Unadhani mzee Ruksa angemteta jpm kama mzee makamba na kinana walivyofanya huseni angekuwa rais zanzibar,mwenyekiti angefyeka jina lake asubuhi tumwinyi jr kawa rais 2020,kauli hiyo mwinyi sr ameitoa siku ya msiba wa jpm.
benz aliikataa kwa taarifa yako.
Hii hii uliyozaliwa 'mjinga wewe'.Na hata wazazi wako wanajua hivyo.ndo maana mama yako anamuita mtoto wako wa kiume MMEWE na baba yako anamuita mtoto wako wa kike MKEWE.
Umezaliwa dunia gani?
Sasa kwa Nini hauelimiki?Hii hii uliyozaliwa 'mjinga wewe'.
Na amefuzu kwenye kujipendekeza mpaka kafanikiwaKauli za kujipendekezs
Kwa ajili ya wanaemwinyi mzee rais mstaafu mwenye mtoto rais anajipendekeza kwa samia[emoji22][emoji22][emoji22].
Ha ha ha ha uzi unaenda kuwa vita huuMwanamke yeyote kumuita mama sio tatizo
Hukupata malezi mazuri kutoka kwa wazazi inaonekana ulikuwa chokoraa
Tumetofautiana mila na desturiSasa kwa Nini hauelimiki?
Baba yako NI mwanao ndo maana mama yake unamuita mkeo ambaye ni Bibi yako.
Kwangu mimi huyo ni mtawala. Sio dada yangu wala mama yangu.Nilishangaa kijiweni kizee cha miaka 70+ kinasema mama sijui kafanyaje,nikasema huyu mzee ana bahati kuwa na mama umri huu kumbe alimaanisha Rais Samia.
Pia Siku ile Sugu anatimiza miaka 30 ya muziki nikasikia Rais anasema we Sugu ni mwanangu, kiukweli Rais hawezi kumzaa Sugu. Sugu ana miaka 50 na Rais ana 61 ?
?the diference is too minimal to call her mother.
You call her mama we call her Sister acheni kumtwika mizigo mizito.kuwa mama wa watanzania wote sio kazi ndogo
Kwanza tunamvunjia heshima kumuita mama tumuite tu Rais