Sisi Wakristo masikini tunanufaika vipi na shule za Kanisa?

Kumbuka Heri kutoa kuliko kupokea...
Kumbuka kwa kutoa hiyo sadaka basi unaeneza injili kwa watu wote..ambao ndio wito wetu mkuu.
Kwa uchache nikizungumzia hiyo kkkt iliyotajwa, dayosisi ya huku Dar wanakusanya taarifa za wanaotaka kusoma lkn hawana uwezo wanaanzia level ya jumuiya na baadaye wanachambua kupata wahitaji zaidi vs idadi ya nafasi walizotengewa.Hivyo wanazingatiwa vizuri tu, labda kama huendi kanisani au unaenda lkn hufuatilii matangazo vizuri.Shule ni Mbwawa, kiserawe semibary, mkuza nk.
Dayosisi zingine pia wana taratibu zao Muhimu afuate channel sahihi hasa kuanzia usharikani au jimboni.
 
Ukichangia unaoeleka mbele injili na eventually baraka zitaambatana nawe.Sasa huzitaki Ni uamuzi wako ila ni matamanio nawe usizisikie tu baraka kwa wengine bali uziishi.
Kumbuka hizi kkkt ni 'trust' orgs viongozi ni wadhamini( trustees) Hivyo kwa sehemu kubwa sana sana hela inazunguka kuifanya kazi ya BWANA ( diakonia, afya, elimu, watu kumjua Mungu nk).Ukiwa mkristo uyajue hayo utafurahi na utastawi bila shida katikati ya wanaolalamika.
 
Ahaa,kwa hiyo Watanzania maskini ni Waislam,Wapagani na Wahindu😁😁😁subiri waje!
Ndio wengi maskini wa kutupwa isipokuwa wachache lakini wengi maskini wakubwa
 
Haya mambo ya dini nishaona bora umwabudu mungu ktk roho nakweli kanisani nikuchoshana tu.
 
Usiendekeze umasikini wewe
 
Ahaa,kwa hiyo Watanzania maskini ni Waislam,Wapagani na Wahindu😁😁😁subiri waje!
Ndiio Yesu alisema nimekuja kutangazia maskini habari njema kwa maskini ya kukombolewa kwao

Habari njema kwa maskini kukombolewa si kuondokewa na umaskini?

Ukimkuta mkristo maskini huyo sio Mkiristo mwamini Yesu mtangaza habari njema ya kukomboa maskini

Huyo ni mpagani au dini ingine mfuasi wa Kristo kwelikweli hawezi kuwa maskini huyo maskini anajiita Mkristo atakuwa mwabudu mizimu au mashetani au dini hana mshenzi mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…