Sisi wanawake bwana!

Sisi wanawake bwana!

Huyo jamaa ni mtoto wa kishia kinoma. Kabla ya ndoa alikuwa akiishi na demu wake so dem alikuwa anaaga anaenda kwao kumbe anaenda kwa jamaa yake... Anakaa weekend
Aisee. Mimi huwa nasema kama ni kugongewa angalau usimjue anayekufanyia hivyo kwani ikitokea nikamjua huwa nakuwa sina amani kabisa.
 
Aisee. Mimi huwa nasema kama ni kugongewa angalau usimjue anayekufanyia hivyo kwani ikitokea nikamjua huwa nakuwa sina amani kabisa.
Hatari sana mkuu. Huyo dem sista du mmoja halafu mrembo kinoma. Jamaa sijui akiwezaje kumsamehe?
 
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah

Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.

Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
Kwa Mwanamke...... Usaliti wa Mwanamke mwenzie ni jambo la kawaida...!

Ndo maana Mama kashauri hivyo...!

Mimi nimeshuhudia Dada Mtu na Wifi yake, wanagongwa na Wanaume ambao ni Marafiki!

Yani Wifi Mtu anagongwa na Jamaa, hafu kamuunganishia rafiki wa jamaa kwa Mke wa Kaka yake wa kuzaliwa...!

Ushoga kati ya Mke na Wifi umekolea, Mke asipokuepo Nyumbani, Dada anapiga simu kwa Kaka kwamba Wifi yupo kwake, Kaka anajua Mkewe yupo salama kwa Dada ake, kumbe, wanapelekewa Moto Mtu na wifi yake.
 
Kwa Mwanamke...... Usaliti wa Mwanamke mwenzie ni jambo la kawaida...!

Ndo maana Mama kashauri hivyo...!

Mimi nimeshuhudia Dada Mtu na Wifi yake, wanagongwa na Wanaume ambao ni Marafiki!

Yani Wifi Mtu anagongwa na Jamaa, hafu kamuunganishia rafiki wa jamaa kwa Mke wa Kaka yake wa kuzaliwa...!

Ushoga kati ya Mke na Wifi umekolea, Mke asipokuepo Nyumbani, Dada anapiga simu kwa Kaka kwamba Wifi yupo kwake, Kaka anajua Mkewe yupo salama kwa Dada ake, kumbe, wanapelekewa Moto Mtu na wifi yake.
huu nao ni wazimu mwenginw
 
Hili huwa linatokea. Kuna mtu wa ukoo wetu naye ilimtokea lakini yeye ilikuwa ni kwenye haya makanisa ya walokole. Jamaa alikuwa na binti hapo hapo kanisani na kanisa zima lilikuwa linajua ni wachumba wanaokaribia kufunga ndoa. Msichana akaja kufumaniwa na kiongozi wa kanisa. Mchungaji mwenye kanisa akawa anamshinikiza jamaa amuoe. Wakaweka kikao cha wazee wa kanisa wakamlisha jamaa mahubiri na umuhimu wa kusamahe, jamaa akakataa katakata na akawatukana matusi mazito. Akafikia hatua ya kusema ulokole ni upotofu na akakata mguu kanisani kabisa. Baada kabisa akaja kubadilisha mawazo na kuanza kuhudhuria tena kanisani ila mpaka sasa hajaoa na imepita miaka kama nane tangu kisa kitokee.
aisee sisi hatutajua bwana harusi atakachokiamua had sasa
 
Asimsikilize mtu.

Asepe apotee hewani na kwenye hayo mazingira kama mwezi hivi.

Wazee wa ushauri wakose wa kumpa ushauri.

Akija kurudi jambo litakua limeisha na atagundua kafanya maamuzi ya maana.
ngoja nimuoneshe mshkaji mmoja hii comment hope utakua umeokoza jahazi
 
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah

Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.

Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
wewe ni mkristo? unajua kukosa ni ubinadamu ila kusamehe ni utukufu?
 
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah

Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.

Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
Huyo mama yupo sahihi, acha afunge bdoa baada ya miezi miwili mitatu ampige chini.
 
Wanapotoka ni karibu kuliko wanapo kwenda bora biashara ife mapema kuliko mapicha picha ya huko mbeleni huyo atarudia tu hilo kosa baadae
 
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah

Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.

Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?

Ni mkoa gn huo kwanza tuanzie hapo[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom