Sisi wenye GPA chini ya < 2.8 tunatumia njia gani kupata scholarships za nje ya nchi

Sisi wenye GPA chini ya < 2.8 tunatumia njia gani kupata scholarships za nje ya nchi

Hivi wanaviweka gpa 2.7 OR B grade average wanamaanisha vyote au somo husika uwe na hyo B?
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
IFM nafkiri wanafanya hivyo... ila kasome pale hata postgraduate angalau kisha omba au ujipendekezependekeze kwa wakubwa pale, Kina Registrar, wakuu wa idara, dean, baadhi ya DR's... angalau unaweza kupata pa kuanzia
 
Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je nawezaje kupata scholarships niweze kusoma Postgraduate degree (Masters).

KARIBUNI KWA MSAADA
Scholarships utapata tu ndugu yang usijal sababu vigezo huw sio GPA pekee hvy usijal kikubwa uwe vzr zaid Kweny kujitetea linapokuja swala la hizo requirements nyingine Kam Sop, PS , RL na Recommend letter yako then unapata haijalish upate Full Funded au Partial mzee
 
Scholarships utapata tu ndugu yang usijal sababu vigezo huw sio GPA pekee hvy usijal kikubwa uwe vzr zaid Kweny kujitetea linapokuja swala la hizo requirements nyingine Kam Sop, PS , RL na Recommend letter yako then unapata haijalish upate Full Funded au Partial mzee
Anapata pataje boss? Unaweza kutoa infor kidogo mkuu ? Maana naona watu wanasema unapata ila hamtoi maelezo kwamba ni Taasisi zipi au vyuo vipi na process zake zipoje ?
 
Anapata pataje boss? Unaweza kutoa infor kidogo mkuu ? Maana naona watu wanasema unapata ila hamtoi maelezo kwamba ni Taasisi zipi au vyuo vipi na process zake zipoje ?
Kila chuo kina utaratibu wake nakupa picha ya moja kwa moja upate mwangaza tu

Vyuo ving vya bara la Asia huw hawazingatii baadh ya mambo haya Gpa kwhy it's yo tyme kufatilia subir dirisha la Study in India lifunguliwe au kule china ni Kitonga sana utapata mkuu jitahidi kuw mfatiliaji mzuri utapata nakuhakikishia
 
Kila chuo kina utaratibu wake nakupa picha ya moja kwa moja upate mwangaza tu

Vyuo ving vya bara la Asia huw hawazingatii baadh ya mambo haya Gpa kwhy it's yo tyme kufatilia subir dirisha la Study in India lifunguliwe au kule china ni Kitonga sana utapata mkuu jitahidi kuw mfatiliaji mzuri utapata nakuhakikishia
Poa poa mkuu ngoja nifuatilie asee
 
Kusoma nje sio lazima upate full scholarship.
Uza shamba ulipe first semistar ukifika chuo tafuta kazi zipo nyingi tu kwa international student part time unapata ada.
Wabongo tunafeli kwa kutaka kutafuniwa kila kitu
 
Back
Top Bottom