Sisi wengine Rais Samia sio mama yetu ni dada yetu

Sisi wengine Rais Samia sio mama yetu ni dada yetu

mwinyi jr kawa rais 2020,kauli hiyo mwinyi sr ameitoa siku ya msiba wa jpm.
benz aliikataa kwa taarifa yako.
Unadhani mzee Ruksa angemteta jpm kama mzee makamba na kinana walivyofanya huseni angekuwa rais zanzibar,mwenyekiti angefyeka jina lake asubuhi tu
 
Mdukuzi unamwonea wivu au unamwonea huruma?Kwani hujawahi sikika moto hakui Kwa mama hata kama moto kibabu🤔
 
Mwanamke yeyote kumuita mama sio tatizo

Hukupata malezi mazuri kutoka kwa wazazi inaonekana ulikuwa chokoraa
 
Nilishangaa kijiweni kizee cha miaka 70+ kinasema mama sijui kafanyaje,nikasema huyu mzee ana bahati kuwa na mama umri huu kumbe alimaanisha Rais Samia.

Pia Siku ile Sugu anatimiza miaka 30 ya muziki nikasikia Rais anasema we Sugu ni mwanangu, kiukweli Rais hawezi kumzaa Sugu. Sugu ana miaka 50 na Rais ana 61 ?
?the diference is too minimal to call her mother.

You call her mama we call her Sister acheni kumtwika mizigo mizito.kuwa mama wa watanzania wote sio kazi ndogo

Kwanza tunamvunjia heshima kumuita mama tumuite tu Rais
Kwangu mimi huyo ni mtawala. Sio dada yangu wala mama yangu.
 
Back
Top Bottom