Ila msipindue kibabe!Kabisa ,kiongozi ,kama Yesu alipindua meza za wafanya biashara kanisani ...Sisi ndio wafuasi wake ...Lazima Tupindue meza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila msipindue kibabe!Kabisa ,kiongozi ,kama Yesu alipindua meza za wafanya biashara kanisani ...Sisi ndio wafuasi wake ...Lazima Tupindue meza!
😂🤣🤣🤣🤣Na usipochanga halafu wanakujua una kakipato wananuna kishenzi hawajui tu watu wanapitia mangapi mtaani!?
Hata Yesu alikuja kwa ajiili Yetu 😁😁masikini....ila tanueni tu,tumeshashtuka ...tutapindua meza!Kwanza ungejiuliza umekuwaje masikini wakati Bibilia inasema uliumbwa utawale? Ungejiuliza Kwanini huyo Mungu awanague? Wachache wawe matajiri huku nyie wengi ndo masikini?
Sisi ni waguasi was Yesu tutaiga alichofanya pale Hekaluni!Ila msipindue kibabe!
...hao wanaoan zisha kibiashara Kwa Mgongo wa Dini nao ni wahuni kama wahuni wengine!Shule za dini zinazofaulisha vizuri ada ni kubwa hivyohivyo, za kiislamu nazo ni hivyo ila tofauti ni kwamba hazijengwi kwa michango ya waumini. Taasisi inayoanzishwa ndiyo inajenga, huku Tanga zipo zilianza kama madrassa, wanafundisha kwa ada na baadaye wakaja kufikia kuanzisha chekechea na kisha msingi mtaji ulipopanuka. Hatimaur wakaja kuleta sekondari zao.
Pia zipo taasisi zingine zilianzishwa na waislamu wanaojiweza, zikaja kumiliki shule zao.
Mfano Tanga kuna shule ya sekondari ada ni Sh Mil 5, na sijawahi kusikia imetoa div 4 au zero. Mwaka huu ina div 1 53, 2 zipo 19 na 3 zipo 5 tu.
Shule za kidini kuwa na ada kubwa si tatizo balo tatizo ikiwa inaendeshwa kwa michango na wanaotoa kiwa hawanufaiki. Ila kama iliundwa kwa nguvu za taasisi wakawekeza pesa ya kutosha si jambo baya hilo. Maana taasisi ni watu na hao watu wana maisha pia, inabidi wapate riziki kupitia huko.
Hata Yesu alikuja kwa ajiili Yetu [emoji16][emoji16]masikini....ila tanueni tu,tumeshashtuka ...tutapindua meza!
WoiKwani yesu haangushi manoti kanisani?
Za dini gani?Ongezea na zahanati zao sasa
Shida linafanya biashara kwa mgongo wa Masikini. Maana hao ndo wanaozijenga hizo shule but hawawezi kuzimudu ni wizi ambayo hata Yesu atawakataa.Wakisomesha bure masikini elimu yao itashuka. Kanisa linafanya biashara na halipo tayari kupata hasara nendeni huko kayumba
Mbona kuna shule za Mudy lakn ada ni kubwa tuu kama hiziNjooni kwenye dini yetu ubwabwa ni bwerere
[emoji3][emoji3][emoji3]Hata Yesu alikuja kwa ajiili Yetu [emoji16][emoji16]masikini....ila tanueni tu,tumeshashtuka ...tutapindua meza!
Round about ya whimpyKweli kabisa! Hiyo sadaka tutunze tupeleke watoto shule zao.
Wao wajenge kwa vyanzo vingine!
Niliumia sana binti mmoja alikuwa analalamika anakatwa mshahara LAKI 2,Kuchangia ujenzi was kitega Uchumi wcha Kanisa Fulani jijini Dodoma!
Huu ni wizi!
ThubutuuuuuuHuwaga najiuliza hili swali kama kkkt tuna mchango kabisa wa mfuko wa elimu unachangia kila jumapili kwenye bahasha yako ya ahadi na jengo
Wangeweka utaratibu wa kila msharika akiwa anajaza form ya shule kuwe na kipengele cha dhehebu unalotokea na no ya ahadi na kuwe na unafuu wa ada
Na ndio dhumuni la sadakaUkifikiria sana haya mambo utaona bora sadaka yako uwape wahitaji tu.
Halafu mwisho wa siku mashule na hayo mahospitali yanakuwa ya gharama kubwa haziwanufaishi masikini kabisa.Na ndio dhumuni la sadaka
Nyie endeleeni kutoa sadaka na fungu la kumi tuu,thwawabu mtazikuta mbinguni.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa, iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya, Shule nyingi za Kanisa gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule! Kwangu mimi nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!. Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano, upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini! Lakini ni vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao na wengine huchangia kwa maombi ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Pale mwishoni mwa uzi wake kaandika:ikibidi wewe jitoe sadaka, fanya kazi kama mtumwa mtoto wako asome huko unakolalamika ni bei.
kuna wazazi wanasomesha watoto wao hizo shule, wanajinyima sana aisee.
uwe unaamka hata saa kumi alfajiri unapambbana hadi saa nne usiku, osha magari, uza mifuko, uza uji, n.k.
Shule hizo ni biashara aisee na taasisi huwa zinaendeshwa kwa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake, ambao wanazitumikia. Zinatumia falsafa ya kidini kwenye utendaji na maadili yake, tofauti na nyingine za kiraia. Yaani wao mfumo wao, maisha yao ndano ya taasisi ndiyo yanaendeshwa kwa kufuata dini. Ila bado wanasimamia biashara, hata misikiti kwa taasisi za kiislamu imewekwa kwa kufanya ibada tu. Wakimaliza wanafunzi wanarudi kusoma, wafanyakazi ni ofisini....hao wanaoan zisha kibiashara Kwa Mgongo wa Dini nao ni wahuni kama wahuni wengine!
Afrika tuamke!