macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Aisee. Mimi huwa nasema kama ni kugongewa angalau usimjue anayekufanyia hivyo kwani ikitokea nikamjua huwa nakuwa sina amani kabisa.Huyo jamaa ni mtoto wa kishia kinoma. Kabla ya ndoa alikuwa akiishi na demu wake so dem alikuwa anaaga anaenda kwao kumbe anaenda kwa jamaa yake... Anakaa weekend
Hatari sana mkuu. Huyo dem sista du mmoja halafu mrembo kinoma. Jamaa sijui akiwezaje kumsamehe?Aisee. Mimi huwa nasema kama ni kugongewa angalau usimjue anayekufanyia hivyo kwani ikitokea nikamjua huwa nakuwa sina amani kabisa.
Kwa Mwanamke...... Usaliti wa Mwanamke mwenzie ni jambo la kawaida...!kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah
Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.
Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
huu nao ni wazimu mwenginwKwa Mwanamke...... Usaliti wa Mwanamke mwenzie ni jambo la kawaida...!
Ndo maana Mama kashauri hivyo...!
Mimi nimeshuhudia Dada Mtu na Wifi yake, wanagongwa na Wanaume ambao ni Marafiki!
Yani Wifi Mtu anagongwa na Jamaa, hafu kamuunganishia rafiki wa jamaa kwa Mke wa Kaka yake wa kuzaliwa...!
Ushoga kati ya Mke na Wifi umekolea, Mke asipokuepo Nyumbani, Dada anapiga simu kwa Kaka kwamba Wifi yupo kwake, Kaka anajua Mkewe yupo salama kwa Dada ake, kumbe, wanapelekewa Moto Mtu na wifi yake.
wewe wasemaHuyo mama mchawi
really?Sogea tuishi is the best option.
Sioni umuhimu wa harusi.
aisee sisi hatutajua bwana harusi atakachokiamua had sasaHili huwa linatokea. Kuna mtu wa ukoo wetu naye ilimtokea lakini yeye ilikuwa ni kwenye haya makanisa ya walokole. Jamaa alikuwa na binti hapo hapo kanisani na kanisa zima lilikuwa linajua ni wachumba wanaokaribia kufunga ndoa. Msichana akaja kufumaniwa na kiongozi wa kanisa. Mchungaji mwenye kanisa akawa anamshinikiza jamaa amuoe. Wakaweka kikao cha wazee wa kanisa wakamlisha jamaa mahubiri na umuhimu wa kusamahe, jamaa akakataa katakata na akawatukana matusi mazito. Akafikia hatua ya kusema ulokole ni upotofu na akakata mguu kanisani kabisa. Baada kabisa akaja kubadilisha mawazo na kuanza kuhudhuria tena kanisani ila mpaka sasa hajaoa na imepita miaka kama nane tangu kisa kitokee.
nopWarangi?
hata aliyekuzaa?? akisoma hii comment anajuta kukuzaa bora angebana miguu ukafia hukoSiku zote wanawake hawana akili.
ngoja nimuoneshe mshkaji mmoja hii comment hope utakua umeokoza jahaziAsimsikilize mtu.
Asepe apotee hewani na kwenye hayo mazingira kama mwezi hivi.
Wazee wa ushauri wakose wa kumpa ushauri.
Akija kurudi jambo litakua limeisha na atagundua kafanya maamuzi ya maana.
wewe ni mkristo? unajua kukosa ni ubinadamu ila kusamehe ni utukufu?kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah
Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.
Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
umewahi kugongewa mkeo na aliekugongea ukawa unamjua?wewe ni mkristo? unajua kukosa ni ubinadamu ila kusamehe ni utukufu?
Huyo mama yupo sahihi, acha afunge bdoa baada ya miezi miwili mitatu ampige chini.kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah
Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.
Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
Jinga hiloHatari sana. Hili lilimkuta jamaa yangu, alimfunia mkewe mtarajiwa siku 2 kabla ya ndoa na bado akamuoa. Hadi leo wapo wote mwaka kama wa nane
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah
Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.
Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?