Sisi Wananchi halali wa Tanzania, tunatuma Ujumbe na Maombi yetu kwako Rais Samia

🤣🤣🤣🤣 ama kweli kupenda ni upofu. Ukionacho chongo mwenzio huona kengeza. Yani unamshaur mleta mada atunze kura yake kwa ajili ya kuwachagua hawa wezi wengine!!

Kwanza afadhali zimwi likujualo halikuli ukaisha. Lakini hawa wengine achilia mbali kujaza matumbo yao na ya familia zao, pia watataka walipe fadhila kubwa kwa mabeberu waliohifadhi watoto wao na ndugu zao huko Marekani, Canada na Belgium ambao wengi wao wameshapewa na uraia kabsa, huku wakiwaacha nyie kina kajamba nani muwapiganie wazazi wao. Na hapo hapo wakili Amsterdam atataka awe analipwa ili kusimamia mikataba feki itakayosainiwa serikali ya hawa walafi.

Sabodo alikipa chama M100 za kujenga ofisi ya ksasa, lakini mpaka leo wameshindwa kupaka hata rangi ukuta. Afu unashauri mleta mada awapigie kura!!!

Nafikiri ungemshauri mleta mada aweke kura yake ili kumchagua mgombea ambae hatokuwa wa chama chochote cha siasa, hapo ungeeleweka.

Just imagine watu ambao wanaanza kujiibia wenyewe vyamani, je wakipewa nchi na kumiliki hadhina ya taifa letu hali itakuaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20230408-090031.jpg
    67.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220912-125326.jpg
    62.8 KB · Views: 1
  • images (3).jpeg
    28.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230408-090718.jpg
    45.3 KB · Views: 1
Zidaini hizo pesa badala ya kuruka ruka kama.mahindi ya bisi.

Ufisadi wowote unaofanywa na wapinzani kwa ujumla wao haufikii uzayuni wa CCM tena kwa mmoja mmoja
 
Hahaha Lucas akisoma hapa hawezi kurudi kuandika chochote kuhusu siasa.
 
Kweli,Rais fanyia kazi riport hiyo ya mkaguzi vilevile fuatilia na capitation mashuleni,watu wanakula tu Hanna kinachofayika huku mashuleni yani stupid kabisa

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mnajisumbua tu,hakuna hatua yoyote ikatayochukuliwa kwa akatayeonekana kafanya ubadhirifu
Taifa/nyie mtaishia kulalamika na kulialia tu...na wahusika washazoea malalamiko yenu,wanajua mtalialia mwisho wa siku itapita na mtasahau

Ova
 
Kweli,Rais fanyia kazi riport hiyo ya mkaguzi vilevile fuatilia na capitation mashuleni,watu wanakula tu Hanna kinachofayika huku mashuleni yani stupid kabisa

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Ya ni kweli mkuu, raisi atupie jicho na mashuleni. Huko kuna wizi mkubwa unafanyika huku elimu wanayopewa watoto wetu ni zero kabisa.
 
Mnajisumbua tu,hakuna hatua yoyote ikatayochukuliwa kwa akatayeonekana kafanya ubadhirifu
Taifa/nyie mtaishia kulalamika na kulialia tu...na wahusika washazoea malalamiko yenu,wanajua mtalialia mwisho wa siku itapita na mtasahau

Ova
Raisi ashaanza kufanyia kazi baadhi ya mambo tuliomshauri. Sasa ngoja tusubiri kuona hatua itakayochukuliwa badala ya kuanza kum judge katika utekelezaji wa majukumu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…