as utakua na mimi, hakuna kitakachoharibika...

Unajua nini kwenye mikazo...
Si ni kufanya tu kwa kuna kingine jaman...au nako natakiwa nipewe maelekezo S?
 
Tualikane jamani [emoji16][emoji16]
Sikuwahi kuzoea hii tokea utoto wangu, zamani sherehe kama ya kesho nilikua nashika jembe kupanda maharagwe huko kijijini, huku mjini nashinda tu home kutwa nzima. So kualika na kualikwa labda kanisani
 
Unaweza kulisha mtaa mzima wewe[emoji1787][emoji1787],japo anza na ndugu jamaa, marafiki na baadhi ya majirani kuwakalibisha nyumbani mle wote, vipato havilingani fanya unaloliweza
 
Bora umeliona hili๐Ÿ™‡๐Ÿผโ€โ™€๏ธ
 
Kuna dini fulani ni walafi sana, mbona hata sisi huwa tunafunga ila kelele za vyakula hutasikia.
Mlafi ni yule anayebana milango na komeo,halafu anaenda kulia chakula chumbani,au anayeacha mageti wazi na kuwakalibisha wageni?Wakristo wenzenu tu waliochoka huwa hamuwakalibishi hata angekuwa jirani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ