Heaven kama heaven
JF-Expert Member
- Nov 27, 2021
- 453
- 788
Kumbuka Heri kutoa kuliko kupokea...Simple calculation ni kuacha kuchangia maana hakuna matokeo ya moja kwa moja kwa muumini ndio maana nashangaa wanaowasakama akina Gwajina etc.
Wote wanafanya kwa njia tofauti, unatoa pesa ananunua helicopter unatoa sadaka wanajenga shule na hostels lakini manufaa yake yananufaisha wenye “jiko”
Faith Based Orgs hazina tofauti na NGOs au mashirika mengineyo 😃😃
Kumbuka kwa kutoa hiyo sadaka basi unaeneza injili kwa watu wote..ambao ndio wito wetu mkuu.
Kwa uchache nikizungumzia hiyo kkkt iliyotajwa, dayosisi ya huku Dar wanakusanya taarifa za wanaotaka kusoma lkn hawana uwezo wanaanzia level ya jumuiya na baadaye wanachambua kupata wahitaji zaidi vs idadi ya nafasi walizotengewa.Hivyo wanazingatiwa vizuri tu, labda kama huendi kanisani au unaenda lkn hufuatilii matangazo vizuri.Shule ni Mbwawa, kiserawe semibary, mkuza nk.
Dayosisi zingine pia wana taratibu zao Muhimu afuate channel sahihi hasa kuanzia usharikani au jimboni.